Je, niliyestushwa na hii kauli 'tata' ya Naibu Katibu Mkuu CCM Mpogole ni peke yangu tu au tupo wengi? Mama kuwa makini sana!

Ndani ya CCM kuna shida.

Anaetakiwa kubaki ni huyu mzee Mangula wengine wote wakuondoa.

Chama kirudi kwa Nchimbi, Nape, January.

Kinyume na hivyo, Mh. Mama Samia ana kwenda kufanyiwa zengwe.
Hahahaha

Mnachekesha sana
 
Mimba changa
Siyo kwa sababu wewe una mimba changa basi kila mwenye mawazo tofauti na wewe ana mimba changa pia
Ungetuliza mshono usingepata hiyo mimba na kutematema mate hovyo na kujiharishia
 
Mangula abaki ila nimuhimu afanye mabadiliko Tena makubwa hasa kwene sekretariet, pamoja na yoye JPM iliyengeneza mfumo ambao haukuwa na afya Sana Kuna watu ambao waliamini wao ndo wao na wakamfanya yeye Kama mungu mtu kiukweli pamoja na yte ccm chini ya magufuli ilikuwa na simanzi na majonzi kwa walio wengi
 
Kesha wafurusha wote mkuu
 
Wewe umefuata nini hapo na wakati siyo mjumbe?
Samia apambane tu kurejesha umoja wa kitaifa vyama hupita ila Taifa ni lazima liwr imara na lenye amani bila shaka ccm chini ya JPM pamoja na yte ililikosea Sana Taifa
 

TKO tena kama ilivyokuwa kwa Makamo wa Rais. Yote ni maisha.
 
Ndani ya CCM kuna shida.

Anaetakiwa kubaki ni huyu mzee Mangula wengine wote wakuondoa.

Chama kirudi kwa Nchimbi, Nape, January.

Kinyume na hivyo, Mh. Mama Samia ana kwenda kufanyiwa zengwe.
Kweli kabisa
 
Acha kujidanganya CCM ni moja wala hawezi kugawanyika
 
Mwendazake ametangulia mbele ya hukumu. Alijiamini sana lakini ndiyo hivyo tena. Hakuna ajuaye kesho yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…