Hatujafikia hiyo hatua. Tuweke mikakati ya kunufaika na rasilimali asilia kwanza, mapato yake ndio yatafanya hiyo kazi ya kuwajengea wananchi.Hawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.
Mfano jengo moja lichukue familia 20 hadi 30, then majengo 10 kuna familia kati ya 200 hadi 300,
Kwa style hii kuna maeneo yatabaki wazi na serikali inaweza kufanya vitu vingine kama recreational parks na uwekezaji mwingine.
Ukiwapa fidia wataenda kutengeneza manzese nyingine huko waendeko.
Haya mambo ya kusema hatuwezi ndio yanatucheleweshaHatujafikia hiyo hatua. Tuweke mikakati ya kunufaika na rasilimali asilia kwanza, mapato yake ndio yatafanya hiyo kazi ya kuwajengea wananchi.
Wakat wanajenga hizo ghorofa wakazi wataishi wapi?Hawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.
Mfano jengo moja lichukue familia 20 hadi 30, then majengo 10 kuna familia kati ya 200 hadi 300,
Kwa style hii kuna maeneo yatabaki wazi na serikali inaweza kufanya vitu vingine kama recreational parks na uwekezaji mwingine.
Ukiwapa fidia wataenda kutengeneza manzese nyingine huko waendeko.
Wakazi wa iliyokuwa Magomeni quoters wanaishi wapi wakati huu ambapo wanajengewa maghorofa? 😳Wakat wanajenga hizo ghorofa wakazi wataishi wapi?
Kuibuka Manzese nyingine haizuiliki kwa Tanzania hii.Hawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.
Mfano jengo moja lichukue familia 20 hadi 30, then majengo 10 kuna familia kati ya 200 hadi 300,
Kwa style hii kuna maeneo yatabaki wazi na serikali inaweza kufanya vitu vingine kama recreational parks na uwekezaji mwingine.
Ukiwapa fidia wataenda kutengeneza manzese nyingine huko waendeko.
Ambao ni sisiemuVipi kuhusu kuwapatia kazi kwanza kabla ya kuwatimua? Mawazo yako hayana tofauti na wanaoleta gari kusomba omba omba mijini na kuwafungia wakati wakipata ugeni kutoka nje, ...
Umewahi kufika zenji hivi karibuni?? Kuna Meade unaendelea na nyumba zimevunjwa watu wanajenga magorofa. Uliza sasa hao waliovunjiwa wanakaa wapi??Wakat wanajenga hizo ghorofa wakazi wataishi wapi?
Au zitumie stringent development control codes. With a certification system.Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
View attachment 1320572
Mawazo mazuri sana. Inahitajika ujasiri na political will kufanya maamuzi haya na utekelezaji wakeAu zitumie stringent development control codes. With a certification system.
1) Yatengwe maene ya familia single family (kwa ajili ya familia moja na waruhusiwe kujenga tu 35pc ya kiwanja(plot coverage) Ukitaka more space iwe g+1
2) Maeneo ya Biashara yatengwe na warudhusiwe kujenga na kujaza viwanja kwa asilimia 100..lazima waincorporate a
maeneo ya kuegesha magari.
3) yatengwe maeneo ya biashara ndogo ndogo (Forodhani style bazaar) kwa ajili ya wamachinga... Preferably pembezoni mwa Soko kuu pande zote mbili za barabara ya mwendo kasi.
4) Bajaji ziwe ndio main and only mode of public transportation kwa njia zote za ndani kwa maana ya kuunganisa Morogoro road na Morogoro Connect. Na Mburahati na mabibo kwa upande wa pili.
5) Boresha BRT na Ua Daladala Morogoro Rd. Zipite njia zozOte parallel na Morogoro rd. Ie Morogoro Connect na Mabibo ba Mburahati.
#patapendeza na huenda pakawa posh kuliko tunavyopadhania. Itakuwa organic layout.. lakini itakuwa Bora.. imagine the new kind of Stone town in the making.
Maboresho yaanze sasa
Utekelezaji wake unaanzia shule kabisaMawazo mazuri sana. Inahitajika ujasiri na political will kufanya maamuzi haya na utekelezaji wake
Buguruni je!?Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
View attachment 1320572
Jua kutofautisha kati ya Dar na mzizima ...Dar sio sehemu nzuri kwa kuishi ni kuishi kwa shida tu, uchafu umekithiri
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bonge moja la idea...Hawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.
Mfano jengo moja lichukue familia 20 hadi 30, then majengo 10 kuna familia kati ya 200 hadi 300,
Kwa style hii kuna maeneo yatabaki wazi na serikali inaweza kufanya vitu vingine kama recreational parks na uwekezaji mwingine.
Ukiwapa fidia wataenda kutengeneza manzese nyingine huko waendeko.