Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanyakazi ya kuchora vitabu vya kiada vya TIE.Mimi ni muhitumu wa phy kutoka chuo y, nimeweza notice some very serious error katika kitabu cha physics form one na form four TIE na kujaribu kuwatumia email lakini sikupata any response.
On my personal thought ni kua kids are learning the mistakes ya editors and not all teachers can notice hii Ina maanisha nini katika vitabu vya TIE, ni pendekezo langu hiyo error iweze kurekebishwa. Asante
View attachment 2784886
For pnp transistor emitter and base region is forward Biased lakini ukiangalia mchoro sio sahihi.
Thanks for noticing amigo.🙏Nimefanyakazi ya kuchora vitabu vya kiada vya TIE.
Niligundua hakuna majitu bogus na imbeciles kama hao jamaa.
Serikali imejimilikisha uchapaji wa vitabu vya elimu na kuua sekta ya uchapishaji binafsi nchini. Haya ndo maubunifu ya serikali
😸 Usiteteme dogo jaribu kutafuta wa karibu yako mfanye discussion kidogo.Ivi wewe pia ni expert wa physics? Je uliisoma physics electronics ukaielewa? Ulichokifanya hapo mpaka nimeogopa, hakika mwili umetetema hicho ndicho unawafundisha watoto?
Baada ya huyo jamaa kunitumia hii pichaAisee
Utakoma mwenyewe
Humu unabishana na bodaboda, wauza mifuko, majobless, yaani ni full vurugu na undondo...
waache tu, hata wakirekebisha, wataambiwa wajiajiri, ndio maana wanakutolea povu....
SwaliUna mwandiko mbaya halafu unakosoa wenzako,umemaliza chuo kweli? kuandika Kiswahili fasaha ni tatizo ,halafu kuchanganya Kiswahili na English kwenye mada moja ni ujinga andika kwa kutumia lugha moja .
Wewe kwa knowledNimefanyakazi ya kuchora vitabu vya kiada vya TIE.
Niligundua hakuna majitu bogus na imbeciles kama hao jamaa.
Serikali imejimilikisha uchapaji wa vitabu vya elimu na kuua sekta ya uchapishaji binafsi nchini. Haya ndo maubunifu ya serikali
Baada ya huyo jamaa kunitumia hii picha View attachment 2784971
Na anaona yupo sahihi hakika ukisemacho ni kweli.
I'm just wasting my time h
Ni uongo ,, kukosoa anaruhusiwa ila kakosoa sehemu sahihi akubali kuwa hajatuliza ubongoSwali
Alichokiweka ni kweli au uongo?
Hakuaswa kukosoa?
Ivi wewe unataka kuniambia kua emitter current ina flow kwenye collector according to your diagram inaonesha ume indicate C sehemu ya emitter na E sehemu ya collector you are wrong shame on you.😸 Usiteteme dogo jaribu kutafuta wa karibu yako mfanye discussion kidogo.
NB usitangulize ufahamu wako katika discussion hiyo tunao wengi sana walimu kama nyie msiokubali kubadilishwa
I'm ashamed that people like you teaches physics to our children if you can't even know where the emitter current and collector current flow.😔Wewe kwa knowled
Ni uongo ,, kukosoa anaruhusiwa ila kakosoa sehemu sahihi akubali kuwa hajatuliza ubongo
Baada ya huyo jamaa kunitumia hii picha View attachment 2784971
Na anaona yupo sahihi hakika ukisemacho ni kweli.
I'm just wasting my time here.
Ivi wewe unataka kuniambia kua emitter current ina flow kwenye collector according to your diagram inaonesha ume indicate C sehemu ya emitter na E sehemu ya collector you are w
Ivi wewe unataka kuniambia kua emitter current ina flow kwenye collector according to your diagram inaonesha ume indicate C sehemu ya emitter na E sehemu ya collector you are wrong shame on you
Asante meshame on me ,, naomba tufanye mjadala kesho huu uzi tuuache ila "labelling ndo nime misplace" kwenye mchoro huo lkn ukweli hauwez kubadilikaIvi wewe unataka kuniambia kua emitter current ina flow kwenye collector according to your diagram inaonesha ume indicate C sehemu ya emitter na E sehemu ya collector you are wrong shame on you.
View attachment 2784975
Let me take you back to class,Wewe kwa knowled
Ni uongo ,, kukosoa anaruhusiwa ila kakosoa sehemu sahihi akubali kuwa hajatuliza ubongo
Okay but sometimes it's okay to admit when something is wrong So that it can be rewritten that's all , they got it wrong they should rewritte it.Asante meshame on me ,, naomba tufanye mjadala kesho huu uzi tuuache ila "labelling ndo nime misplace" kwenye mchoro huo lkn ukweli hauwez kubadilika
Ivi wewe pia ni expert wa physics? Je uliisoma physics electronics ukaielewa? Ulichokifanya hapo mpaka nimeogopa, hakika mwili umetetema hicho ndicho unawafundisha watoto?
Dogo nakiri kosa kweli kipengere icho pamekosewa of course ,,Let me take you back to class,
For p-type to be forward Biased it must be connected to positive terminal and for it to be reverse biased it must be connected to negative terminal, if what said holds true now take a grimpse of the diagram, both terminal are reverse biased Emitter base and collector base are both reverse Biased ( both connected to negative terminal) so what's your point? Are you trying to prove something Wich is completely wrong to be true?
Sawa mwalimu nmefuatilia kweli naomba unisamehe bure kwa pnp kweli iko wrong" lkn kwa npn naona pako sahihi nikukaribishe uongee napo kama pamekosewa,,Okay but sometimes it's okay to admit when something is wrong So that it can be rewritten that's all , they got it wrong they should rewritte it.
🙏 You are a true physicist, It was just that partSawa mwalimu nmefuatilia kweli naomba unisamehe bure kwa pnp kweli iko wrong" lkn kwa npn naona pako sahihi nikukaribishe uongee napo kama pamekosewa,,
Okay but sometimes it's okay to admit when something is wrong So that it can be rewritten that's all , they got it wrong they should rewritte it.
🤝Kusema ukweli mm nafundisha advance kwo sjakikagua zaidi iki kitabu nakushukuru kwa kugundua kosa nadhani wanalifanyia kazi soon ilo tatizo litakuwa solved🙏 You are a true physicist, It was just that part
I'm sorry too for my tough language stay blessed.
Subiri timu ya waandishi ikushambulie pamoja na nia yako njemaMimi ni muhitumu wa Phy kutoka chuo Y, nimeweza notice some very serious errors katika kitabu cha physics form one na form four TIE na kujaribu kuwatumia email lakini sikupata any response.
On my personal thought ni kuwa, watoto wanajifunza makosa ya wahariri and not all teachers can notice. Hii Ina maanisha nini katika vitabu vya TIE? Ni pendekezo langu hilo kosa liweze kurekebishwa.
Daaa jamaa upo serious kabisaaa!Mimi ni muhitumu wa Phy kutoka chuo Y, nimeweza notice some very serious errors katika kitabu cha physics form one na form four TIE na kujaribu kuwatumia email lakini sikupata any response.
On my personal thought ni kuwa, watoto wanajifunza makosa ya wahariri and not all teachers can notice. Hii Ina maanisha nini katika vitabu vya TIE? Ni pendekezo langu hilo kosa liweze kurekebishwa.
Asante.
View attachment 2784886
For pnp transistor emitter and base region is forward biased lakini ukiangalia mchoro sio sahihi.
Mkuu kwanza una chuki na ni mpinga maendeleo.. Hakuna mapinduzi TIE imefanya Kama hili la vitabu..Nimefanyakazi ya kuchora vitabu vya kiada vya TIE.
Niligundua hakuna majitu bogus na imbeciles kama hao jamaa.
Serikali imejimilikisha uchapaji wa vitabu vya elimu na kuua sekta ya uchapishaji binafsi nchini. Haya ndo maubunifu ya serikali