Nadhani wengi mmesikia kuhusu tukio la Lissu kutekwa akiwa nje ya Ubalozi baada ya uchaguzi mkuu.
Sasa Naibu Balozi wa Ujerumani aliyemchomoa Lissu toka kwa watekaji wake ni huyo anayeonekana ktk video.
Je, bila huyu Mama nini kingemtokea Tundu Lissu? Je, tungekuwa naye leo hii?
Unaweza kumuona hapo ktk video.
Pia soma - Tundu Lissu: Baada ya uchaguzi nilitakiwa kushughulikiwa, amri ilisema wasikosee shabaha
Sasa Naibu Balozi wa Ujerumani aliyemchomoa Lissu toka kwa watekaji wake ni huyo anayeonekana ktk video.
Je, bila huyu Mama nini kingemtokea Tundu Lissu? Je, tungekuwa naye leo hii?
Unaweza kumuona hapo ktk video.
Pia soma - Tundu Lissu: Baada ya uchaguzi nilitakiwa kushughulikiwa, amri ilisema wasikosee shabaha