ngasha
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 145
- 74
Hi JF chit-chat
Bila shaka wote mko poa, nataka maoni yenu please
Nilikaa nikajiuliza kaswali kamoja ivi nikatafakari nikakosa jibu la kuniridhisha nimeamua niwashirikishe ili tupate jibu sahihi zaidi, kaswali kenyewe no haka
"JE, PESA HUMALIZA MATATIZO AU MATATIZO HUMALIZA PESA ?"
Nataka hoja zenu nipate mwenye majibu ya kuridhisha (great thinker)
Bila shaka wote mko poa, nataka maoni yenu please
Nilikaa nikajiuliza kaswali kamoja ivi nikatafakari nikakosa jibu la kuniridhisha nimeamua niwashirikishe ili tupate jibu sahihi zaidi, kaswali kenyewe no haka
"JE, PESA HUMALIZA MATATIZO AU MATATIZO HUMALIZA PESA ?"
Nataka hoja zenu nipate mwenye majibu ya kuridhisha (great thinker)