Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Only fools can do thatkuna watu waliamini kuwa tb joshua ni kama Yesu Kristo duniani.
Mkuu yani kwamba RT nayo ni bora? Kituo ambacho mtazamo wa Putin nao ndio wanafuata huo huo. Ukiniambia wanatoa habari unazopenda nitakuelewa lakini hawana ukweli wowote hao bora hata BBC.BBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Aljazeera ndo kwishneiKitambo sana nilishaachana na kuifuatilia BBC, Habari ziko Al Jazeera,
Pale BBC Kila mtu ni shoga wanaupenda Ushoga balaa
Wote ni wale wale tu kwa sasaMkuu yani kwamba RT nayo ni bora? Kituo ambacho mtazamo wa Putin nao ndio wanafuata huo huo. Ukiniambia wanatoa habari unazopenda nitakuelewa lakini hawana ukweli wowote hao bora hata BBC.
Bora haswa MkuuTubaki tu social media
WoteSasa kati ya BBC na TB JOSHUA nani anaeneza Ushoga?
1. First of this is not the Declaration which is being discussed.Vatican news hii hapa,View attachment 2866540
Watu wanaongozwa na Papa asiye na marinda [emoji35][emoji35][emoji35]Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,
4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,
5. Nikagundua pia Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
6. Nimebaini baada ya kuivuruga Katoliki Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,
7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu wa Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa Jakobo ambae pia ni Mungu wangu na kwaasili ananguvu sana.
#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC kuanzia Sasa.