Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..

N'zee N'kwanda ''uwenda'' umepata makali n'zee mwenzangu weh! iii!
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.
Mangi hangover ya Christmas imeisha?
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.
Vipi zile tetesi kwamba KAYANDABILA ni Mnyarwanda??
 
Kuhusu u Spika chama cha Mullah wa KIA kilitoa tamko kuiunga mkono Rwanda.
 
Tatizo magufuli alidhani uraisi ua kozi na sidhani kama anajali kama alikwenfa kwa waalimu bafala kuja dar kuwapa heshima za mwisho askari wetu yawezekana anamisheni moja na kagame
 
huu uzi kuweni makin na mnachoandika mambo ya national security sio ya kuongelea kama story za vijiweni.
Kwahiyo unataka kutuambiaje?....

Hapa hatuko salama tena?

Kwamba hapa tunayoandika kila kitu chako mpaka mita ya umeme unayotumia kuchajia simu yako wanavyo?

mkuu unataka kusema maxcence mello keshakubali kututoa sadaka ya kafara wanae wa jamii forum?
 
Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..

Jiulizeni kwa nini Rwanda na Uganda hawakupiga kura ya kuunga mkono azimio la umoja wa mataifa juu ya Yerusalemu. Je, ni nani hasa anayefinance vikundi vya waasi wanaopora rasimali za Congo?
 
Jiulizeni kwa nini Rwanda na Uganda hawakupiga kura ya kuunga mkono azimio la umoja wa mataifa juu ya Yerusalemu. Je, ni nani hasa anayefinance vikundi vya waasi wanaopora rasimali za Congo?
Ni magufuli
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.
majib yanahitajika
 
Alafu huyu mzee anaonekana kutokujua sana mambo mengi ya kimataifa...

Historia ya mataifa na diplomacy...

Ndioa maana ilifika hatua akwatwambia Hayat Sadam husein ni wa Kuwait
 
ADF ni waasi kutoka Uganda na sio Rwanda. Acheni propaganda za kitoto nyie genocidaire!
 
huu uzi kuweni makin na mnachoandika mambo ya national security sio ya kuongelea kama story za vijiweni.
Nikweli but as nation we need at list to know some thing other wise tusije potea njia.
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.
Sio kila tetesi hujibiwa
 
Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.
Uliwahi kubahatika kumuona mnyarwanda yoyote kwenye walinzi wa Rais japo kwa muonekano tu?
Vijana wote hawa tunaozalisha tukaombe walinzi Rwanda?
Usisahau kuwa Rais pamoja na maguvu yote kuna mambo anapangiwa kama ulinzi,kula na kulala
 
Back
Top Bottom