HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Na sijui kwanini serikali imeruhusu zile karatasi ziuzwe KKOOK/koo ni dampo la midosho
Ukitaka nguo, nenda mtumbani,woolworth, splash,max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sijui kwanini serikali imeruhusu zile karatasi ziuzwe KKOOK/koo ni dampo la midosho
Hakuna mfanyabiashara atakwambia fake mkuu shida wanakuaminisha kwa bei kubwa uamini kumbe nguo ni ileile ya bei cheeKuna jamaa mtandaoni anaitwa dinyasmart ukiangalia picha za jeans zake nikama zimetulia sema bei yake ndo mkasi sana 50k na kuendelea. Ubora ndo sijajua yukoje.
Mkuu ni yaleyale kwa cadet ya 50k wanapandisha bei kukuaminushaNguo nyingi za dukani ni kimeo sana, ikifuliwa mara tatu kazi imeisha. Sijui labda tununue cadet za 50k kwenda juu au vipi, hizi za 25k, 35k hamna kitu.
Mzee kwa cadet za karikoo na tunduma hata uwe unashinda nayo ndani kupauka kupo palepaleKuwa na utaratibu wa kuvaa kwa wiki mbili suruali moja ndo ifuliwe,usifue kila baada ya kuvaa kwa siku tatu wewe sio mtoto wa kike,
Kama una mke mzuie kufua fua hovyo suruali zako
Na zinapofuliwa zisikamuliwe na zianikwe kivulini
Wiki mbili tunavaa kwa namna hii,vaa kwa siku saba mfululizo,baada ya hapo badilisha,ile uliyovua itie kwenye begi au kabati,vaa zingine,siku nyingine tena ichukue uivae kwa siku saba tena baada ya hapo ndo uifue,kwa suruali zote fanya hvyo
Ina maana kwa hzo suruali zako nne utakuwa unamaliza mwezi mzima bila kufua suruali
street soul ndo utakutana na suluali ya 300k moja mtumba utakutana na suluali ya 10kUlipata muda na uwezo ingia pale Street soul nao huuza vitu vyenye ubora wa kuuzwa Europe
Karakoo kuna baadhi ya maduka huuza vitu vyenye ubora sana na bei inakuwa juu pia wenyewe huiita chambuu ila pia kuna walaghai nao wanaojiita kwa jina Hilo Hilo hivyo umakini unahitajika
Pia unaweza pata nguo bora kwenye maduka ya mitumba wanaojiita mitumba classic ila pia ukiwa na muda nenda mitumbani au wavizie wale wanatembeza mabegani
Ila dawa ya yoote hayo jitahidi uwe na mavazi mengi sana ili kufanya isiwe unafua kila baada ya muda mfupi ambapo kutapelekea nguo kuchoka mapema,kupoteza hamu ya kuivaa na kuiondolea mvuto kwa wanaokutazama
Ndio msijiane nunueni cadet za kueleweka, nilimnunuliaga bwana amgu cadet enzi hizo pale sandaland mpk leo anazo sijui kama bado wanauza za ubora huo mpaka sasaNguo nyingi za dukani ni kimeo sana, ikifuliwa mara tatu kazi imeisha. Sijui labda tununue cadet za 50k kwenda juu au vipi, hizi za 25k, 35k hamna kitu.
Midosho ni midosho tuu , hata ufanye nn , zitachuja rangi na zitapauka, nguo kali haina mashart kama ya mganga
Bora hata mie nivae matambara kuliko hizo og ambazo kuhudumia tabu kama mwanachuoNani kakudanganya nguo kali hazina masharti?
Wewe nguo huzijui wewe!
Umezoea kuvaa matambara ya Tandika unafulia maji ya chumvi na kutumia sabuni za magadi!
Hivi unaijua suti Og za brand kama Giorgio Armani ni za kufua kwa maji ya chumvi na kuanika kwenye mawe ama majani...?
Wewe nguo kali huzijui ndio maana unasema hazina masharti!
Wee endelea kuvaa matambara ya tandika huko ndio hayana masharti!
Bora uongeze 20 uende Splash au WoolworthKuna jamaa mtandaoni anaitwa dinyasmart ukiangalia picha za jeans zake nikama zimetulia sema bei yake ndo mkasi sana 50k na kuendelea. Ubora ndo sijajua yukoje.
Nguo yatakiwa ifuliwe baada ya kuvaliwa mara 4Kuwa na utaratibu wa kuvaa kwa wiki mbili suruali moja ndo ifuliwe,usifue kila baada ya kuvaa kwa siku tatu wewe sio mtoto wa kike,
Kama una mke mzuie kufua fua hovyo suruali zako
Na zinapofuliwa zisikamuliwe na zianikwe kivulini
Wiki mbili tunavaa kwa namna hii,vaa kwa siku saba mfululizo,baada ya hapo badilisha,ile uliyovua itie kwenye begi au kabati,vaa zingine,siku nyingine tena ichukue uivae kwa siku saba tena baada ya hapo ndo uifue,kwa suruali zote fanya hvyo
Ina maana kwa hzo suruali zako nne utakuwa unamaliza mwezi mzima bila kufua suruali
Nguo za mitumba cadet hiyo hiyo imetumika ulaya na hapa utavaa kufua na kuanika bila masharti .
Kuna shida kwenye ubora wa nguo mpya tunazoletewa , watu inaonekana wanachukua the lowest of the low quality products.
Ninunue cadet moja 70k, labda nina wazimu[emoji16]Ndio msijiane nunueni cadet za kueleweka, nilimnunuliaga bwana amgu cadet enzi hizo pale sandaland mpk leo anazo sijui kama bado wanauza za ubora huo mpaka sasa
😀😀😀😀😀😀unanunua tuNinunue cadet moja 70k, labda nina wazimu[emoji16]
Sure nilinunua Cadet 2 shs 55,000 kila moja. Eti hazi chuji. Kumbe ni za hovyo tu.Jamaa kaongea ila kweli nguo nyingi zilizopo madukani tens zingine zinauzwa bei ghari hazina Ubora huyu Mwamba nguo anazijua ukiwa na nguo chache kama ni bora hazitafubaha haraka wala kupoteza ile rangi yake halisi..unakuta Kadeti ikipigwa na jua huku umeivaa inapauka kwenye magoti kuja juu ila zipo Pamba ukibahatika kuyajua maduka yao bei kawaida na zipo sawa hasa nguo zinazotoka Thailand,Vietnam na India..Waturuki pia wanazo ila kwa kiwango kidogo kinachokuja Tanzania na wafanyabiashara wakileta zinakuwa ghari kidogo...