Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Kwani shida ni nini?Umeshindwa kumtumia vocha ya ruzuku ya mbolea?
shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.
 
shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.
Anataka akalime manumbu.Chukua vocha ya kilimo kwa Afisa Kilimo wa Kata,mpe.Ni free of charge. What's wrong with you,big guy?
 
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.
huenda anataka mfahamiane vizuri zaidi, na kukuuliza mambo muhimu na vocha aliyonayo ni kidogo, ndio maana anataka walau umtumie kavocha ili simu yake nayo iwe full package ili muweze kuwasilana vizur 🐒
 
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu zinakata sina meseji ukizingatia bado hamjefahamiana vizuri hii inaashiria nini. Je? Hii ni sawa. Karibuni mtoe maon na uzoefu wenu wakurungwa. Asanteni.

Vocha tu unauliza maswali hivi...
 
Back
Top Bottom