Je, nini kingemtokea Lissu kama Naibu Balozi asingeingilia kati?

Je, nini kingemtokea Lissu kama Naibu Balozi asingeingilia kati?

Nadhani wengi mmesikia kuhusu tukio la Lissu kutekwa akiwa nje ya Ubalozi baada ya uchaguzi mkuu.

Sasa Naibu Balozi wa Ujerumani aliyemchomoa Lissu toka kwa watekaji wake ni huyo anayeonekana ktk video.

Je, bila huyu Mama nini kingemtokea Tundu Lissu? Je, tungekuwa naye leo hii?

Unaweza kumuona hapo ktk video.



JokaKuu!!
Huyu mama balozi ni alikuwa makini pia !, na hii inadhihirisha pia how decent and precise vetting systems works kwa wenzetu wanapochagua viongozi wao, hasa hawa wanaowaleta huku africa. wanaleta watu makini sana, Mama wa spot on, and outsmarted kila mwenye nia ovu siku hiyo.
 
Kesi ya Mbowe ili onyesha hakuna haja ya watu kusoma sheria bali Jaji ni pambo tu linalosukumwa na upepo kama jani kavu au mtoto wa chekechea anayejifunza kusoma
Kupitia maswali ya Kibatala, Malya ba wenzake, watu wengi walipenda kusoma na kuijua vyema taaluma ya sheria.
 
..bila huyu Naibu Balozi kuingilia kati nadhani Lissu angepotea kama Ben Saanane na Azory Gwanda.
Kwa mujibu wa lLsu anasema walipofika central , mama alimsubiri pale nje na hakutoka , baadaye akaja mtu kumshawishi mama aondoke kwa kumtishia kuwa pale sio salama sana kwake !! Akamjibu 'kama sipo salama kwenye kituo kikuu cha polisi , ni wapi nitakuwa salama Tanzania ' sentesi fupi sana ila ilibeba maana kubwa sana.
 
Those are international diplomat, Ndio wanaokufanya wewe upige kelele hapa JF

Hao ndio wanaotoa pesa za kuendesha miradi yote ya barabara na maji Tanzania

Hao ndio kila kitu kwa nchi zote za Africa

Ukisikia watu wanaomba msaada wa Fedha huko IMF na World Bank ujue ni pesa za hao mnaowaita mabeberu

Hao ndio wanaimiliki Facebook, Twitter, WhatsApp, App store, Android store


Hao ndio wamiliki wa Internet au WWW

ukiandika www.jamiiforum. com ujue ile wwww ni ya kwao

Wana Fuatilia kwa kuwa hawawezi toa pesa kwa nchi zinazopindisha sheria

Wana Fuatilia wanataka pesa zao zitumike kwa kufuata sheria sio kwa mambo ya upuuzi wa kesi za mchongo za ugaidi

Ukisikia deni la Taifa linakuja ujue hao ndio mabeberu wenyewe wanakusaidia chanjo za uviko na madawa ya ukimwi na Tb

Ukisikia dawa za msaada za ebola, Surulia kwa watoto ujue msaada wa kutoka kwenye nchi za huyo Mama
Duu wewe kama siyo mjukuu wa Mangungo basi hupo mbali sana na ukoo wake si kwa utumwa huo wa akili....Wao wanachukua ngapi kutoka kwetu?
 
Those are international diplomat, Ndio wanaokufanya wewe upige kelele hapa JF

Hao ndio wanaotoa pesa za kuendesha miradi yote ya barabara na maji Tanzania

Hao ndio kila kitu kwa nchi zote za Africa

Ukisikia watu wanaomba msaada wa Fedha huko IMF na World Bank ujue ni pesa za hao mnaowaita mabeberu

Hao ndio wanaimiliki Facebook, Twitter, WhatsApp, App store, Android store


Hao ndio wamiliki wa Internet au WWW

ukiandika www.jamiiforum. com ujue ile wwww ni ya kwao

Wana Fuatilia kwa kuwa hawawezi toa pesa kwa nchi zinazopindisha sheria

Wana Fuatilia wanataka pesa zao zitumike kwa kufuata sheria sio kwa mambo ya upuuzi wa kesi za mchongo za ugaidi

Ukisikia deni la Taifa linakuja ujue hao ndio mabeberu wenyewe wanakusaidia chanjo za uviko na madawa ya ukimwi na Tb

Ukisikia dawa za msaada za ebola, Surulia kwa watoto ujue msaada wa kutoka kwenye nchi za huyo Mama
Umemjibu Zuzu kadri ya Uzuzu wake.
 
Kwa mujibu wa lLsu anasema walipofika central , mama alimsubiri pale nje na hakutoka , baadaye akaja mtu kumshawishi mama aondoke kwa kumtishia kuwa pale sio salama sana kwake !! Akamjibu 'kama sipo salama kwenye kituo kikuu cha polisi , ni wapi nitakuwa salama Tanzania ' sentesi fupi sana ila ilibeba maana kubwa sana.
Hivi kumbe walishafanikiwa kumkamata?
 
Bwashee naona umeamua kutukumbusha machungu tuliyokuwa tumeanza kuyasahau. Lisu ni bure kabisa, jamaa akatuitisha kuingia kwa road kufanya maandamano, kumbe yeye akasepa kwenda ubalozini. Sisi tuingie road tuvunjwe miguu wakati yeye anakula kuku kwa mrija ubalozini. Wanasiasa siyo watu wa kuaminika.
Ndo akili zenu CCM
 
Kesi ya Mbowe haikuwa ya mchongo, it was for real. It was proved that 3 disgraced ex commandos were hired by Mbowe to kill Moshi DC ole Sabaya and cause mayhem in the country. It was proved by tigopes that they were paid for the trip to Moshi. They were arrested on a sting operation before they reached Moshi, complete with their guns and anmunition. The Court reached a decision of Case to Answer before the President to intervened - we do not hang our ex Leaders, however bad they may be later.
How??? And it was proved by which Court and what the legal action taken positively for the benefit of our country?
 
Kesi ya Mbowe haikuwa ya mchongo, it was for real. It was proved that 3 disgraced ex commandos were hired by Mbowe to kill Moshi DC ole Sabaya and cause mayhem in the country. It was proved by tigopes that they were paid for the trip to Moshi. They were arrested on a sting operation before they reached Moshi, complete with their guns and anmunition. The Court reached a decision of Case to Answer before the President to intervened - we do not hang our ex Leaders, however bad they may be later.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Duu wewe kama siyo mjukuu wa Mangungo basi hupo mbali sana na ukoo wake si kwa utumwa huo wa akili....Wao wanachukua ngapi kutoka kwetu?
Wanachukua kwa sababu nyie ji wajinga. Ndio maana Trump alisema watu wa aina yako mkipewa Marekani na wao kuja huku basi baada ya miaka 5 nyie ndio mtaomba misaada Afrika.
 
Nadhani angeteswa na angefungwa jela pengine wangekuja kusema ameugua amepelekwa hospital na amefariki Kwa ugonjwa,after some time.
Kumbe Mungu alitenda kwa wema wake kabisa. Yaani kumuondoa mpanga mipango hiyo miovu kwa njia yeyote ile iwe Corona, kipindupindu au hata Kaswende!
Binadamu gani huyo asiyependa wengine waishi na kufurahia uumbaji wa Mungu?
Sasa hayo ni kwa nchi ambayo sio mali yake, jee akukute umepewa chakula nyumbani kwake binafsi sii anaweza agiza nawe upikwe supu akunywe?
 
Back
Top Bottom