Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Hii mada ni nzito mno japo wengi wanaingiza mzaha.
 
Very true kuna wamama wana watoto wawili watatu au hata wanne lakini chuchu zao bado ziko saa sita sharp. Sijui hawakunyonyesha hawa au ndiyo genes, balanced diet na tizi la kutosha.

Ni asili & matunzo
kuna wadada wamezaa na bado wako vilevile
 
Hukunyonyesha kwa sababu ulikuwa unamatatizo
Nimemnyonyesha mwaka mmoja,tena nilitaka anyonye miaka miwili,ila alikataa mwenyewe

Miezi 6 ya mwanzo kanywa Maziwa yangu tu bila kitu kingine chochote
 
Hebu fungua nihakikishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…