Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

Atheist usiyejuwa maana ya Atheist nishakupuuzaga kitambo, silishangai jibu lako ila nikukumbushe we sio atheist we ni brainwashed mmoja unayejikuta unawazuzua wabongo kumbe tunakuchora tu, afu kuna sii wamatumbi hatujawahi hata kuvuka boda tunakuona we pimbi tu
Hujanipuuza bado, ndiyo maana umenisoma na ukanijibu.

Ngoja nikuoneshe jinsi ya kumpuuza mtu.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa hata sitaona unachoandika.

Hivi ndivyo unavyompuuza mtu.
 
Hakyna chombo cha habari ambacho kina ripoti utakavyo bali wana kanuni inasema " ukweli ni kwa watu wachache"

Kuhusu TB Joshua huu mtego usihusishe Ukristo. Ukristo unatokana na Ukweli wa Kristo Yesu sio mazingaombwe wala utapeli wa kidini unaonea duniani. TB joshua amewahi kujiita Yashua Yahwe je huo nao ni Ukristo?.
 
Maaskofu walikua wanapinga nini mbona hawajawahi kupinga kabla mpaka papa alipoongea?
Na wewe huelewi ninachokisema:
1. Mara tu baada ya waraka (Declaration) kutoka,
2. BBC wakaripoti kwamba Papa amebariki Kanisa Katoliki kubariki ndoa za mashoga.
3. Lakini kwenye Declaration hakuna kitu kama hicho.
4. Mfano, Paragraph 4 ya Declaration inasema hivi: Pope Francis’ recent response to the second of the five questions posed by two Cardinals[4] offers an opportunity to explore this issue further, especially in its pastoral implications. It is a matter of avoiding that “something that is not marriage is being recognized as marriage.”[5] Therefore, rites and prayers that could create confusion between what constitutes marriage—which is the “exclusive, stable, and indissoluble union between a man and a woman, naturally open to the generation of children”[6]—and what contradicts it are inadmissible. This conviction is grounded in the perennial Catholic doctrine of marriage; it is only in this context that sexual relations find their natural, proper, and fully human meaning. The Church’s doctrine on this point remains firm." Paragraph 5 inasema hivi: "This is also the understanding of marriage that is offered by the Gospel. For this reason, when it comes to blessings, the Church has the right and the duty to avoid any rite that might contradict this conviction or lead to confusion. Such is also the meaning of the Responsum of the Congregation for the Doctrine of the Faith, which states that the Church does not have the power to impart blessings on unions of persons of the same sex."
3. Maaskofu kadhaa wa Afrika wamejitokeza kufafanua na kupinga 'misinterpretation' na upotoshaji unaofanywa na baadhi ya vyombo vya habari.
4. Wakasisitiza kwamba Kanisa Katoliki na wala wao hawawezi kubariki ndoa za mashoga.
5. Kwa hapa Tanzania kuna maaskofu kadhaa pia wamesema hivyo: Lwaichi, Methodius Kilaini, Nuwemugizi etc.
6. Sasa ni wapi ambapo wamepinga huo waraka? Si leteni nyaraka zao au dondoeni sentensi walizoziandika mkionyesha kwamba wamepinga waraka wa papa labda paragraph ya 1, ya 2 au ya 45 (maana waraka mzima una paragraphs 45).
7. Kusemasema maneno tu bila ushahidi wa kimaandishi ni kueneza uwongo wenu ambao hamuwezi kuuthibitisha. Leteni sentensi au paragraphs kutoka kwenye waraka husika (Declaration) kuonyesha kwamba papa kasema "barikini ndoa za mashoga". Nasubiri uweke hapa.
 
BBC wamesema kipi tofauti na alichosema Papa kuhusu ushoga??
Kama BBC wamepotosha Maaskofu mbalimbali wa Nchi za Africa kwa nini walitokwa na povu kuhusu waraka wa Papa??
Msingi wa 'argument' ni Papa kusema "barikini ndoa za mashoga" ambayo nimeuliza imeandikwa katika paragraph gani kati ya 1 na 45 ya Declaration au maaskofu wa Afrika kufafanua kuhusu Declaration na upotoshaji unaoendelea na kisha kusisitiza kwamba Kanisa Katoliki wala wao wenyewe hawawezi na hawataweza kubariki ndoa za mashoga? Wewe hapo tatizo lako ni nini? Mwanzoni si hao BBC walisema "Kanisa Katoliki linatambua ndoa za mashoga" na waraka wa Kanisa ulipotoka kwamba "Kanisa Katoliki linatambua ndoa ya mume na mke mmoja yenye uwezekano wa kupata watoto" ndipo sasa wamegeukia kwenye "kubariki ndoa za mashoga"? Bila kuwa na akili timamu huwezi kusoma huo waraka na kuelewa unasema nini, lazima utapotosha tu au kuandika mawazo yako. Na ndiyo maana nasema tuandike kwa data/facts/evidence kutoka katika waraka husika. Leteni paragraph yoyote (1-45) inayosema "barikini ndoa za mashoga". Nasubiri tena.
 
Upeo mdogo ndio tatizo la wengi ukichanganyika na mihemko ya kishabiki, hawa watu sio wa kuhangaika nao, ni kuwatazama tu waendelee kujifurahisha wanavyotaka.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ni kweli. Ila wanawapotosha watu wengi (innocent). Jana nilikuwa naongea na wife (naye alikuwa ameshapotoshwa) hadi nilipompa dondoo za waraka husika ndipo akaona tofauti. Lakini akaniambia hata rafiki yake mmoja (mke wa jirani yetu) naye ni Mkatoliki baada ya kusikia huu uwongo wa wazushi na hasa BBC akaamini ni kweli Papa analipeleka Kanisa Katoliki kusiko. Mume wake ni wa KKKT, ila yeye ni Mkatoliki. Nilikutana na mume wake nikampa huo waraka ausome na kesho yake alinipa mrejesho chanya, akisema "kumbe watu wanapotosha huu waraka makusudi." Mke wake anaamini BBC wakitoa habari ni za kweli (ndivyo huyo rafiki wa mke wangu alivyomwambia), lakini mimi nikamuuliza wife, "kwani BBC ni wasemaji wa Kanisa Katoliki?" Nikampa mfano kwamba, ukitaka kujua Rais wa Tanzania amesema nini kuhusu jambo fulani linalowahusu Watanzania, habari zake utazisoma wapi, gazeti la Rwanda au Burundi? Au utaenda kwenye tovuti ya Ikulu au vyombo vya habari vya serikali kama TBC, Daily News au HabariLeo? Nikaendelea kumuuliza: "Ukitaka kujua habari za Chadema wanafanya maendeleo gani, habari sahihi utazipata wapi? Gazeti la Musiba la Tanzanite? Gazeti la CCM la Uhuru, Mzalendo au Channel 10? Nikarudi kwa vyanzo vya habari vya Kanisa Katoliki: nikamtajia Vatican News, CNA (Catholic News Agency) na EWTN (kwa kutaja vichache)...kwa hapa Tanzania gazeti la Tumaini Letu, Kiongozi, Tumaini TV etc. Kwa nini watu hata kama watasoma habari BBC, DW, CNN na AL Jazeera wasi'cross-check' na vyanzo vya habari vya Kanisa Katoliki kujiridhisha? Kwa nini watu wanapenda kueneza uwongo zaidi kuliko ukweli wa jambo? Ukiwaambia hao wapotoshaji walete vifungu au paragraphs za waraka uliotolewa (una paragraphs 45) wataje hata paragraph moja ambayo papa anasema "barikini ndoa za mashoga", nimeuliza tangu mwanzo hadi leo hakuna mtu yeyote ambaye ameniletea. This means wanaeneza uzushi tu wasioweza kuusimamia. Hopeless kabisa and shame upon them!
 
Nimeanza kuconnect dot kumbe ndio maana Salim kikeke na Zuhura Yunus walikuwa huko🤔🤔🤔

Ndio maana hawaishi kumuwekea Papa maneno mdomoni wanaripoyi asichosema Papa

Ok ooooooo
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Hujaweka ushahidi, ni porojo tu, jibu hoja kwa hoja, BBC wameonyesha "miujiza" Ya, kuchonga ya marehemu, sasa wewe thibitisha uongo wao,acha kujificha nyuma ya maneno
 
Waislam ni kweli kuna mashoga lakini hakuna kiongozi wa waislam alieruhusu kwamba waumini wao wanaruhusiwa kufanya hayo matendo hila ni baadhi ya wasiokuwa na akili timamu wameamua kuwa mashoga hila nyinyi wenzetu mmeruhusiwa na kiongozi wenu papa lakini nnashangaa mnampinga huo ujasiri sijui mnatoa wapi kumpinga kiongozi wenu,kama ww mtoa mada unatakiwa uwe mfano kuwa na nidhamu kufuata unachoambiwa na kiongozi wako utafute bwana uolewe
😄😄😄😄 Waislamu bwana wanaogopa vitu vya Duniani kuliko Mbinguni kwenye maisha ya milele

Muislam yuko radhi kuogopa macho ya binadamu lakini sio Mungu aonae hadi sirini

Ndio mana kutwa kujificha wakienda kula kitimoto (nguruwe) na pombe au kipindi cha mfungo wao wengine hawafingi wanaokula kwa kujificha UNAFIKI MTUPU
 
Hakuna kama Yehova,

1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc

#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Sasa nyie Endeleeni kuwaabudu hao wanaojiita manabii au wachungaji badala ya kumuabudu Mungu.wataendelea kuwafanyia vitendo viovu.Mimi ni mkristo but i'm loyal to God and Jesus only.sasa nyie endeleeni kuwaabudu hao manabii wenu.BBC hawawezi kutoa habari ya uongo ili wasijaribu image yao.
 
Wewe ni tahira. Brain washed.
Jitahidi kuuzoesha ubongo wako kukubali mabadiliko.
TB Joshu na manabii wengine wahuni tuliwaonya kuwa ni mawakala wa Ibilisi mkabisha. BBC wamefanya uchunguzi wa kibinadsmu bado hamuamini
Wewe umepotea, tutajie hayo manyanyaso ambayo Tb Joshua alifanya kwa hao walioenda kuombewa kwake ili tuangalie uhalisia wa jambo hilo
 
Hakuna kama Yehova,

1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc

#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Hata me nimegundua kuwa wewe unachuki/ unawashwa juu ya Uislam na waislam kwa ujumla.
Sababu kichwa cha habari yako ni kuhusu BBC, hao waislam wameingiaje hapo kama sio kuwashwa?

Waislam ndio walio ripoti hiyo habari ya huyo shoga wenu munaemuita papa, kuhusu kuwabariki nyinyi munao fumuana marinda?
Kijana acha chuki dhidi ya Uislam labda mungu atakusameh dhambi yako ya ushoga.
 
Mbna mashoga wengi ni waislamu na wanapatikana ukanda wa pwani na mwambao wa uarabuni
Kwani we ni Muislam, au ni mtu wa mwambao wa pwani?
Mbona kitambo tu ulisha jidhihirisha kuwa wewe ni shoga?
Labda kwa mgeni wa JF ndie asie kujua ila kwa mimi wa 2011 nakujua fika, na nishazisoma post zako nyingi tu.
 
Hata mimi naona BBC na ushoga damudamu na kwa sasa wamegeuka kuwa wasemaji wa Kanisa Katoliki hata kuliko sources of information of Kanisa Katoliki kama vile Vatican News, CNA (Catholic News Agency) au EWTN. Na hasa wanaweka mlengo wao mbele zaidi kuliko ukweli wa habari husika. Mfano, wachangiaji wengi wanaochangia kuhusu Papa alichosema kuhusu ushoga na ndoa za mashoga wanachukua maoni ya BBC zaidi kuliko Declaration (Fiducia Supplicans). Na pia document imeongelea watu walio katika 'irregular marriage", lakini hawa BBC haijawagusa kabisa kwa sababu mlengo wao ni ushoga (sijui ni kampeni pia?).

Vatican news hii hapa,
IMG_5083.jpg
 
TB ni nabii wa uongo Hilo lipo wazi hata kama BBC bila kumchafua.
Halafu BBC eyes sio sawa na media za udaku wale Wana ushahidi hawasemi uongo.
BBC eyes documentary zao huwa na ushahidi hata mahakamani wanakushinda.
Nashangaa wanajaribu kumsafisha marehemu. Wanadhani BBC ni sawa na TBC.
 
Sasa nyie Endeleeni kuwaabudu hao wanaojiita manabii au wachungaji badala ya kumuabudu Mungu.wataendelea kuwafanyia vitendo viovu.Mimi ni mkristo but i'm loyal to God and Jesus only.sasa nyie endeleeni kuwaabudu hao manabii wenu.BBC hawawezi kutoa habari ya uongo ili wasijaribu image yao.
kuna watu waliamini kuwa tb joshua ni kama Yesu Kristo duniani.
 
TB Joshua kabaka sana wanawake kwenye Kanisa lake Watanzania kibao kawatafuna.
 
Back
Top Bottom