Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..
 
Sawa
Magufuli anajua A to Z ila yeye akishauriwa hataki ushauri wa aina hiyo. Anaamini katika mkichwa wake pekee. ADF Siku nyingi ni waasi toka Rwanda na wanahusika kwenye smuggling ya mali za wa DR CONGO.
sawa mimi nimesema inawezekan rais alitumika kuwa rafiki kinafiki kwa masilahi mapana ya usalama wa taifa ama kama ulivyo andika ila sina uwakika kama rais ameshauriwa aka kataa maana kumbuka usalama wa rais haupo mikononi mwake ilabchini ya kikosi maalum cha rais sasa kama kaambiwa kagame ni hatari yeye akagoma mimi sipo..
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.



Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..
 
Leo nimeota kifo cha maaskari 14 wa JW.

Kwakweli kuna haja ya sisi pia kuwa na operesheni za chini kwa chini.
Pk kaua halafu m7 anajidai kushambulia .wanajuana.
 
Kutokana na uhaba wa rasilimali katika nchi yao, kunawafanya waishi kwa akili sana ili kukabiliana na changamoto hizo. Ardhi ni chache haitoshi kwa shughuli za uzalishaji, wanachokifanya ni kutumia akili ili kupokonya rasilimali zinazoonekana jirani
 
Magufuli anajua A to Z ila yeye akishauriwa hataki ushauri wa aina hiyo. Anaamini katika mkichwa wake pekee. ADF Siku nyingi ni waasi toka Rwanda na wanahusika kwenye smuggling ya mali za wa DR CONGO.

Unaandika kabisa hayo.. aiseeeee

Yangekuwa ya kweli ungeandika hadi tarehe, muda, alijibuje n.k.
 
Back
Top Bottom