Je, Nini kinakujia akilini kuombwa vocha na mdada baada ya kubadilishana namba za simu?

Kwani shida ni nini?Umeshindwa kumtumia vocha ya ruzuku ya mbolea?
shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.
 
shida ni kwamba anaanzaje kuomba mtu vocha wakati hata hatujefahamiana vizuri? Pia nina experience ya kupigwa vocha zangu afu wanavunga yaani vocha anatumia kuongea na watu wake tu kwa kifupi wewe anakuona kama bwege.
Anataka akalime manumbu.Chukua vocha ya kilimo kwa Afisa Kilimo wa Kata,mpe.Ni free of charge. What's wrong with you,big guy?
 
huenda anataka mfahamiane vizuri zaidi, na kukuuliza mambo muhimu na vocha aliyonayo ni kidogo, ndio maana anataka walau umtumie kavocha ili simu yake nayo iwe full package ili muweze kuwasilana vizur 🐒
 

Vocha tu unauliza maswali hivi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…