Tetesi: Je, Rais anaanza kumjua Kagame?

ADF ni waasi kutoka Uganda na sio Rwanda. Acheni propaganda za kitoto nyie genocidaire!
Tulieni dawa iwaingie mmeamua kuivamia Tanzania kupitia Kongo. Muwe tayari kwa fitna. Muulizeni idd Amini. Hii URT
 
Magufuli raisi wa hovyo kupata kutokea anadharilisha na kushusha hadhi nchi yetu hivi kujishughulisha na kanchi kama ka Rwanda eti anaungana naye kumaliza wanajeshi wetu kweli huyu jamaa ni kosa kubwa kuwekwa kwenye nafasi aliyonayo hajijuwi the Giant country in EA inakosa sauti kwa sababu ya mshamba mmoja tu
 
National security yetu sometime inabugi sana.
Inapoanza kufuata mawazo ya bashite badala ya kumpoteza bashite.

Mwisho wa siku Mungu anawaumbua. Lisu kasimama.
Haya sasa tuone wamekutana na mziki wa kidume kagame. Waucheze sasa
Nyamaza wewe hujui kitu. Unajua mambo ya security au unamsifi Kagame tu kwa mahaba
 
huyo jamaa aendelee kuchezea maisha ya wanajeshi wetu hivi alihudhuruia kuwaaga anadhani wamefurahisha a kitendo chake cha kijinga namna hiyo popote duniani amiri jeshi mkuu anawapa moyo askari wake yeye akaenda kuuza sura CWT he should watch it
 
Una uhakika na huu ugoro wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…