we jamaa nimecheka sana hapo inapo mwaga kama bahamaKuna duka niliingia nikanunua jeans 120,000 plain. Ukinunua plain ya 45,000 hata wiki haichukui, natumia kwa ofisini pia.
Nimevaa niksema niipeleke dry cleaner isiharibike, ajabu iliporudi nashangaa imekuwa kubwa then inamwagika kama "Bahama" nilichoka kabisa.
Nanunua mtumba mkali, napelekea fundi mzuri anauchonga fresh!! 10,000 na kuichonga 2,000 hadi 5,000 kutegemea na ugumu wa mashono ya hiyo jeans.
Nikitupia midosho yenu ikasome
Chambuu ni nguo za miaka ya late 90 to ealry 2000, siku hizi limebaki jina tu kariakoo kuhadaa watu , hazipo tena !! ni kweli zilikuwa nguo bomba sana ,maana neno chambuu lilitokana na" chambua" wafanyabiashara walikuwa wanachambua nguo zenye dosari kidogo kutoka kwenye nguo first class destined to first world .ni zile nguo ambazo zinapelekwa Us halafu zikanonekana zina kasoro kidogo huwa zinarudishwa kama reject huko china na thailand , ukichambua unapata nguo nzuri tu mpya kabisa na quality fabricsUlipata muda na uwezo ingia pale Street soul nao huuza vitu vyenye ubora wa kuuzwa Europe
Kariakoo kuna baadhi ya maduka huuza vitu vyenye ubora sana na bei inakuwa juu pia wenyewe huiita chambuu ila pia kuna walaghai nao wanaojiita kwa jina Hilo Hilo hivyo umakini unahitajika
Pia unaweza pata nguo bora kwenye maduka ya mitumba wanaojiita mitumba classic ila pia ukiwa na muda nenda mitumbani au wavizie wale wanatembeza mabegani
Ila dawa ya yoote hayo jitahidi uwe na mavazi mengi sana ili kufanya isiwe unafua kila baada ya muda mfupi ambapo kutapelekea nguo kuchoka mapema,kupoteza hamu ya kuivaa na kuiondolea mvuto kwa wanaokutazama
Inategemeana unafanya kazi gani, binafsi nafanya casual work , hakuna namna naweza kurudia suruali niliyoivaa kwa silu mojaKuwa na utaratibu wa kuvaa kwa wiki mbili suruali moja ndo ifuliwe,usifue kila baada ya kuvaa kwa siku tatu wewe sio mtoto wa kike,
Kama una mke mzuie kufua fua hovyo suruali zako
Na zinapofuliwa zisikamuliwe na zianikwe kivulini
Wiki mbili tunavaa kwa namna hii,vaa kwa siku saba mfululizo,baada ya hapo badilisha,ile uliyovua itie kwenye begi au kabati,vaa zingine,siku nyingine tena ichukue uivae kwa siku saba tena baada ya hapo ndo uifue,kwa suruali zote fanya hvyo
Ina maana kwa hzo suruali zako nne utakuwa unamaliza mwezi mzima bila kufua suruali
Bree street!!! Umenikumbusha mbali sana mzeee mitaa yangu hiyo enzi nikiwa barobaroHarafu cha ajabu kama mimi nanunua kawaida tuu hapo Bree Street kwa Wa Ethiopian Jean zao ni Rand 200 kama 28,000 na kadet wanauza bei hiyo hiyo mazee ni ngumu na Kadet kweli haifubai mpaka unaweza kugawa mtu akadhani umempa nguo mpya kumbe ina siku kadhaa mwilini Bongo tunauziana vitu having ubora harafu bei ghari na tunaona Ujanja huo ..nguo haina hata level wahuni wanakwambia 60,000 hiyo hela unapata Levis 350 mbili mpya au Wrangler...
Tommy Hillfiger ni racist na alishawahi kutamka kuwa products zake si kwa watu weusi (blacks ) jewish or asian weusi wavae tu kama zinawatosha ila si lengo lake kumvesha black!!! .Nunua Cardet za Tommy Hilfiger , usifue kwa Sabuni ya Unga, Tumia Kipande, kama unatumia Machine tumia shampoo ya kuogea kama sabuni. Simple
Hata leo nimepita hapo nimekutana na bidhaa nzuri mno kwa Wa Ethiopia hapo pana Jean kali sana na Simple za kike na Kiume balaa ngoja nitume baadhi maana jamaa katuweka kwenye group akiwa na bidhaa kali anatupia..hivi viatu kabla sijatoka nabeba hapa bei nzuri tuuBree street!!! Umenikumbusha mbali sana mzeee mitaa yangu hiyo enzi nikiwa barobaro
Kukaa kwangu corner Claim & bree!!
Ni Tz hapa au ?Hata leo nimepita hapo nimekutana na bidhaa nzuri mno kwa Wa Ethiopia hapo pana Jean kali sana na Simple za kike na Kiume balaa ngoja nitume baadhi maana jamaa katuweka kwenye group akiwa na bidhaa kali anatupia..hivi viatu kabla sijatoka nabeba hapa bei nzuri tuu
Hapana,ni kwa madiba hapoNi Tz hapa au ?
Mimi naona sijazingua..Mkuu hyo avatr umezingua
Kenge kama wewe hapo ukute hata IST huna.TAFUTA HELA kadet sio nguo ya kuvaa
TAFUTA HELA nguo moja sio ya kuvaa mwaka mzima.
TAFUTA HELA IST ni gari za wanawakeKenge kama wewe hapo ukute hata IST huna.
Hata baiskeli huenda ukawa huna. Unashinda kucheza pool na kunywa energy tuTAFUTA HELA IST ni gari za wanawake
Ndio maana umesema huenda. HaunijuiiHata baiskeli huenda ukawa huna. Unashinda kucheza pool na kunywa energy tu
Hela ninayo sasa nitafute nini? Ni wewe wa kutafuta hela. Avatar yako inazungumza yoteNdio maana umesema huenda. Haunijuii
Narudia tena TAFUTA HELA
Hauna pesa na unanunua suruali elf 28 moja?Kuna kale karaha mtu upo huko katika shughuli zako umevaa nguo bado zipo fresh, Sio unapita sehemu nguo imepauka/rangi zimefifia yani hata mtu akikuangalia mara mbili unajua tu hapa kipengele ni nguo.
Nilinunua jeans 2 na cadet 2, kwa ufinyu wa bajeti yangu nilinunua jeans elf 25 kwa pair na cadet zilikuwa elf 28 kwa pair.
Nilitegemea walau zinivushe huu mwaka lakini hali imekuwa ndivyo sivyo, kwa sasa naanza kuona hata soo kuzivaa.
Nawaza hapa nikanunue cadet na jeans aina ipi ambazo zitaweza kunivusha salama huu mwaka na pia nizitunze vipi.
Jamani nguo zinanipasulia bajeti, naombeni ushauri please.
Mkuu ghari ndio kiswahili cha wapi ? Kwa ulivyoandika hii comment yako na hii ghari unaonekana kabisa ulikua backbencher mzee wakati wenzio wanajifunza kutofautisha herufi wewe ulikua unatoa makamasi puani huku ukiyalambaJamaa kaongea ila kweli nguo nyingi zilizopo madukani tens zingine zinauzwa bei ghari hazina Ubora huyu Mwamba nguo anazijua ukiwa na nguo chache kama ni bora hazitafubaha haraka wala kupoteza ile rangi yake halisi..unakuta Kadeti ikipigwa na jua huku umeivaa inapauka kwenye magoti kuja juu ila zipo Pamba ukibahatika kuyajua maduka yao bei kawaida na zipo sawa hasa nguo zinazotoka Thailand,Vietnam na India..Waturuki pia wanazo ila kwa kiwango kidogo kinachokuja Tanzania na wafanyabiashara wakileta zinakuwa ghari kidogo...
Mkuu nashukuru sana maisha ya kujisifia Elimu ni kwa wale waliobahatisha kupata Elimu ila kwa wale wenye uhakika na hiyo toka vizazi vyao huwezi kusikia wakiona wakipiga kelele ...mnabaki kujisifia Elimu huku maisha yakiwapiga ukimaliza shule ongelea mipango sio muda wote mambo ya darasani wakati sio vitu vya kuferi...Mkuu n
Mkuu ghari ndio kiswahili cha wapi ? Kwa ulivyoandika hii comment yako na hii ghari unaonekana kabisa ulikua backbencher mzee wakati wenzio wanajifunza kutofautisha herufi wewe ulikua unatoa makamasi puani huku ukiyalamba
Kuna duka niliingia nikanunua jeans 120,000 plain. Ukinunua plain ya 45,000 hata wiki haichukui, natumia kwa ofisini pia.
Nimevaa niksema niipeleke dry cleaner isiharibike, ajabu iliporudi nashangaa imekuwa kubwa then inamwagika kama "Bahama" nilichoka kabisa.
Nanunua mtumba mkali, napelekea fundi mzuri anauchonga fresh!! 10,000 na kuichonga 2,000 hadi 5,000 kutegemea na ugumu wa mashono ya hiyo jeans.
Nikitupia midosho yenu ikasome
Ninunue cadet moja 70k, labda nina wazimu[emoji16]