Je, Rais akisema 'Mkeka wa Ma DC ' upo tayari kutoka ' Ufanisi ' wa Kiutendaji kwa waliopo Ofisini unaongezeka au unashuka?

Je, Rais akisema 'Mkeka wa Ma DC ' upo tayari kutoka ' Ufanisi ' wa Kiutendaji kwa waliopo Ofisini unaongezeka au unashuka?

Hivi Mchezaji aliyeko Uwanjani tena katika Mechi ngumu na anajitahidi akiona Kocha Mkuu kamuamsha Mchezaji wa namba anayocheza Yeye anaimarika Kiuchezaji au Kisaikolojia ndiyo anaathirika na kujikuta anaharibu kabisa na Kuigharimu Timu?

Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.
Mtu hawezi kuwa mbunifu akiwa hana uhakika na kesho yake! Ndiyo sababu wateuliwa wote huishia kumsifia na kumuabudu aliyewateua. Mtu ye yote aliyeteuliwa au anayefukuzia fursa hawezi kuongea sentensi mbili bila kulitaja jina la Samia, huu ni utumwa!
 
Back
Top Bottom