Black joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 306
- 621
Sawa mkuu usisahau kutupea feedback 😂Nyama ntaila na Pesa ntadai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu usisahau kutupea feedback 😂Nyama ntaila na Pesa ntadai
Huyo sio dem ni b*tch wee panda dau kula mzigo pita hivii bila shaka io pisi imebandika yale makucha marefu
exactlykwan wadada wote hawawez jinunulia vocha mpk wanunuliwe na wanaume ? upo karne ipi mkuu?
kila mtu na mtazamo wake, mngine ukijifanya unatanguliza hela kama chambo anakuambia mimi sio malaya.Kama huna hela kwanini utongoze madada wa mjini
si una UKIMWI mkuu?Nyama ntaila na Pesa ntadai
Usiwaze ntaandika Uzi konkiiii wenye kichwa cha khabari "namna nilivyonunua mbususu kwa 90k"Sawa mkuu usisahau kutupea feedback 😂
Kwa mawazo kama haya ndoto za %50/50 ni ndoto zisizotekelezeka.Sasa dogo unataka ujibiwe mesej kwa vocha aliyonunua mwanaume mwenzak
shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.Kwani shida ni nini?Umeshindwa kumtumia vocha ya ruzuku ya mbolea?
Hakuna rakha kama kusex huku ukiwa huna hofu ya ukimwi, mimba wala takataka zingine... Nyie ndo mnahofusi una UKIMWI mkuu?
we unapaswa kutoboka tu ila kuomba mzigo apana.
Anataka akalime manumbu.Chukua vocha ya kilimo kwa Afisa Kilimo wa Kata,mpe.Ni free of charge. What's wrong with you,big guy?shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.
Punguza kiwango. 50 umebonyeza sana.Mpe hiyo ela akiendelea mizinga mwisho iwe elfu 50 kumpa kula mzigo endelea kufanya mambo mengine mkaushie uone kama ataendelea kuwa interest na wewe
fafanua vizuriKamalize mchezo
huenda anataka mfahamiane vizuri zaidi, na kukuuliza mambo muhimu na vocha aliyonayo ni kidogo, ndio maana anataka walau umtumie kavocha ili simu yake nayo iwe full package ili muweze kuwasilana vizur 🐒Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
kama hivo sasa si bora angesema nimpigie.huenda anataka mfahamiane vizuri zaidi, na kukuuliza mambo muhimu na vocha aliyonayo ni kidogo, ndio maana anataka walau umtumie kavocha ili simu yake nayo iwe full package ili muweze kuwasilana vizur 🐒
kuongea labda, aliona aibu na huenda alihisi uko bize sana na kazi, alikuheshimu huwezi kuongea muda mrefu 🐒kama hivo sasa si bora angesema nimpigie.
Wape vijana somo au jando irudisheVocha tu unauliza maswali hivi...
Rakha❌Hakuna rakha kama kusex huku ukiwa huna hofu ya ukimwi, mimba wala takataka zingine... Nyie ndo mnahofu