VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
nimemwambia hivo hajenijibu tena.Mwambie huna
notedMpe hiyo ela akiendelea mizinga mwisho iwe elfu 50 kumpa kula mzigo endelea kufanya mambo mengine mkaushie uone kama ataendelea kuwa interest na wewe
sijisikii kumpa
Kwani shida ni nini?Umeshindwa kumtumia vocha ya ruzuku ya mbolea?Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
kwan wadada wote hawawez jinunulia vocha mpk wanunuliwe na wanaume ? upo karne ipi mkuu?Sasa dogo unataka ujibiwe mesej kwa vocha aliyonunua mwanaume mwenzak
hahahaUmeviomba Namba hivi vina njaa sana
View attachment 2995844
sasa sio kila manzi ni wa kumtoa lunch mkuu.Sasa kama vocha ya buku tayari masimango utaweza kumtoa lunch kweli?
Pesa yako atafanya exchange atakupea nyama
Nyama ntaila na Pesa ntadaiPesa yako atafanya exchange atakupea nyama