Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Lengo lako ni umkule

Lengo lake ni akuchune

Jifanye mjinga zuzu mtimizie lengo lake kwa siku mbili tatu hadi ajihisi kapata LOFA.

Mkule haraka iwezekanavyo ndani siku mbili tatu hizo kisha Anza ku behave like a Man.

Misimamo mingi,sheria nyingi,afate protokali ndio muende sawa.
 
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
Utafiti wangu usiyo rasmi madada wanatumia sana bundle kwenye mavideo ya Tiktok na Instagram, sasa kwa haya mabundle ya Tanzania ni wale wanawake wenye kazi zao za maana ndio wana uwezo wa kununuwa monthly unlimited bundle, hawa wengine hawana uwezo wa kuwa bundle wanalotaka matokeo yake ndio hayo kuombaomba hovyo bundle.

Msiwahisi vibaya kinachowasumbuwa ni mubundle ya kuangalia video, na video zinakula bundle hatari kiasi kwamba mimi binafsi nina Aleji kabisa na mavideo labda niwe hotelini natumia free Wi-fi au niwe na monthly unlimited bundle
 
Kwa maisha yetu ya kibongo bongo mwanamke anapima mahusiano kwa kutest kupewa pesa. Msingi wa mahusiano kwa mwanamke wa kitanzania ni kupewa pesa bila kutumia akili.

Yupo radhi asiolewe hadi akija kustukia ni umri umeenda ila sio akae na mwanaume ambaye hana kipato anachotaka awe nacho wakijitafuta na haya maisha. Wengi hawapendi maisha ya kuanzia chini ndio maana kitu cha kwanza anakuomba hela ili kupima uwezo wako wa kumpatia pesa.
 
Wanaume tunafel wapi? MWANAMKE AKIKUOMBA HELA KUPIMA UPENDO WAKO KWAKE NA WEWE MNYIME ILI UPIME UPENDO WAKE KWAKO ,Simple tu
 
Kwa maisha yetu ya kibongo bongo mwanamke anapima mahusiano kwa kutest kupewa pesa. Msingi wa mahusiano kwa mwanamke wa kitanzania ni kupewa pesa bila kutumia akili.

Yupo radhi asiolewe hadi akija kustukia ni umri umeenda ila sio akae na mwanaume ambaye hana kipato anachotaka awe nacho wakijitafuta na haya maisha. Wengi hawapendi maisha ya kuanzia chini ndio maana kitu cha kwanza anakuomba hela ili kupima uwezo wako wa kumpatia pesa.
Kelvin Samuels the og😂

Gone too soon.
 
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
Unafukuzwa bila kuambiwa toka hapa
 
Back
Top Bottom