Tumia Sabuni za kipande hazina acid Nyingine ambazo unaweza kufulia na kuogea, usifulie MAJI ya chumvi, usiache Nguo juani kutwa nzima ikiwezekana anima kuani mda mfupi MAJI yakichuja zianike kimvulini zikauke kwa upepo utaratibu, nimeshawahi kukausha Nguo kwaupepo wa feni Nguo inakauka vizuri, pia wakati wa kunyosha tanguliza kitambaa Juu ya Nguo unayonyoosha na Pasi inazuia Nguo kupauka haraka, ni hayo tuu nawasilisha