Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Za asubuhi wakuu,
No offense to my muslim folks, naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi kukuta sehemu wanauza supu ya mdudu.
Kiukweli Mimi kuzunguka kwangu kote nlibahatisha sehemu kuna supu ya KONGORO la mdudu Ila sio Ile pure nyama kabisa.
Napenda kuuliza, je nyama yake haifai Kwa supu au kuna madhara yatokanayo na kuinywa supu yake?
inawezekana sehemu zipo,mimi sikuwahi kusikia mtu kala maini ya Nguluwe ila kuna siku nimeenda sehemu yangu fulani dada muuzaji akanambia yapo maini ya nguluwe nikakaangiwa yakalostiwa
siku nyingine kuna dada nilimpa hela afate nyama ya nguluwe akaleta ulimi ila ulikuwa mtamu,hivo basi nguluwe ana mambo mengi kwa kuna uwezekano supu yake inapigwa ila kongolo za miguu sidhani