Je, ninunue aina ipi na nizitunze vipi cadet na jeans zikae walau mwaka?

Je, ninunue aina ipi na nizitunze vipi cadet na jeans zikae walau mwaka?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kuna kale karaha mtu upo huko katika shughuli zako umevaa nguo bado zipo fresh, Sio unapita sehemu nguo imepauka/rangi zimefifia yani hata mtu akikuangalia mara mbili unajua tu hapa kipengele ni nguo.

Nilinunua jeans 2 na cadet 2, kwa ufinyu wa bajeti yangu nilinunua jeans elf 25 kwa pair na cadet zilikuwa elf 28 kwa pair.

Nilitegemea walau zinivushe huu mwaka lakini hali imekuwa ndivyo sivyo, kwa sasa naanza kuona hata soo kuzivaa.

Nawaza hapa nikanunue cadet na jeans aina ipi ambazo zitaweza kunivusha salama huu mwaka na pia nizitunze vipi.

Jamani nguo zinanipasulia bajeti, naombeni ushauri please.
 
Nilinunua jeans 2 na cadet 2, kwa ufinyu wa bajet yangu nilinunua jeans elf 25 kwa pair na cadet zilikuwa elf 28 kwa pair.

Nilitegemea walau zinivushe huu mwaka lakini hali imekuwa ndivyo sivyo, Kwa sasa naanza kuona hata soo kuzivaa.

nawaza hapa nikanunue cadet na jeans aina ipi ambazo zitaweza kunivusha salama huu mwaka na pia nizitunze vipi.

Jamani nguo zinanipasulia bajeti naombeni ushauri please.
Nenda maduka ya max kanunue cardet brand ya max utakuja kunishukuru
 
Kuna kale karaha mtu upo huko katika shughuli zako umevaa nguo bado zipo fresh, Sio unapita sehemu nguo imepauka / rangi zimefifia yani hata mtu akikuangalia mara mbili unajua tu hapa kipengere ni nguo.

Nilinunua jeans 2 na cadet 2, kwa ufinyu wa bajeti yangu nilinunua jeans elf 25 kwa pair na cadet zilikuwa elf 28 kwa pair.

Nilitegemea walau zinivushe huu mwaka lakini hali imekuwa ndivyo sivyo, Kwa sasa naanza kuona hata soo kuzivaa.

nawaza hapa nikanunue cadet na jeans aina ipi ambazo zitaweza kunivusha salama huu mwaka na pia nizitunze vipi.

Jamani nguo zinanipasulia bajeti naombeni ushauri please.

Cadet na Jeans zina kanuni zake za utunzaji!
Wewe bila shaka ulizianika kwenye jua, ulizifua kwa kutumia sabuni ya unga, unatakiwa uzipige pasi nje ndani(naamini hukufanya hivyo), ulitumia maji ya chumvi kuzifua, ulizikamua na kuzikung'uta!
Zitatamanikaje sasa...!?
 
Kuna kale karaha mtu upo huko katika shughuli zako umevaa nguo bado zipo fresh, Sio unapita sehemu nguo imepauka / rangi zimefifia yani hata mtu akikuangalia mara mbili unajua tu hapa kipengere ni nguo.

Nilinunua jeans 2 na cadet 2, kwa ufinyu wa bajeti yangu nilinunua jeans elf 25 kwa pair na cadet zilikuwa elf 28 kwa pair.

Nilitegemea walau zinivushe huu mwaka lakini hali imekuwa ndivyo sivyo, Kwa sasa naanza kuona hata soo kuzivaa.

nawaza hapa nikanunue cadet na jeans aina ipi ambazo zitaweza kunivusha salama huu mwaka na pia nizitunze vipi.

Jamani nguo zinanipasulia bajeti naombeni ushauri please.
Mhhhh
 
Jamaa kaongea ila kweli nguo nyingi zilizopo madukani tens zingine zinauzwa bei ghari hazina Ubora huyu Mwamba nguo anazijua ukiwa na nguo chache kama ni bora hazitafubaha haraka wala kupoteza ile rangi yake halisi..unakuta Kadeti ikipigwa na jua huku umeivaa inapauka kwenye magoti kuja juu ila zipo Pamba ukibahatika kuyajua maduka yao bei kawaida na zipo sawa hasa nguo zinazotoka Thailand,Vietnam na India..Waturuki pia wanazo ila kwa kiwango kidogo kinachokuja Tanzania na wafanyabiashara wakileta zinakuwa ghari kidogo...
 
Cadet na Jeans zina kanuni zake za utunzaji!
Wewe bila shaka ulizianika kwenye jua, ulizifua kwa kutumia sabuni ya unga, unatakiwa uzipige pasi nje ndani(naamini hukufanya hivyo), ulitumia maji ya chumvi kuzifua, ulizikamua na kuzikung'uta!
Zitatamanikaje sasa...!?
Midosho ni midosho tuu , hata ufanye nn , zitachuja rangi na zitapauka, nguo kali haina mashart kama ya mganga
 
Jamaa kaongea ila kweli nguo nyingi zilizopo madukani tens zingine zinauzwa bei ghari hazina Ubora huyu Mwamba nguo anazijua ukiwa na nguo chache kama ni bora hazitafubaha haraka wala kupoteza ile rangi yake halisi..unakuta Kadeti ikipigwa na jua huku umeivaa inapauka kwenye magoti kuja juu ila zipo Pamba ukibahatika kuyajua maduka yao bei kawaida na zipo sawa hasa nguo zinazotoka Thailand,Vietnam na India..Waturuki pia wanazo ila kwa kiwango kidogo kinachokuja Tanzania na wafanyabiashara wakileta zinakuwa ghari kidogo...
Wewe nguo za akina Mr kadeti sjui vunjabei , unasema kuna nguo hapo au ni kusitirika tuu uonekane haupo uchi
 
Back
Top Bottom