Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Wazungu wana tabia moja nayo ni kutambua ugunduzi pale wao wanapo gundua ni kama mlima Kilimanjaro wanakuambia mgunduzi ni mtu fulani wa kizungu ...hivyo zamani walikuwa na technology kubwa tu hasa kwenye ujenzi na vita ...usafiri majini nk hata ramani ya dunia walikuwa nayo kwa ufasaha hadi imewashangaza wanasayansi wa sasa


View: https://youtu.be/bPHcWeXrXOQ?si=yv52O-Yh8DZhpDLf
 
hao watu walikua hatari
 
Ukisoma vizuri Biblia utagundua
1. Misri ilikuwako kabla ya Israel
2. Misri kwa kipindi hicho ilikuwa na maendeleo na ustaarabu mwingi kuliko israel
 
Kama Waisrael waliweza kujenga pyramid hapo Misri mbona waliporudi kwao baada ya utumwa hawakuweza kuzijenga hizo pyramid?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…