Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Ni umbile tu, nimezaa ila hayajalegea nawashangaa mabinti kulikoni!? Labda broila pia
 
Thread hii inafanana kabisa na ile isemayo "why baadhi ya binadamu huzeeka mapema licha ya kuzaliwa siku moja na wenzao ambao kila kukicha sura za wenzao huonekana baby face?"
Maumbile yetu na yale ya ndugu zetu hutufanya tuwe hivi tulivyo.
 
Yanahitaji kunyonywa kwa ustadi... naomba hiyo tenda
 
Reactions: SDG
Nimejaribu kulinganisha miaka 10 nyuma na miaka ya sasa hivi kupata msichana mwenye chuchu saa sita hazipatikani ni chache sana.

Je, hii kulegea na kuwa kama mtu alienyonyesha hutokana na nini?
Unamaanisha yanakuwa kama ndala? Mi mgeni pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…