Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

kwake

Mwanamke yeyote anaepaswa ingia katika NDOA (aliekamilika) anatakiwa aolewe akitokea KWAKE na sio kwa WAZAZI.
Msichana anaolewa kutokea kwa wazazi wake, mwanamke ndio anaolewa kutokea kwake.
 
Back
Top Bottom