Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chagua eneo tukujengee mnara mkuu...🤣huyo mstaarabu sana watano tu, mimi kwanza simu haigusi maana akigusa ni kosa la jinai na ukweli ni kwamba mwanaume mwenye afya kamili hawezi kua na mwanamke mmoja hii ni nature ya kidunia,
Sio peke yangu, nina marafiki zangu wengi tunamichepuko kibao. Pamoja na mkuu AroveraWewe peke yako mkuuu
yaani amemkatakata mapanga mwanamke muuza pombe grocery aliyezaa watoto wawili na mwanaume mwingine, kwa lugha nyingine ni mwanamke asiyetulia. angekuwa ni mwananmke bikra huyu si angefyeka mtaa mzima?Sema mwamba katisha[emoji23],ila mambo hayo sisi tulifanya kipindi kile balehe ndo inachanganya yaan kila mwanamke nilikuwa napita nae[emoji23]...yaan akiwa na mbususu tu basi kaisha nilivyozizoea sasa mbususu nikawa sasa nachagua aina ya wanawake ambao wananisisimua ndo nadeal nao,mpaka now vigezo vimekuwa vingi sana yaan hadi mwanamke nitumbukize mkuyenge wangu basi ujue ana vigezo vingi sana!
Mi nashauri ampe tu au na yeye atafute mtu wapeane maana unamnyima mtu halafu unaiweka tu hasara ni yako we only live onceEbu mshauri jambo...😜
we nyime wafaidi wengine hiyo penseli yakeNi mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Unaishi na kifimbo cheza🤣🤣🤣Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Anapitia kipindi kigumu sana. Naona ata uandishi wake. Dah.Ila nyie ni shida 😀😀🤣
Hamridhiki kabisaa
Ebu achana na ushauri wa humu, nimekucheck PM hapo ili nasisi tumkomoe..😋
Mpaka beki3 jamani [emoji16]Ukimyima na wewe utakuwa unaishije? Si bora ujiondokee mapema ukatafute changamoto mpya huko mbele ya safari?
Sisemi kwamba wangu hachepuki ila heshima iwepo, sio hadi Kwa ndugu na Majirani.
Kuna style inaitwa "PANDA KWENYE DARI HALAFU UIDONDOKEE" umewahi kumpa?
Kama bado, basi ndio hiyo inamfanya ateke na akina FATU VIJORA