Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Kama utapendelea pitia story za iddimakengo hopefully utajifunza kitu.
 
Kama utapendelea pitia story za iddimakengo hopefully utajifunza kitu.
Iddi makengo nshawahi ongea nae, mshauri mzuri ila hajui kuongea na mtu, he has to go akasomee saikolojia. Yani anaweza kukukera umtukane
 
Asante kwa ushauri mpendwa
 
Ukishamuacha naomba unitag....!!
 
Wew dili na mpenzi wako...nduguu, jamaa, marafiki wa huyo mwanaume sio consern yako cha msingi kuwa nao makini.
 
My dear kwa unavyomjua huyo mwanaume wako anaweza kujisimamia? Maana kushauri mwanaume ambae hana msimamo ni wa kupelekeshwa na mama[emoji848] utajichosha bure. Anaweza kubali ushauri wako sababu hataki kuachana na wewe but Utekelezaji zero, na ukiolewa nae ndo utakinywea.

Nakwambia from my experience, nilipata mkwe mwenye tabia kama za huyo wako.... siku ya utambulisho ananisifia "Masha Allah mtoto mzuri, umeumbika shape kweli kweli hapa mwanangu kapata". Baada ya hapo akawa mtu wa kuagiza ninunulie hiki, ninunulie kile kwa ufupi simu za pesa pesa zikazidi haswaa (imagine mama wa mchumba anakwambia umnunulie kitu cost yake laki7[emoji849]) . Kumbe ashajua nafanya kazi gani so familia nzima wanaamini mtoto wao kanipendea hela[emoji30][emoji30]
Nikamkaushia tena vingine nikawa namjibu sina hela, baadae mwanae alivotaka tufunge ndoa akakataa eti asubiri afanye kwanza maendeleo nyumbani. Kijana akagoma keshaamua kuoa, tukafunga ndoa mkoa tuliopo (sio kwao) though mama mtu alikuja harusini kinafiki tena kwa kuchelewa...... from there hakuna mahusiano mazuri kati yetu na familia yake.
Na huu ni mwaka wa Sita wa ndoa ila hatuna mtoto.
So my dear tumia akili yako effectively, kama utaweza mikiki na mengine yasojulikana endelea na huyo mwanaume.
 
Dah love nmesoma mkasa wako umenisisimua hatari. Sema mi watoto wala sio muhimu nkipata haya nikkosa haya mana tayar mungu alishanjaalia. Ila nimeyachukua mawazo yako nina imani yataniongoza
 
Dah love nmesoma mkasa wako umenisisimua hatari. Sema mi watoto wala sio muhimu nkipata haya nikkosa haya mana tayar mungu alishanjaalia. Ila nimeyachukua mawazo yako nina imani yataniongoza
Hongera, kumbe tayari mna watoto... basi olewa nae tu. Za kuambiwa changanya na zako pia, maana wewe ndio unamjua mtu wako
 
wewe tako huna mpaka unakuwa na wasiwasi wa kumuweka kikao njemba yako? unaogopa nini wakati wewe ndio mwenye mbususu? wanawake sometimes bwana mnajishusha wenyewe
 
Wewe elewa ya kwamba, 'mpenzi' wa kwanza wa mwanaume ni mama yake na 'mpenzi' wa kwanza wa mwanamke ni baba yake...

Wewe una sehemu kwa moyo wake na wazazi/mzazi wake hivyo hivyo...

Wewe kama wataka jiondoa, jiondoe kwa sababu zako tu na sio hizo unataja...

Sijui kwa nini watu huwa hawaelewi neno 'upendo'!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…