Je, pesa humaliza matatizo au matatizo humaliza pesa ?

Je, pesa humaliza matatizo au matatizo humaliza pesa ?

ngasha

Senior Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
145
Reaction score
74
Hi JF chit-chat
Bila shaka wote mko poa, nataka maoni yenu please
Nilikaa nikajiuliza kaswali kamoja ivi nikatafakari nikakosa jibu la kuniridhisha nimeamua niwashirikishe ili tupate jibu sahihi zaidi, kaswali kenyewe no haka

"JE, PESA HUMALIZA MATATIZO AU MATATIZO HUMALIZA PESA ?"

Nataka hoja zenu nipate mwenye majibu ya kuridhisha (great thinker)
 
[emoji33] [emoji33] [emoji33] nafikiria bado
Loading.....
 
Mfano tatizo gani halitatuliwi kwa pesa katika miaka hii ? Elezea fresh
Fikiria uko sehemu una njaa na watu wale hawajui pesa ila wanachakula na wewe una pesa will you eat yr money?

Uko porini una pesa na una njaa utatafuna pesa yako?
 
Fikiria uko sehemu una njaa na watu wale hawajui pesa ila wanachakula na wewe una pesa will you eat yr money?

Uko porini una pesa na una njaa utatafuna pesa yako?
Duuh sidhani kama kunasehem hawaijui pesa karne hii

Pia hata wakikuhurumia na kukupa msos bure bado pesa itakuwa imehudika tuu kwasababu wao walijua kuwa kuna tatizo la njaa ndo maana wakaandaa chakula hicho na katika kukiandaa ndipo pesa ilipo tumika
 
Duuh sidhani kama kunasehem hawaijui pesa karne hii

Pia hata wakikuhurumia na kukupa msos bure bado pesa itakuwa imehudika tuu kwasababu wao walijua kuwa kuna tatizo la njaa ndo maana wakaandaa chakula hicho na katika kukiandaa ndipo pesa ilipo tumika
Bushmen na jamii fulani ziko na GUINEA na amazon forest hawajui kabisa issue za pesa..!
 
Hi JF chit-chat
Bila shaka wote mko poa, nataka maoni yenu please
Nilikaa nikajiuliza kaswali kamoja ivi nikatafakari nikakosa jibu la kuniridhisha nimeamua niwashirikishe ili tupate jibu sahihi zaidi, kaswali kenyewe no haka

"JE, PESA HUMALIZA MATATIZO AU MATATIZO HUMALIZA PESA ?"

Nataka hoja zenu nipate mwenye majibu ya kuridhisha (great thinker)


Vinategemeana

Tatizo linalo isha baada ya kutumia hela tutasema -pesa humaliza matatizo

Tatizo lisilo isha hata kwa kutumia hela ndio tunasema -matatizo humaliza hela

Mfano.ulikuwa na kesi mahakamani tusemame ya mauaji then ukahonga ikaisha.so kesi imeisha hapa tunasema hela imetatatua tatizo.
Sasa tuseme hivi baba na mama wanamaradha yasio isha na wewe ndio unawatibia kwa kuwanunulia madawa na matunzo mengine hapa tutasema matatizo(shida) yanamaliza pesa.
 
Bado cjapata mtu wakuniambia tatizo lisilo tatuka kwa pesa kuna mmoja alinambia ni kifo lakini kwauelewa wangu nikwamba kifo si tatizo hats kidogo
 
Hili swali ni sawa kati ya kuku na yai kipi kilitangulia...

Jibu bado loading....
 
Back
Top Bottom