Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Ni jambo moja tu mnakosea wanawake wa kizaz hiki ni kutaka kuwa sawa na Mume/wanaume....mnajiita watetez wa haki za wanawake hahhahhaha mnataka 50 kwa 50..!! Mwanaume lijali hawez kukubali hii kinachobaki ni kutafuta nje anakuachia 50 zako....!! Hahhahahhahaha...!!
NICHEK INBOX hayo yote yanakiin mwanamke akishakosea/akijifanya mjanja na mwanaume akachukua hatua stahik mwanamke anaanza kulia il mwanaume aonekane mbaya.....!!! Hahhahahahha
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Njoo na mimi nikutulize baby mama. Utamsahau
 
Katika kosa kubwa mwanamke atafanya ni kushindana na mwanaume kuchepuka.

Mwanamke anaweza kupata maambukizi ya virus wanao sababisha saratani ya kizazi (cervical cancer) kwa sababu ya kujamiana na multiple partners.
Mwanaume akipata hao virus haumwi saratani.
Kuna magonjwa yanaongoza kuua kuliko hata cervical CA ikiwemo presha sasa kukaa na mtu wa hvyo si kujitakia presha tu
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?
Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya.
Yan ukishika cm yake unaweza zimia anawanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabint wa kaz, yan tabu yup..
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Mkamuwe vya akutosha, halafu mwache akatolewa hewa huko anakoenda.

Kama hiyo haitoshi, tafuta toto moja zuri la kutokea kwao uliweke kwako hapo, lisiijuwe siri yako, wacha awe anamlamba huyo wa kwao na wewe unajifanya huelewi kabisa kinachoendelea.

Mwanamke vipi unashindwa mbinu na mwanamme? Unanshangaza.
 
Je unataka mume mwenye mume wake ,
Mambo ni mengi tulia na majembe kama hayo unapata chachu ya ndoa😃😬
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Pole sana dada, njoo nyumbani nikupoze na kuondoa hizo stress zako
 
Madam wewe ungeolewa na Suleiman si ungejiua kabisa.

Sisi wanaume tymeumbwa kuwapa huduma, wewe cha msingi ni kumpa zaidi akose nguvu ya kuzidisha huko nje, sasa unamnyima wewe utakuwa unakula wapi?

Mimi ninae mmoja tu naomba nijisogeze
 
Wewe jiongeze mpe mku-ndu tuone kama atachepuka 😃😃😃😃😃
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Chai
 
Angekuwa mwanaume anasema kamkamata mke na mchepuko mmoja wanaume wangejibu " acha huyo malaya" sahivi unashauriwa umuombee, eti ataacha hahaha.
Mimi sio malaya siishi na malaya siku nikigundua tu ndoa itaishia hapo aoe huyo chautamu wake nisimbane kukaa na mie huku simridhirishi.
Sina room ya kujadiliana na mwanaume 100% nikimkamata ana mtu mwingine na wala sitajutia kuachana na malaya.
 
Kuna magonjwa yanaongoza kuua kuliko hata cervical CA ikiwemo presha sasa kukaa na mtu wa hvyo si kujitakia presha tu
Ni kweli.
Bora uachane naye kuliko kulipiza kuchepuka unajiwekea hatarini zaidi kama yeye anavyo kuweka hatarini.
 
Ni mume wangu tuna watoto
Huyu baba kazidi umalaya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini?

Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje weekend tu kuangalia watoto hataki ananyamaza kimya. Yan ukishika cm yake unaweza zimia ana wanawake karibia 5 mara aombe picha za dudu... Ukizubaa marafiki zangu anapita nao, mabinti wa kazi, yani tabu tupu.

Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...akichoka aondoke akaoe uko angalau nipate Aman, sina rafiki, naogopa hata ndugu kukaaa kwangu, sitaki mazoea na majiran maana wakinizoea tu anawalamba...aisee kichwa kinajam
Wewe si uliangalia hela..?
 
Back
Top Bottom