Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Magufuli anajua A to Z ila yeye akishauriwa hataki ushauri wa aina hiyo. Anaamini katika mkichwa wake pekee. ADF Siku nyingi ni waasi toka Rwanda na wanahusika kwenye smuggling ya mali za wa DR CONGO.
The Allied Democratic Forces (French: Forces démocratiques alliées; abbreviated ADF) is a rebel group in Uganda and the Democratic Republic of the Congo (DRC), and is considered a terrorist organisation by the Ugandan government.........................
Tafuta kwanza ukweli wa unachokiongea kabla hujaanza kuropoka tu kwa kigezo cha uhuru wa kuongea. Umeshaona hapo link ya ADF na Rwanda? Ndio unajiita msomi wewe? Hatati sana aisee.
 
PK is overated na Wabongo.Ndio maana hata Serikali/Magu anawapuuuza tu.
 
Toka nizaliwe ni mara moja tu Tiss,walijibu hadharani na ni kwenye uchaguzi wa 2010,pale ambapo Wilbrod Slaa alpoudanganya umma kuwa zaidi ya nusu ya maafisa usalama wanaripoti kwake,kilichofuatia slaa anakijua
Na pale Zito alivyotuhumiwa na chama chake cdm wakati huo kuwa ana mawasiliano na TISS, nakumbuka Zoka (naibu Mkuu wa tiss wakati huo) aliibuka na kukanusha.
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.
Unaona aje? Ukienda kuuliza ikulu hicho unachotaka kujua.humu hakuna msaada wowote but wtz tuache majunguuu
 
Toka nizaliwe ni mara moja tu Tiss,walijibu hadharani na ni kwenye uchaguzi wa 2010,pale ambapo Wilbrod Slaa alpoudanganya umma kuwa zaidi ya nusu ya maafisa usalama wanaripoti kwake,kilichofuatia slaa anakijua

Boss kabombe Sio lazima TISS wenyewe wajibu, Ndio maana kuna Msemaji wa Jamhuri aka Serikali. Nachojua kilichofuata kwa Dr. Mihogo ni Kuzawadiwa Ubalozi.
 
Boss Bossless Kama hauna majibu kaa kimya. Una Ki Front Front sana.
Wewe acha mambo ya jikoni sasa mambo ya usalama was taiga unayauliza humu ili upate majibu kutoka kwa nani wakati ofisi husika zipo .nenda affairs au tiss humu utaishia kutengeneza majungu tu .
 
The Allied Democratic Forces (French: Forces démocratiques alliées; abbreviated ADF) is a rebel group in Uganda and the Democratic Republic of the Congo (DRC), and is considered a terrorist organisation by the Ugandan government.........................
Tafuta kwanza ukweli wa unachokiongea kabla hujaanza kuropoka tu kwa kigezo cha uhuru wa kuongea. Umeshaona hapo link ya ADF na Rwanda? Ndio unajiita msomi wewe? Hatati sana aisee.
Kwa kuweka kumbukumbu sahihi ni kuwa walioshambulia jeshi letu walikuwa na sare za ADF
lkn hamaanishi walikuwa ADF ndio maana kuna,ndio maana kuna uchunguzi
 
Boss TumainiEl Tatizo ni kuwa hizi tetesi, Jamhuri na Serikali na Taasisi ya Rais walitakiwa wazijibu, ila tetezi hizi za Usalama wa Nchi hazijibiwi, sijui ni kwa sababu ya Usalama au wanazipuuza???!!! Au wanazifanyia kazi kichini chini.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa Rais analindwa na wanajeshi wa Rwanda, nazo hizi hazijajibiwa. Hakuna aliyekanusha au kutolea maelezo.

Pia kulikuwa na tetesi kuwa kuna Wanyarwanda wengi wameingia kule Usukumani kwa wingi wa njungu, na wengi wao washajifunza kuongea kisukuma na washajichanganya.

Pia pale Uhamiaji, kuna tetesi Boss wake ni Mnyarwanda, pia nazo hakuna maelezo. All in All, kuna tetesi nyingi sensitive zinazogusa Mstakabadhi wa Taifa hazijajibiwa.

My Take: Hizi si habari zangu, Sina 7m - 10m za kulipa, nimesema ni tetesi. Wananchi tunataka kujua usalama wa Mali na uhai wetu, ndio maana tunauliza na tunapenda kujua.
Mkuu hilo la wanyarwanda kuingia usukuman nakubaliana nalo ni kweli kwa sasa kuna wanayarwanda wasukuman

Lakin napinga kwa mkuu wa usalama wa taifa siyo mnyarwanda
 
huu uzi kuweni makin na mnachoandika mambo ya national security sio ya kuongelea kama story za vijiweni.
This is JF...

Have forgotten our motto... 'where we dare to TALK OPENLY.'
 
Mkuu hilo la wanyarwanda kuingia usukuman nakubaliana nalo ni kweli kwa sasa kuna wanayarwanda wasukuman

Lakin napinga kwa mkuu wa usalama wa taifa siyo mnyarwanda
Hao waNYAMURENGE wamekuja USUKUMANI kufanya nini!??

Ila nnavyojua mimi Wako nchi nzima tangu kitambo sana...as refugees..wengi hawakurudi..na tumesoma nao wako ktk ofisi kubwakubwa tu.
 
Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..
Na kama ni 'Broda' je, what could a Judge do.?
 
Ukimungalia tu unapata uhakika ni mtu wa wapi.
upload_2017-12-27_14-17-51-jpeg.660703
 

Attachments

  • upload_2017-12-27_14-17-51.jpeg
    upload_2017-12-27_14-17-51.jpeg
    7.6 KB · Views: 59
Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..
Siku akitwangwa hilo bichwa lake ndo atajua
 
Hao waNYAMURENGE wamekuja USUKUMANI kufanya nini!??

Ila nnavyojua mimi Wako nchi nzima tangu kitambo sana...as refugees..wengi hawakurudi..na tumesoma nao wako ktk ofisi kubwakubwa tu.
Mkuu wengi wanajifanya ni wasukuma na wanaongea kisukuma kama wasukuma wengine

Wengi wamekuja usukuman kama babu yake mkulu alivyozamia usukuman akitokea rwanda
 
Back
Top Bottom