Je, pesa humaliza matatizo au matatizo humaliza pesa ?

Je, pesa humaliza matatizo au matatizo humaliza pesa ?

Matatizo ndio humaliza pesa,
Lakini pesa haiwezi kumaliza matatizo,
Ikiwa mpaka billgates nae anamatatizo Bado unadhani pesa inaweza kumaliza matatizo?
NEVER
.
N.B
Kuwa na pesa nyingi pia ni tatizo
 
Matatizo ndio humaliza pesa,
Lakini pesa haiwezi kumaliza matatizo,
Ikiwa mpaka billgates nae anamatatizo Bado unadhani pesa inaweza kumaliza matatizo?
NEVER
.
N.B
Kuwa na pesa nyingi pia ni tatizo
[emoji122] [emoji122] [emoji122] nimekukubali boy

Good idea your a great thinker
 
hii itakuwa reversible
AC6RE.Iiw6vSeCMA8herlQ_m.png

pesa vs matumizi
 
Hili swali ni sawa kati ya kuku na yai kipi kilitangulia...

Jibu bado loading....
Ilo mbona jibu lake nikuwa kuku ndiye aliye tangulia .

Inapaswa ujiulize Mungu alianza kuumba kuku au yai ? Utajua kuwa kuku ndiye aliye tangulia
 
Inategemea kipi kimetangulia.
Ukiwa na pesa, kisha matatizo yakaja, matatizo yatamaliza pesa.(Hapo roho itaumaaa)

Ukiwa na matatizo, halafu pesa zikaja, pesa zitamaliza matatizo.(Hapo roho kwatu)
 
Inategemea kipi kimetangulia.
Ukiwa na pesa, kisha matatizo yakaja, matatizo yatamaliza pesa.(Hapo roho itaumaaa)

Ukiwa na matatizo, halafu pesa zikaja, pesa zitamaliza matatizo.(Hapo roho kwatu)
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Duuh sidhani kama kunasehem hawaijui pesa karne hii

Pia hata wakikuhurumia na kukupa msos bure bado pesa itakuwa imehudika tuu kwasababu wao walijua kuwa kuna tatizo la njaa ndo maana wakaandaa chakula hicho na katika kukiandaa ndipo pesa ilipo tumika
Labda wawe wanyama ndio hawaijui pesa maana pesa ipo tangu enzi za manabii.
 
Back
Top Bottom