Je, nikifungua akaunti Benki ya Standard nchini Bahamas, naweza kupata huduma kama mteja wa Benki hiyo nikiwa Tanzania?

Je, nikifungua akaunti Benki ya Standard nchini Bahamas, naweza kupata huduma kama mteja wa Benki hiyo nikiwa Tanzania?

Mleta mada kidogo naona kama mgumu kuelewa jamani...naona BORA uende bank customer service desk, huko ulipo, wachukue ubao na chaki na dasta, ndiyo utaelewa...
Dizaini humu maelekezo uliyopata ya wazoefu, bado kuna mashaka..
Unakuwa kama pesa ulizonazo ni za maagamu na magumashi, unaooogopaaah...

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Maelezo meeengi lakini bado huja.address nilichokuhoji! Kwanini mhusika asitumie initiative ya kuwasiliana na bank ya Bongo ambako atapata first hand info?
You're very funny! Eti sijajibu ulichohoji wakati tangia mwanzo nilishasema mosi, hana sababu ya msingi ya kwenda branch, na pili nilishasema hata akienda hawezi kuambia tofauti na kile nilichokisema hapa!!! Sasa sijajibu kivipi?!
Kama hiyo bank ya Bahamas haiwezi kujua operation za hiyo ya Bongo, wewe ndiyo utajua?
Jibu NDIYO, kwa sababu hayo mambo nimefanya practically na sio kwa kuhadithiwa! Awali niliandika hadi maelezo kuhusu mihamala inavyokwenda, maximum limit per transaction, equivalent USD atakayokuwa debited per every maximum limit, na hata ATM za benki gani zina charges nafuu zaidi! Hata hivyo, nikaamua kufuta maelezo mengine!

Ajabu ambayo niliwahi kukutana nayo ni kwenye mashine za Stanbic ambazo zilikuwa zinagoma katakata... na kwa kuhofia nisije nikamezesha kadi nikaamua kuachana nazo!!
Huoni kuwa hapa anaweza kabisa kupata majibu yasiyo sahihi na akayaamini lakini baadae yakajam-cost sana kama hayako sahihi? Huo muda aliotumia kuanzisha thread kuulizia kwa nini asingewasiliana na Standard Chartered Bongo ambako ndiyo wahusika?
Hapa atapata majibu kutokana na experience ya watumiaji na sehemu nyingine yoyote atapata theory!

Na iwe iwavyo katu hayawezi kum-cost kwa sababu Mastercard/VISA ni Universal Payment Processor! Kama ambavyo mtu anayeishi Dar es salaam hawezi kufunga safari hadi ilipo CRDB kwa mfano kwa ajili ya kuchukua pesa, ndivyo hata yeye hakuna kitakachom-cost no matter what kwa sababu atakuwa na MasterCard/VISA!

Ni kutokana na hilo ndo maana nikamwambia kama kadi inatarajia ku-expire anaweza kupewa kadi nyingine au anaweza hata kutumiwa, usually kwa DHL.
 
You're very funny! Eti sijajibu ulichohoji wakati tangia mwanzo nilishasema mosi, hana sababu ya msingi ya kwenda branch, na pili nilishasema hata akienda hawezi kuambia tofauti na kile nilichokisema hapa!!! Sasa sijajibu kivipi?!
Jibu NDIYO, kwa sababu hayo mambo nimefanya practically na sio kwa kuhadithiwa! Awali niliandika hadi maelezo kuhusu mihamala inavyokwenda, maximum limit per transaction, equivalent USD atakayokuwa debited per every maximum limit, na hata ATM za benki gani zina charges nafuu zaidi! Hata hivyo, nikaamua kufuta maelezo mengine!

Ajabu ambayo niliwahi kukutana nayo ni kwenye mashine za Stanbic ambazo zilikuwa zinagoma katakata... na kwa kuhofia nisije nikamezesha kadi nikaamua kuachana nazo!!Hapa atapata majibu kutokana na experience ya watumiaji na sehemu nyingine yoyote atapata theory!

Na iwe iwavyo katu hayawezi kum-cost kwa sababu Mastercard/VISA ni Universal Payment Processor! Kama ambavyo mtu anayeishi Dar es salaam hawezi kufunga safari hadi ilipo CRDB kwa mfano kwa ajili ya kuchukua pesa, ndivyo hata yeye hakuna kitakachom-cost no matter what kwa sababu atakuwa na MasterCard/VISA!

Ni kutokana na hilo ndo maana nikamwambia kama kadi inatarajia ku-expire anaweza kupewa kadi nyingine au anaweza hata kutumiwa, usually kwa DHL.
Bado ume-twist tena. Hapo juu ulisema suala siyo card. Hapa unasema suala ni kadi. Unasimamia wapi ndugu yangu? Mimi nimesema maelezo yoyote atakayoyapata hapa juu ya huduma hayatakuwa sahihi kama angewasiliana na benki yenyewe. Upo hapo?
 
Bado ume-twist tena. Hapo juu ulisema suala siyo card. Hapa unasema suala ni kadi. Unasimamia wapi ndugu yangu? Mimi nimesema maelezo yoyote atakayoyapata hapa juu ya huduma hayatakuwa sahihi kama angewasiliana na benki yenyewe. Upo hapo?
Ni mgumu wa kuelewa, au tatizo lako ni nini hasa?! Ni kwamba huelewi au unataka ligi isiyo na maana au unapenda ubishi ambao kabla ulisema napenda ubishi usio na maana huku ukionesha wazi wewe ndo unapenda ubishi usio na faida!!

Kisha unadai nime-twist wakati tangia mwanzo nimesema wazi kabisa kwamba anaweza kufanya transaction bila kujali benk ipi kwa kutumia kadi!!

Kwa mfano hapa chini, nimetaja akitumia mashine za CRDB kuonesha anaweza kufanya WDL kwa kutumia mashine ya benki yoyote ile provided iwe inapokea VISA/MasterCard!!

Hata "deposit" na yenyewe ndo hivyo hivyo... anaweza kutumia benki yoyote ile kwa sababu kinachofanyika sio direct deposit bali ni wire transfer!!

Post yangu ya kwanza kabisa ni hii:

Huduma zipi kwa mfano unazotaka uwe unapata tu kutoka Standard Chartered Tanzania?!

Kama ni deposit, utafanya "deposit" lakini sio moja kwa moja bali through wire transfer au njia nyingine yoyote... kitu ambacho unaweza pia kufanya kupitia benki yoyote ile!!

Kama ni ku-WDL, itakuwa ni sawa na hapo juu, in additional to MasterCard and/or Visa Card!

Kama kuna privilege yoyote labda privilege ya correspondence bank in case Standard Chartered Bahamas ndio correspondence bank ya Standard Chartered Bank Tanzania.

By correspondence bank I mean, benki inayotumika ku-facilitate transaction kati ya benki mbili ambazo kwa kawaida zinakuwa kwenye mataifa tofauti.

But wait... The Bahamas?! I hope sio offshore bank account.
Baada ya post ya kwanza, post yangu ya pili nikamweleza uwezekano wa yeye kutumiwa kadi hata akiwa Bongo huku nikitangulia kumweleza ni mambo yapi anaweza kufanya kabla hajasafiri:-

Bila kujali upo Bahama au wapi, kabla hujatoka unatoka ughaibuni unatakiwa kufanya yafuatayo:-
1. Kama card yako inakaribia ku-expire, nenda branch waambie wa-extend muda au kukupa kadi nyingine, and they will do it.

2. Kabla hujatoka ughaibuni hakikisha una-update contact info zako za Bongo! In case card uliyopewa ime-expire au kupotea, utawa-contact nao watakutumia kadi nyingine! Hawatakutumia kupitia tawi la Standard Chartered la Bongo bali watakutumia kwa njia ya kawaida, kv through DHL!

3. Kaa ukifahamu Universal Transactions kwa kutumia Card ni very expensive kwa amount kuanzia $1000, na ni very cheap ukitumia wire transfer!

Ukitumia ATM Machines za CRDB kwa mfano, kwa kila transaction isiyozidi TZS 400K wanachukua pesa ya nyama, mchele, sukari, vitunguu na vikorokoro vingine kibao ya kukuwezesha kuandaa pilau nyama just for a single transaction!

Now assume unataka kuchukua TZS 5M!

Hapo #3 maana yangu ni kwamba, kama akaunti ina mpunga wa kutosha na hutarajii kurudi ughaibuni, piga wire transfer pesa yako yote to a local bank account na huko account ya ughaibuni acha dola mia chache tu!
Kwa bahati mbaya akawa hajaelewa issue ya wire transfer, ndipo nikaandika post ya tatu na kumfafanulia:-
Namaanisha unahamisha pesa kutoka Bahama kwenda akaunti ya Kibongo, na njia itakayotumika uwezekano mkubwa ni Wire Transfer ambayo kwa kawaida ina-range from USD 25 (+10 +X ) to USD 30(+10 +X).

Hiyo USD 25 au USD 30 ndo transfer charge, USD 10 inaenda kwa Correspondence Bank, na hiyo USD X ambayo inakuwa kati ya USD 5-10 inachukuliwa na Local Bank unakoingiza hiyo pesa!

Kwa maana nyingine, kama Bahama una USD 10K, Bongo itaingia takribani USD 9950. Kama Bongo unayo forex account, itaingia kama ilivyo lakini kama una local currency account, hizo USD 9950 zitakuwa converted into TZS na kuingizwa kwenye akaunti.
Sasa hadi hapo ni kipi nilicho-twist?!

Lakini cha ajabu kabisa, wewe ile unaanza kuchangia tu, ukaanza na ligi zisizo na maana yoyote ile:-
Mbona unaongea kinyume? Ushauri na maelezo ya benki ndiyo bora zaidi kuliko hapa. Benki hawawezi kukudanganya hasa benki kubwa kama hiyo lakini hapa unaweza kupewa majibu yasiyo sawa. Napata shaka kama kweli umewahi kusafiri halafu info kama hizi hujui pa kuzipata. Anyway wasalimie huko Lukuledi ambako wewe unasema ni nje ya nchi.
Ukaona jamaa anajisingizia yupo nje kumbe sio! All in all, awe nje au asiwe nje, was it necessary?

Kutokana na maelezo yako, ndipo nikakuuliza:-
Hivi unatarajia Standard Chartered Bank Bahama wanaweza kufahamu banking procedures za Bongo?! Kumbuka hizi sio foreign branches bali ni subsidiary ban ambayo kila moja ina-operate kulingana na regulation za nchi husika!!!
The same issue bado nimekuwa nikisisitiza hata posts za karibuni!

Again, nime-twist nini hapo?!

Baada ya kujibu nilichokuuliza, ukadai:-
Mbona unapenda sana ku-complicate mambo ndugu yangu. Kama kweli yuko huko aende hiyo benki watampa maelezo ya kutosha kulingana na kadi aliyonayo. Unafikiria kwa mfano hawawezi kujua kuwa mteja wao akipoteza kadi akiwa nje ya nchi yao anatakiwa afanye nini ili kupata mpya? Ok... tufanye hawawezi kujua procedures za Bongo kama ulivyosema, je mawasiliano hayawezekani? Hata kama benki haitaki kuwaulizia, je yeye hawezi kuulizia kwenye karne hii yenye kila aina ya mawasiliano? Kwa mfano akiandikia banki husika email kuulizia na kuulizia hapa ni wapi atapata jibu sahihi zaidi?
Yaani mie niliyetoa jibu la nini anaweza kufanya unadai na-complicate lakini sio wewe unayetaka aende bank physically!!

Again, kipi nime-twist?! Wapi nimebadilisha maelezo yangu?!
 
Ni mgumu wa kuelewa, au tatizo lako ni nini hasa?! Ni kwamba huelewi au unataka ligi isiyo na maana au unapenda ubishi ambao kabla ulisema napenda ubishi usio na maana huku ukionesha wazi wewe ndo unapenda ubishi usio na faida!!

Kisha unadai nime-twist wakati tangia mwanzo nimesema wazi kabisa kwamba anaweza kufanya transaction bila kujali benk ipi kwa kutumia kadi!!

Kwa mfano hapa chini, nimetaja akitumia mashine za CRDB kuonesha anaweza kufanya WDL kwa kutumia mashine ya benki yoyote ile provided iwe inapokea VISA/MasterCard!!

Hata "deposit" na yenyewe ndo hivyo hivyo... anaweza kutumia benki yoyote ile kwa sababu kinachofanyika sio direct deposit bali ni wire transfer!!

Post yangu ya kwanza kabisa ni hii:

Baada ya post ya kwanza, post yangu ya pili nikamweleza uwezekano wa yeye kutumiwa kadi hata akiwa Bongo huku nikitangulia kumweleza ni mambo yapi anaweza kufanya kabla hajasafiri:-

Kwa bahati mbaya akawa hajaelewa issue ya wire transfer, ndipo nikaandika post ya tatu na kumfafanulia:-
Sasa hadi hapo ni kipi nilicho-twist?!

Lakini cha ajabu kabisa, wewe ile unaanza kuchangia tu, ukaanza na ligi zisizo na maana yoyote ile:-
Ukaona jamaa anajisingizia yupo nje kumbe sio! All in all, awe nje au asiwe nje, was it necessary?

Kutokana na maelezo yako, ndipo nikakuuliza:-
The same issue bado nimekuwa nikisisitiza hata posts za karibuni!

Again, nime-twist nini hapo?!

Baada ya kujibu nilichokuuliza, ukadai:-
Yaani mie niliyetoa jibu la nini anaweza kufanya unadai na-complicate lakini sio wewe unayetaka aende bank physically!!

Again, kipi nime-twist?! Wapi nimebadilisha maelezo yangu?!
Ndiyo unakwepa kwepa kukubali ukweli kuwa kama akiwasiliana na benki husika ndiyo atapata taarifa sahihi kuliko hizi za hapa. As simple as that.
 
Anazotaka yeye zipi?!
Alizoulizia hapa. Kwani wewe ulimwelezea nini? Ulimjibu hivi
Huduma zipi kwa mfano unazotaka uwe unapata tu kutoka Standard Chartered Tanzania?!

Kama ni deposit, utafanya "deposit" lakini sio moja kwa moja bali through wire transfer au njia nyingine yoyote... kitu ambacho unaweza pia kufanya kupitia benki yoyote ile!!

Kama ni ku-WDL, itakuwa ni sawa na hapo juu, in additional to MasterCard and/or Visa Card!

Kama kuna privilege yoyote labda privilege ya correspondence bank in case Standard Chartered Bahamas ndio correspondence bank ya Standard Chartered Bank Tanzania.

By correspondence bank I mean, benki inayotumika ku-facilitate transaction kati ya benki mbili ambazo kwa kawaida zinakuwa kwenye mataifa tofauti.

But wait... The Bahamas?! I hope sio offshore bank account.
Kuna mwingine akamjibu hivi
Ndiyo. Unapata huduma zote. Mimi mwenyewe ninaishi nje ya Tanzania. Nina akaunti ya Standard Bank hiyo hiyo. Huwa ninakwenda Tanzania mara nyingi tu na mara ya mwisho nilikuwa Tanzania miezi mitatu iliyopita. Kila wakati nikiwa Tanzania sijapata matatizo yo yote ya kutumia akaunti yangu.
Sasa ashike lipi? Ni yupi mwenye jibu sahihi kati yako na huyo mwingine? Huoni umuhimu wa kuulizia bank husika?
 
Wakuu Habari Zenu,

Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.

Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.
Utapata taarifa zote huduma kwa wateja hapo kaunta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alizoulizia hapa. Kwani wewe ulimwelezea nini?
Ukiulizwa swali unatakiwa kujibu swali... again, taarifa sahihi kama zipi?! Mleta mada hakuna popote alipotaja suala la "taarifa sahihi" lakini watu wakamjibu kutokana na uzoefu wao!!

Sasa inawezekana waliochangia hawakuzingatia suala la "taarifa sahihi", ndo maana nimekuuliza "taarifa sahihi zipi"?
 
Wacaribian ni nchi ya akina Rihanna, wanapenda ngono sana, unakuta wanaume mashoga kwao hio tabia ni ya kawaida, ila pia wako wenye heshima sana, wanapenda urafiki ni wakarim sana, kulikua kuna dem flani wa kikaribian aliwahi kunitaka kimapenzi nimpige pumbu ila nikasita coz demu alikua anavuta bangi ingawaje kipindi hicho mpaka sasa huku niliko genye ni nyingi ila sikutaka kumla, ila alinyonya stick alikua anayameza sana mpaka nikawa naogopa, nilimkimbia naona alikua ananizoea sana nikablock number[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezingua man [emoji1787]

Ungewakilisha nchi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba nichangie hata kama kwa uelewa mdogo, kwanza bank ya standard ni bank bora wana huduma safi, nilifungua acc online nikiwa kwenye chumba changu kimoja na kadi nikaletewa mlangoni kabisa sikuinua ngoko zangu kuhangaika kwenda branch, pili ukifungua acc katika bank hiyo kuna option ya kuchagua ufungue acc ipi, nakushauri fungua acc ya USD hii itakusaidia kupata huduma popote pale duniani katika tawi lolote la bank ya standard.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je kirefu chake ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada kidogo naona kama mgumu kuelewa jamani...naona BORA uende bank customer service desk, huko ulipo, wachukue ubao na chaki na dasta, ndiyo utaelewa...
Dizaini humu maelekezo uliyopata ya wazoefu, bado kuna mashaka..
Unakuwa kama pesa ulizonazo ni za maagamu na magumashi, unaooogopaaah...

Everyday is Saturday..................... 😎
Tatizo ni kuwa wale wako chini ya sheria za bank kuu ya bahamas na huko bongo ni BoT na ukweli kuwa siwote wanaofanya kazi bank wano uwezo wa kufahamu haya ndo maana nimelileta hili jambo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alizoulizia hapa. Kwani wewe ulimwelezea nini? Ulimjibu hivi

Kuna mwingine akamjibu hivi

Sasa ashike lipi? Ni yupi mwenye jibu sahihi kati yako na huyo mwingine? Huoni umuhimu wa kuulizia bank husika?
Wewe toka mada inaanza uko mtata sana sio wote wanaofanya kazi bank wanaweza wakanielezea yote haya niliyo pata kwa chige

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada kidogo naona kama mgumu kuelewa jamani...naona BORA uende bank customer service desk, huko ulipo, wachukue ubao na chaki na dasta, ndiyo utaelewa...
Dizaini humu maelekezo uliyopata ya wazoefu, bado kuna mashaka..
Unakuwa kama pesa ulizonazo ni za maagamu na magumashi, unaooogopaaah...

Everyday is Saturday..................... 😎
Every is day not Saturday

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe toka mada inaanza uko mtata sana sio wote wanaofanya kazi bank wanaweza wakanielezea yote haya niliyo pata kwa chige

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtata ni wewe unayefungua thread za kuulizia mambo rahisi kupata info zake. Soma thread nilizoweka link hapo chini uone unavyojianika mwenyewe. Unaogopa nini kuwasiliana na mamlaka husika? Wewe ni drug dealer? Inabidi tu-flash ID yako kwa wazee huko wakufanyie uhakiki. Kama haya unayoulizia ni ya kweli basi inaonekana ulitoka Bongo na ulipofika South Africa ukatafuta namna ya ku-extend visa yako kimagumashi, na sasa umeenda Bahamas kuchukua mzigo au unataka kufungua offshore account ili fedha zako chafu za unga zisiweze kufuatiliwa.

Msaada wa VISA ya Afrika Kusini - JamiiForums

CRDB Card bank naweza kuswap nje ya nchi - JamiiForums
 
Back
Top Bottom