Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
MaybeHilo ndio halijulikani ila mtu hawezi kuchora kitu ambacho hajawahi kukiona, so kuna possibility kubwa ya kwamba tekinolojia ya hayo mambo ilikuwepo nyakati hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaybeHilo ndio halijulikani ila mtu hawezi kuchora kitu ambacho hajawahi kukiona, so kuna possibility kubwa ya kwamba tekinolojia ya hayo mambo ilikuwepo nyakati hizo.
wewe utakuwa hujui lolote mkuu, fuatilia chanzo cha utumwa wa waisrael misri halafu urudi hapa, usaidizi soma Bible, kuanzia GENESIS 37 ndipo utajua hawa waisrael ilikuwaje wakajikuta watumwa,ukiweza sana endelea hadi kitabu cha kutoka uone walikuwa wanafanya nini,harakati zao za ukombozi na ikikupendeza uendelee kusoma biblia uone hali ilikuwaje wakiwa njiani mpaka wakafika CAANAN ni hayo tu.
mkuu, kuhusu lengo la ujenzi wa mnara wa babeli nakushauri ukasome tena historia hasa biblia utaelewa, nakupa mfano tena, umemkaribisha mtu katika shamba lako,ana tamaduni zake tofauti na wewe, akaishi humo,akajenga nyumba nzuri kukuzidi wewe, je utamuacha aje akujengee na wewe ya kufanana naye? ndivyo ilivyokuwa,na ukae ukijua miaka 400 ni zaidi ya vizazi vinne, waisrael waliongezeka na kuwazidi wenyeji hivyo baadhi ya wenyeji walifuata tamaduni za kiisrael kama vile mummification,na ustaarabu mwingine. piramid ya kwanza ilijengwa na waisrael kama sehemu ya kuwahifadhi(sio kuzika) na waegpt walipoona piramids hiyo wakabidi wawatumie hao waisrael kujenga piramid kwa ajiri yao.
Unafurahisha na kusikitisha unaposema wewe ni mbobevu wa historia bila hata aibu kwa haya unayoandika hapa. Obvious hujafanya utafiti wa kutosha.ni mtu asiyekuwa na maarifa na asiyejua historia na vitabu vya dini ndiye atakayesema waisrael waliotoka misri idadi yao walikuwa hawafiki mia, ngoja nikufundishe na nikupe somo kidogo, waisrael walioingia egypt idadi yao inaweza kuwa watu 50,lakini ndani ya miaka hiyo 400 walizaliana na kuongezeka hadi kuwazidi wenyeji wa eneo husika,ilifikia hatua watawala wa egypt wakawa wanaua watoto wadogo wasije wakaendeleza kizazi hicho na kuwapindua. Ila hao mafarao walikuwa wanafaidika na waisrael hasa ktk ujenzi wa piramids. Mkuu naongea haya nikiwa kama mbobezi wa history na nimetembea nchi nyingi za kihistoria kukuletea haya.
Hakuna anayekupinga kwanza we ndo Pharaoh mmiliki wa hayo madude hivyo unayajua vyema sanaView attachment 3262544
nikasome tena historia gani mimi bibilia naijua vizuri sana mkuu walijenga ilinwasitawanyike,
ila pia hapa hainahaja ya kuleta mambo ya dini
wa misri walikua mbali sana hilo lipo wazi kwa mambo waliyoacha
Well saidHiyo ni ishara ya uwezo wa allah. Kama pharaohs waliweza kupewa uwezo na allah wakujenga vigingi kama hivo na bado allah kesha chukua uhai wao hali yakuwa wamekufuru kwa kupumbazwa na rehma hizo za allah.
Hawa jamaa walikuwa wataalam sasa...ivi haijajujikana ni jamii gani iliyojenga izo structure ni Arabs au AfricansView attachment 3250113
View attachment 3250115
the great pyramid of Giza
tutumie great pyramid ( Piramidi kuu )
hii pyramidi imejengwa zaidi ya miaka 4700 iliyopita lakini inaacha maswali mengi zaidi kuliko majibu, maana kila unapojaribu kupata jibu unakutana na maswali zaidi kuhusiana na jibu lako,
inavyoaminika hadi sasa ni kwamba, pyramids zilijengwa hasa kama sehemu au mahali pa maziko kwa mfalme.
watu a rcheology wanakadiria kua pyramid kuu imetumia miaka ishirini hadi kukamilika.
lakini je, lengo lao haswa likikua ni kwaajili ya kulitumia kama kaburi la farao kama inavyoaminika na wanasayansi wa sasa au ilikua na maana nyingine na matumizi mengine ambayo ni tofauti kabisa?
View attachment 3250118
★ Pyramid kuu imejengwa kwa mawe makubwa sana zaidi ya milioni 2.3
★ kila jiwe lina uzito wa kati ya tani mbili hadi tani 80 kwa jiwe moja
★ ilijengwa kwa urefu wa mita 146.66 kwenda juu
★ Chini ina upana wa mita 230.4 kila upande
★ juu kabisa ina upana wa mita 0 yaani ilikua na ncha kabisa
★ imenyooshwa kufuata true north ikiwa na error ya 0.05° tu
★ kona zake zimenyooshwa nyuzi 90 kabisa zikiwa na error ya 0.01° tu
★ ni moja kati ya maajabu saba ya dunia ya kale na ndio ya pekee inayoendelea kusalia hadi leo
Pyramid ina chambers mbali mbali zipatazo 6 zenye kazi tofauti ambapo mbili ni kwaajili ya mfalme na malkia pyramid kuu ilijengwa kwaajili ya Pharaoh Khufu
View attachment 3250119
ujenzi wa piramidi hasa ndio unaacha fumbo ambalo ni ngumu kuelewa wenzetu walifanyaje miaka 4700 iliyopita?
walikua na teknolojia gani iliyowawezesha kujenga jengo la namna hii ?
- jinsi gani waliyatengeneza matofali makubwa yenye uzito wa hadi kilo 80,000 kwa tofali moja ?
- hata baada ya kutengeneza matofali ya uzito huo je waliwezaje kuyahamisha kutoka walipoyatengeneza hadi kwenda kuyajengea pyramid ambalo lina urefu mkubwa tu kwenda juu ? zaidi ya matofali milioni mbili na laki tatu
- walichokifanya miaka 4700 iliyopita bado ni kigumu hata tukitaka kukifanya sasa,
mfano kufikia precission ya vipimo kama walivyofikia wao inabidi kutumia Laser Scaner na vifaa vingine vya kisasa
pande za pyramid zimejengwa zililinganishwa na True North ( yaani upande halisi wa kaskazini wa dunia )
huu upande halisi wanasayansi walianza kuujua baada ya kugundulika kwa dira.
miaka 4700 iliyopita wa misri wa zamani walijenga pyramid kufuata True north wakiwa na error ya 0.05 degree
je waliwezaje ?
nini ilikua lengo lao kufanya hivyo ?
kwa vifaa na mbinu ambazo tunaamini zilitumika kujenga pyramid, mfano kwa siku moja wangeweza kutengeneza tofali moja na lulisafirisha hadi kwenye pyramid na kuliweka kulingana na vipimo,
ingetumia zaidi ya miaka 6000 kukamilisha ujenzi wa piramidi moja, lakini piramidi kuu limejengwa ndani ya miaka 20 tu
theory nyingine zina sugest kwamba huenda tunavyowajua watu wa kale ni tofauti na maisha yao halisi yalivyokua,
huenda pia walikua na teknolojia kubwa tuu ambayo ilipotea kwa sababu fulani na hatujaweza kuipata, lakini baadhi ya mambo na alama walizo acha zinadhihirisha ujuzi waliokua nao,
pia huenda bado hatujui lengo halisi na matumizi halisi ya piramidi katika kipindi chao.
JF katika ubora wake. Ukitulia hapa utajifunza mambo mengi sana.Unafurahisha na kusikitisha unaposema wewe ni mbobevu wa historia bila hata aibu kwa haya unayoandika hapa. Obvious hujafanya utafiti wa kutosha.
Ukiangalia michoro na vitabu ya Wamisri wa Kale, inaelezea dini yao, utamaduni, maisha yao. Historia yao imeandikwa miaka mingi maelfu kabla Israel haijazaliwa.
Fanya utafiti kuhusu Orisis, Isis, Heru, Set. Soma Egyptian book of the dead kwa kuanzia utafiti wako. Zingatia, soma michoro yao kwenye mahekalu yao, vitabu nk. Waisrael hata ujenzi wa mahekalu yao wameiga Wamisri wa Kale, sio wao tu hadi Wagiriki, Waingereza na Wamerekani kuna majengo wameiga Ujenzi wa Misri ya Kale. Wale walikuwa wajenzi mahiri.
Vitabu vya Waisrael wamechukua mengi kutoka Misri. Soma Great hymn of Aten linganisha na Psalm 104. Mtafiti huyu Hathar -Meri Virigin mother kama Mama wa Yesu.
Amri kumi zinafanana na 42 Negative confessions. Mambo 42 ambayo Pharaoh ilibidi akiri hajayafanya ili kuingia mbinguni. Bila hivyo huendi peponi Hayo mambo ni kama yafuatayo
- have not committed sin. (Sijaua)
- I have not committed robbery with violence. (Sijafanya ujambazi)
- I have not stolen. (Sijaiba)
- I have not killed. (Sijaua)
- I have not eaten the heart of a man.
- I have not stolen from God/Goddess.
- I have not told lies.
- I have not carried away food.
- I have not cursed.
- I have not closed my ears to truth.
- I have not been a cause of sorrow.
- I have not been a cause of death.
- I have not been a cause of pain.
- I have not been a cause of suffering.
- I have not been a cause of distress.
- I have not been a cause of grief.
- I have not been a cause of anger.
- I have not been a cause of fear.
- I have not been a cause of hatred.
- I have not been a cause of envy.
- I have not been a cause of malice.
- I have not been a cause of deceit.
- I have not been a cause of treachery.
- I have not been a cause of injustice.
- I have not been a cause of cruelty.
- I have not been a cause of oppression.
- I have not been a cause of tyranny.
- I have not been a cause of corruption.
- I have not been a cause of disorder.
- I have not been a cause of strife.
- I have not been a cause of discord.
- I have not been a cause of division.
- I have not been a cause of chaos.
- I have not been a cause of destruction.
- I have not been a cause of ruin.
- I have not been a cause of waste.
- I have not been a cause of neglect.
- I have not been a cause of carelessness.
- I have not been a cause of recklessness.
- I have not been a cause of rashness.
- I have not been a cause of imprudence.
- I have not been a cause of folly.
- I have not been a cause of madness.
Inajulikana ni watu gani walikuwepo hapo miaka 10,000 iliyopita wakati pyramids zinajengwa.Hawa jamaa walikuwa wataalam sasa...ivi haijajujikana ni jamii gani iliyojenga izo structure ni Arabs au Africans
Hii imawezekanaNi kweli mkuu, hii inaleta maswali kadha wa kadha... Usikute duniani kulikua na maisha fulani ambayo yalifikia katika level za juu sana za technology ila kwa sababu fulani yake maisha yaliharibiwa kisha tukaja sisi kuanza maisha mengine upya kabisa.
Kuna historia ya ukweli bado haifahamiki na Waafrika wengi. Misri ya Kale ni muhimu sababu almost it was proper first advance civilization. Wazungu, Waarabu na wengine wengi wamejifunza mengi kutoka Afrika.JF katika ubora wake. Ukitulia hapa utajifunza mambo mengi sana.
hii ni kweli mkuu, mathematics, philosophy, medicine etc vyote chimbuko lake ni Egypt na hakuna wa kupingaKuna historia ya ukweli bado haifahamiki na Waafrika wengi. Misri ya Kale ni muhimu sababu almost it was proper first advance civilization. Wazungu, Waarabu na wengine wengi wamejifunza mengi kutoka Afrika.
Pythagoras. Aristotle, Plato, Democritus Archemedes, Hippocrates na wengine wengi wamesoma Misri. Misri ya Kale ni chimbuko la Greek civilization na civilization nyingine zilizofuata.
Hakuna anayekupinga kwanza we ndo Pharaoh mmiliki wa hayo madude hivyo unayajua vyema sana
Pole sana mdau!!!
HeheheView attachment 3263297
hahha shukran
hilo nitajitahidiHehehe
Ila jitahidi kuhakikisha watu wanafahamu mchango wako kwenye hayo pyramids
Yeahhilo nitajitahidi