k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Ni jambo moja tu mnakosea wanawake wa kizaz hiki ni kutaka kuwa sawa na Mume/wanaume....mnajiita watetez wa haki za wanawake hahhahhaha mnataka 50 kwa 50..!! Mwanaume lijali hawez kukubali hii kinachobaki ni kutafuta nje anakuachia 50 zako....!! Hahhahahhahaha...!!Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
NICHEK INBOX hayo yote yanakiin mwanamke akishakosea/akijifanya mjanja na mwanaume akachukua hatua stahik mwanamke anaanza kulia il mwanaume aonekane mbaya.....!!! Hahhahahahha