Je, Rais akisema 'Mkeka wa Ma DC ' upo tayari kutoka ' Ufanisi ' wa Kiutendaji kwa waliopo Ofisini unaongezeka au unashuka?

Je, Rais akisema 'Mkeka wa Ma DC ' upo tayari kutoka ' Ufanisi ' wa Kiutendaji kwa waliopo Ofisini unaongezeka au unashuka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi Mchezaji aliyeko Uwanjani tena katika Mechi ngumu na anajitahidi akiona Kocha Mkuu kamuamsha Mchezaji wa namba anayocheza Yeye anaimarika Kiuchezaji au Kisaikolojia ndiyo anaathirika na kujikuta anaharibu kabisa na Kuigharimu Timu?

Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.
 
Hivi Mchezaji aliyeko Uwanjani tena katika Mechi ngumu na anajitahidi akiona Kocha Mkuu kamuamsha Mchezaji wa namba anayocheza Yeye anaimarika Kiuchezaji au Kisaikolojia ndiyo anaathirika na kujikuta anaharibu kabisa na Kuigharimu Timu?

Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.

Haituhusu, ufanisi wao haujawahi kusaidia mtu! Hata wakikaa home Hakuna shida!
 
Hivi Mchezaji aliyeko Uwanjani tena katika Mechi ngumu na anajitahidi akiona Kocha Mkuu kamuamsha Mchezaji wa namba anayocheza Yeye anaimarika Kiuchezaji au Kisaikolojia ndiyo anaathirika na kujikuta anaharibu kabisa na Kuigharimu Timu?

Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.
Watumbuliwaji watarajiwa washajaa taharuki. Inafaa mchakato ukamilishwe upesi
 
Wewe jamaa sidhani Kama humo kwenye bichwa lako Kuna ubongo
 
To start with hakuna umuhimu wa DCs 🍷.
Fedha za mishahara na marupurupu kibao zingeelekezwa katika maeneo ya elimu,afya na miundombinu.
Kuendelea na hivi vyeo vya uDC ni kuchezea kodi zetu buuuure.
 
Haituhusu, ufanisi wao haujawahi kusaidia mtu! Hata wakikaa home Hakuna shida!
SHIDA NI KWAMBA HUJAWAHI KUONA NINI KITATOKEA KAMA HAO WATU HAWAPO NA HAKUNA WA KUFANYA WANACHOKIFANYA. Ni sawa na mtu anayekata BIMA ya gari halfu hajawahi pata ajali inayowahusisha watu wa BIMA. Huwa haoni sababu ya kulipia BIMA
 
Wanafanya upigaji wa kufa mtu wa dakika za majeruhi. Kulikuwa na umuhimu wowote wa kuliweka hili hadharani ili kuwaweka hao watendaji roho juu!? Mie naona kapotoka.
Hujui taratibu za fedha ya serikali weweee. Ebu nikuulize kwa mfano, DC anakwapua pesa gani pale ofisini kwake?
 
SHIDA NI KWAMBA HUJAWAHI KUONA NINI KITATOKEA KAMA HAO WATU HAWAPO NA HAKUNA WA KUFANYA WANACHOKIFANYA. Ni sawa na mtu anayekata BIMA ya gari halfu hajawahi pata ajali inayowahusisha watu wa BIMA. Huwa haoni sababu ya kulipia BIMA

Who cares
 
Back
Top Bottom