Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

ADF ni waasi kutoka Uganda na sio Rwanda. Acheni propaganda za kitoto nyie genocidaire!
Tulieni dawa iwaingie mmeamua kuivamia Tanzania kupitia Kongo. Muwe tayari kwa fitna. Muulizeni idd Amini. Hii URT
 
Magufuli raisi wa hovyo kupata kutokea anadharilisha na kushusha hadhi nchi yetu hivi kujishughulisha na kanchi kama ka Rwanda eti anaungana naye kumaliza wanajeshi wetu kweli huyu jamaa ni kosa kubwa kuwekwa kwenye nafasi aliyonayo hajijuwi the Giant country in EA inakosa sauti kwa sababu ya mshamba mmoja tu
 
National security yetu sometime inabugi sana.
Inapoanza kufuata mawazo ya bashite badala ya kumpoteza bashite.

Mwisho wa siku Mungu anawaumbua. Lisu kasimama.
Haya sasa tuone wamekutana na mziki wa kidume kagame. Waucheze sasa
Nyamaza wewe hujui kitu. Unajua mambo ya security au unamsifi Kagame tu kwa mahaba
 
Nisiku chache zimepita taifa letu limepoteza wanajeshi wake 15 na taarifa zisizo rasmi zinasema mzee wa Rwanda anahusika yani vikosi vyake vya waasi nchini ccongo ndio vimeleta majanga kwa askari wetu na hii sio mara ya kwanza na uwenda hii ndio ilikuwa bifu kubwa kati ya Rais mstaafu Kikwete na kagame... Japo mkuu wetu alitokea kuwa rafiki yake mkubwa ambaye uwenda mpaka sasa sisi raia hatujajuwa ni kwanin kama nikwaubaya ama wema ili tz tufanikishe mambo yetu yote wanayajuwa tiss.
Pia tumeona nguvu ya kagame kule east africa nadhani alichowafanya Tz na burundi wamebaki kulia lia wasijuwe nin kilitokea...
Je huu ndio mwanzo mpya wa rais wetu kuiona Rwanda ktk jicho ka tatu je nini mustakabali wa urafiki huu..
huyo jamaa aendelee kuchezea maisha ya wanajeshi wetu hivi alihudhuruia kuwaaga anadhani wamefurahisha a kitendo chake cha kijinga namna hiyo popote duniani amiri jeshi mkuu anawapa moyo askari wake yeye akaenda kuuza sura CWT he should watch it
 
Magufuli raisi wa hovyo kupata kutokea anadharilisha na kushusha hadhi nchi yetu hivi kujishughulisha na kanchi kama ka Rwanda eti anaungana naye kumaliza wanajeshi wetu kweli huyu jamaa ni kosa kubwa kuwekwa kwenye nafasi aliyonayo hajijuwi the Giant country in EA inakosa sauti kwa sababu ya mshamba mmoja tu
Una uhakika na huu ugoro wako
 
Back
Top Bottom