blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Awe na uhakika lakini..usije ikawa yeye ndio kapotoka..Subiri timu ya waandishi ikushambulie pamoja na nia yako njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe na uhakika lakini..usije ikawa yeye ndio kapotoka..Subiri timu ya waandishi ikushambulie pamoja na nia yako njema
Anasema ni Mwalimu na mtaalamu mbobezi kwenye hilo eneoAwe na uhakika lakini..usije ikawa yeye ndio kapotoka..
Salutation ya post yako imejustfy maumivu makali sana kukosolewa. Na wakosoaji tunapewa majina ya wenye chuki na wapinga maendeleo.Mkuu kwanza una chuki na ni mpinga maendeleo.. Hakuna mapinduzi TIE imefanya Kama hili la vitabu..
Mapungufu yapo ya kibinadamu na ni machache yanarekebishika, Kama mtoa madam alivyokuja na utambuzi wake.
Though mi sijui kitu kwenye Physics... Wajuvi waje waseme kitu ..
wacheni kumnanga mwenzenu yeye ameleta hoja nzito nyinyi mumebaki munamkosoa kwa kuchanganya kiswahili na kiingereza. Kwani wangapi humu wanafanya hivyo?Una mwandiko mbaya halafu unakosoa wenzako,umemaliza chuo kweli? kuandika Kiswahili fasaha ni tatizo ,halafu kuchanganya Kiswahili na English kwenye mada moja ni ujinga andika kwa kutumia lugha moja .
Aisee hadi hurumaBaada ya huyo jamaa kunitumia hii picha View attachment 2784971
Na anaona yupo sahihi hakika ukisemacho ni kweli.
I'm just wasting my time here.
Huyo dereva wa bodaboda anabishanya na mwenye fani yakewacheni kumnanga mwenzenu yeye ameleta hoja nzito nyinyi mumebaki munamkosoa kwa kuchanganya kiswahili na kiingereza. Kwani wangapi humu wanafanya hivyo?
Au wewe ni katika wamiliki wa kitabu kilichokosolewa?
Makosa kwenye kitabu siyo vizuri maana siyo wote wanaweza kugundua.
Una uhakika alisema physics au civics ......😁😁😁Siku hizi dv one za 3 gunia, kuna dogo amepata one ya 3,nikasema nimetest phys kidogo nina miaka 8 ya physics , lakini nagusaga gusaga nikiwa na Mda,
Dogo ni mchache kinoma mpaka unajiuliza iyo A kaipatia wapi?
Vidogo vya Siku hizi mna dharau,Una uhakika alisema physics au civics ......😁😁😁
Unatuacha bwanaThere is always negative people abstaining every positive outcome, it doesn't surprise me.
Well We can't all be engineers and that's final. And one more thing you didn't even ask my achievement your assertion just assumed that I can't repair active or passive components of electronic devices, and that tells a lot about you.
Wakati huo tupo theoretically unampandikiza mtoto diagram ambayo haiendani na uhalisia ,Physics sio kitu cha kuchezea, mtoto akishamezeshwa hivyo italeta taabu baadae.
TIE tafadhali rekebisheni hilo tatizo na pia muwe na tabia ya kujibu mails.
Hakunaga scientists ambaye yuko bora kwenye uandishi ,kila mtu abaki na fani yakeUnatuacha bwana
Yanini kuongea lugha broken namna hiyo, si bora utumie kiswahili tu. Kuambiwa uanzishe electronics workshop ndio nimemaanisha huwezi kwani? Vumbuzi kubwa duniani zimefanywa na academic scholars kwenye maabara za vyuoni mwao, kupractise unachofundisha sio kuwa engineer..., inaonekana hata hujui hizo PN junction hutumika wapi kwa namna gani...There is always negative people abstaining every positive outcome, it doesn't surprise me.
Well We can't all be engineers and that's final. And one more thing you didn't even ask my achievement your assertion just assumed that I can't repair active or passive components of electronic devices, and that tells a lot about you.
Hujanielewa kiongozi.....au umetafsiri vibaya.Vidogo vya Siku hizi mna dharau,
Dah haya ngoja nikuache .......wewe ndo ulisoma