Je, Rais anao mpango wowote kuhusu ajira kwa vijana au anasubiri kampeni?

Je, Rais anao mpango wowote kuhusu ajira kwa vijana au anasubiri kampeni?

Akilindogosana

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
4,303
Reaction score
12,679
Hili janga la ukosefu wa ajira naona kama linazimwa hivi.

Je, kuna mpango wowote wa kutatua?

Au tusubirie saundi za kwenye kampeni.
 
Kuna jitiada nyingi tu zinaendelea za kuleta ajira hapa Tanzania ! Na Serikali yetu .Changamoto zilizopo ni nyingi na umakini aupo.So azileti matokeo chanya kama inavyotakiwa au ilivyopangwa. Na ndo maana unaona hali ya ukosefu wa ajira upo na unaendelea kukuwa.

Waliopewa Kazi ya kufanya miradi ya kuzalisha ajira wanafanya wanayoyajua wao( wana kiuka kufanya yanayotakiwa-Wajipatie hela wao kama wao na sio walengwa).

Serikali(Rais) anatakiwa aje na task force serious kuweza tatua hili, Hawa wliopo sasa kwenye taasisi zinazoshughulikia haya mambo zipo 1947😭 nna mifano mingi natamani ningekuwa na Muda kuielezea hapa.

1. Upo uwezekanao wa Tanzania kuzalisha ajira za kudumu 10 Millions kwenye miaka 8 ijayo na ajira za muda 15 Millions + katika kipindi hicho.

2. Tanzania kila mwaka inazalisha Graduates ambao kati ya hao wangewezea fanyiwa mipango wakaenda fanya kazi nje ya Tanzania officially ( nna jamaa angu ana program ya kupeleka madereva EU ana mwaka wa pili sasa anazungushwa na wausika wa Serikalini kupata vibali mpaka inatia hasira.

Mwaka juzi nilipata Deal toka Nje ya Tanzania kupeleka mabaharia kwenda kufanya kazi nje ya TZ. Nilienda DMI (chuo cha mabaharia) kutaka ushirikiano- niliyoyapata huko nilikata tamaa mpaka leo sijaenda tena pale. Austaria inatafuta maengineer, madokta, mafundi mchundo maelfu na maelfu - Kwa Tanzania ambayo ata kuwapeleka maohuse girl Saudia ni zoezi lililojaa Ukiritimba tutasubiria sana.

Kenya kuna mawakala registerd kabisa na Serikali wa kuwatafutia wakenya kazi nje na wanapata ushirikiano staiki toka Serikalini hapa TZ ni zero
 
Hili janga la ukosefu wa ajira naona kama linazimwa hivi.

Je, kuna mpango wowote wa kutatua?

Au tusubirie saundi za kwenye kampeni.
Una ubongo hata wa kufikiria kweli? Mkakati wa ajira kwa vijana ndio mkakati gani?

Mipango na miradi inayotekelezwa inalenga kuleta nini? Ajira za Kila siku huwa zinawahusu akina nani?

Wewe unao huo mkakati wa ajira kwa vijana?
 
Mwaka juzi nilipata Deal toka Nje ya Tanzania kupeleka mabaharia kwenda kufanya kazi nje ya TZ. Nilienda DMI (chuo cha mabaharia) kutaka ushirikiano- niliyoyapata huko nilikata tamaa mpaka leo sijaenda tena pale. Austaria inatafuta maengineer, madokta, mafundi mchundo maelfu na maelfu - Kwa Tanzania ambayo ata kuwapeleka maohuse girl Saudia ni zoezi lililojaa Ukiritimba tutasubiria sana.
Umeongea kikubwa sana...katika Lugha rahisi inayoeleweka...

Wale wa mapambio ya kumsifu mwenyekiti leteni hoja zinazofanana na hizi.....Ili Mjadala uwe na maana
 
Unachosema sio kweli na ingekuwa kweli asingetoa ajira za ualimu karibu 10K na badala yake angesubiri 2025 ambapo angetoa za kutosha na kumtengenezea njia rahisi.

Juhudi na hatua madhubuti juu ya suala la ajira linafanyiwa kazi kila leo na moja ya suala la kupongeza Sana ni Serikali kujenga miundombinu wezeshi ya vijana kujiajiri na kupata ajira za muda.

Leo suala la vijana kujiajiri kwa kufanya biashara kwa kufuata mizigo China imerahisishwa Sana kwa Air Tanzania kufika mpaka China na haya ni mapinduzi ya kweli ya uchumi wa anga. Ni mengi Serikali inafanya kuhahakikisha suala hili linapata uvumbuzi
 
Unachosema sio kweli na ingekuwa kweli asingetoa ajira za ualimu karibu 10K na badala yake angesubiri 2025 ambapo angetoa za kutosha na kumtengenezea njia rahisi.

Juhudi na hatua madhubuti juu ya suala la ajira linafanyiwa kazi kila leo na moja ya suala la kupongeza Sana ni Serikali kujenga miundombinu wezeshi ya vijana kujiajiri na kupata ajira za muda.

Leo suala la vijana kujiajiri kwa kufanya biashara kwa kufuata mizigo China imerahisishwa Sana kwa Air Tanzania kufika mpaka China na haya ni mapinduzi ya kweli ya uchumi wa anga. Ni mengi Serikali inafanya kuhahakikisha suala hili linapata uvumbuzi
Duniani Kote kuna ajira za aina 2.
1. Za Serikali - hizo ajira za uwalimu, Udaktari etc.
2. Za Binafsi
Serikali inatakiwa kuwa na mipango endelevu ya kuwezesha Graduates kujiajiri. Kwa Tanzania haya Mazingira yamejaa Bra bra nyingi mno kuliko uhalisia.Tatizo lipo hapo
 
Duniani Kote kuna ajira za aina 2.
1. Za Serikali - hizo ajira za uwalimu, Udaktari etc.
2. Za Binafsi
Serikali inatakiwa kuwa na mipango endelevu ya kuwezesha Graduates kujiajiri. Kwa Tanzania haya Mazingira yamejaa Bra bra nyingi mno kuliko uhalisia.Tatizo lipo hapo
Hivi unajua unemployment rate ya Marekani? Kama tunatolea mfano Marekani kwa ubora wa sera zao za ndani na za nje ,mbona ukweli ulio mchungu hausemwi kwamba bado tatizo la ajira ni sugu hata kwao.

Hili sio nililotaka kusema lakini ni katika kukazia hoja ya usugu ya tatizo la ajira.

Tanzania ni nchi ambayo vijana wanakimbia shule wakiamini katika kujiajiri na baadae wanalalamika wakiona umri unasogea na hakuna walichobahatika nacho kwenye kujiajiri. Kwa mfano mtaani kwetu, vijana wengi ambao hata kidato Cha nne hawajamaliza wameacha shule wanajiingiza kwenye bodaboda na kamari

Hili kundi halitiliwi maanani Sasa lakini miaka kumi ijayo watakuja kusema ajira ni tatizo na wataonekana wana hoja kwa Sababu hatujifunzi kutokana na historia ya zamani.

Matokeo yake linatengenezwa tatizo lisilotatulika la ajira kwa watu hao. Mtu kama huyo hata ukimpa pikipiki awe bodaboda hatofanya Kama msomi wa Elimu ya kati achilia Elimu ya juu.

Tukirudi kwenye hoja yako , nchi za wenzetu tatizo la ajira halina usugu Kama kwetu kwa Sababu vijana walisoma na wakaelimika na bado wanaweza kutumia Elimu zao kujikwamu na akishughulisha na boda anafanya kisomi, ujasirimali anafnaya kisomi
 
Hivi unajua unemployment rate ya Marekani? Kama tunatolea mfano Marekani kwa ubora wa sera zao za ndani na za nje ,mbona ukweli ulio mchungu hausemwi kwamba bado tatizo la ajira ni sugu hata kwao.

Hili sio nililotaka kusema lakini ni katika kukazia hoja ya usugu ya tatizo la ajira.

Tanzania ni nchi ambayo vijana wanakimbia shule wakiamini katika kujiajiri na baadae wanalalamika wakiona umri unasogea na hakuna walichobahatika nacho kwenye kujiajiri. Kwa mfano mtaani kwetu, vijana wengi ambao hata kidato Cha nne hawajamaliza wameacha shule wanajiingiza kwenye bodaboda na kamari

Hili kundi halitiliwi maanani Sasa lakini miaka kumi ijayo watakuja kusema ajira ni tatizo na wataonekana wana hoja kwa Sababu hatujifunzi kutokana na historia ya zamani.

Matokeo yake linatengenezwa tatizo lisilotatulika la ajira kwa watu hao. Mtu kama huyo hata ukimpa pikipiki awe bodaboda hatofanya Kama msomi wa Elimu ya kati achilia Elimu ya juu.

Tukirudi kwenye hoja yako , nchi za wenzetu tatizo la ajira halina usugu Kama kwetu kwa Sababu vijana walisoma na wakaelimika na bado wanaweza kutumia Elimu zao kujikwamu na akishughulisha na boda anafanya kisomi, ujasirimali anafnaya kisomi
Ata siku moja usifananishe USA na Tanzania. Sisi Atupo Level za USA kwa lolote lile .Shilling moja ya USA hapa ni Shillingi 2353 za Kitanzania. Siasa tu za USA sisi ata tupewe miaka 3000 atutoweza zifikia.kule Watu awanganganii madaraka wala awatesi na kuuwa Wapinzani wa Kisiasa😁 Wenzetu mali za wizi na Rushwa, kupeana Deals na Kazi kikabila na ukanda awana. Kule ukibainika umepokea Rushwa unajiuzuru. hapa?? Wanamishana Idara au Mkoa au Wizara! Kule wenzetu wana a lot of incentives za kussuport unemployment! Sisi hiyo mikopo ya 10 % ya Vijana Wanawake na Walemavu kupatikana kwake ni Shughuli pevu🤣
 
Kuna jitiada nyingi tu zinaendelea za kuleta ajira hapa Tanzania ! Na Serikali yetu .Changamoto zilizopo ni nyingi na umakini aupo.So azileti matokeo chanya kama inavyotakiwa au ilivyopangwa. Na ndo maana unaona hali ya ukosefu wa ajira upo na unaendelea kukuwa.

Waliopewa Kazi ya kufanya miradi ya kuzalisha ajira wanafanya wanayoyajua wao( wana kiuka kufanya yanayotakiwa-Wajipatie hela wao kama wao na sio walengwa).

Serikali(Rais) anatakiwa aje na task force serious kuweza tatua hili, Hawa wliopo sasa kwenye taasisi zinazoshughulikia haya mambo zipo 1947😭 nna mifano mingi natamani ningekuwa na Muda kuielezea hapa.

1. Upo uwezekanao wa Tanzania kuzalisha ajira za kudumu 10 Millions kwenye miaka 8 ijayo na ajira za muda 15 Millions + katika kipindi hicho.

2. Tanzania kila mwaka inazalisha Graduates ambao kati ya hao wangewezea fanyiwa mipango wakaenda fanya kazi nje ya Tanzania officially ( nna jamaa angu ana program ya kupeleka madereva EU ana mwaka wa pili sasa anazungushwa na wausika wa Serikalini kupata vibali mpaka inatia hasira.

Mwaka juzi nilipata Deal toka Nje ya Tanzania kupeleka mabaharia kwenda kufanya kazi nje ya TZ. Nilienda DMI (chuo cha mabaharia) kutaka ushirikiano- niliyoyapata huko nilikata tamaa mpaka leo sijaenda tena pale. Austaria inatafuta maengineer, madokta, mafundi mchundo maelfu na maelfu - Kwa Tanzania ambayo ata kuwapeleka maohuse girl Saudia ni zoezi lililojaa Ukiritimba tutasubiria sana.

Kenya kuna mawakala registerd kabisa na Serikali wa kuwatafutia wakenya kazi nje na wanapata ushirikiano staiki toka Serikalini hapa TZ ni zero
Aisee! Kumbe kuna ajira za kumwaga (rasmi) huko nje ya nchi. Hivyo vikwazo vingetolewa kabisa watu waende nje huko kutafuta maisha. Inabidi mabalozi, wizara ya mambo ya nje na nyie wenye connection nje ya nchi muungane kuwa kitu kimoja tutafute kazi nje ya nchi.


Pia hilo ni wazo bora zaidi.
 
Kuna jitiada nyingi tu zinaendelea za kuleta ajira hapa Tanzania ! Na Serikali yetu .Changamoto zilizopo ni nyingi na umakini aupo.So azileti matokeo chanya kama inavyotakiwa au ilivyopangwa. Na ndo maana unaona hali ya ukosefu wa ajira upo na unaendelea kukuwa.

Waliopewa Kazi ya kufanya miradi ya kuzalisha ajira wanafanya wanayoyajua wao( wana kiuka kufanya yanayotakiwa-Wajipatie hela wao kama wao na sio walengwa).

Serikali(Rais) anatakiwa aje na task force serious kuweza tatua hili, Hawa wliopo sasa kwenye taasisi zinazoshughulikia haya mambo zipo 1947😭 nna mifano mingi natamani ningekuwa na Muda kuielezea hapa.

1. Upo uwezekanao wa Tanzania kuzalisha ajira za kudumu 10 Millions kwenye miaka 8 ijayo na ajira za muda 15 Millions + katika kipindi hicho.

2. Tanzania kila mwaka inazalisha Graduates ambao kati ya hao wangewezea fanyiwa mipango wakaenda fanya kazi nje ya Tanzania officially ( nna jamaa angu ana program ya kupeleka madereva EU ana mwaka wa pili sasa anazungushwa na wausika wa Serikalini kupata vibali mpaka inatia hasira.

Mwaka juzi nilipata Deal toka Nje ya Tanzania kupeleka mabaharia kwenda kufanya kazi nje ya TZ. Nilienda DMI (chuo cha mabaharia) kutaka ushirikiano- niliyoyapata huko nilikata tamaa mpaka leo sijaenda tena pale. Austaria inatafuta maengineer, madokta, mafundi mchundo maelfu na maelfu - Kwa Tanzania ambayo ata kuwapeleka maohuse girl Saudia ni zoezi lililojaa Ukiritimba tutasubiria sana.

Kenya kuna mawakala registerd kabisa na Serikali wa kuwatafutia wakenya kazi nje na wanapata ushirikiano staiki toka Serikalini hapa TZ ni zero
Umenena, natamani huu uzi nimtumie Samia na majaliwa
 
Aisee! Kumbe kuna ajira za kumwaga (rasmi) huko nje ya nchi. Hivyo vikwazo vingetolewa kabisa watu waende nje huko kutafuta maisha. Inabidi mabalozi, wizara ya mambo ya nje na nyie wenye connection nje ya nchi muungane kuwa kita kimoja tutafute kazi nje ya nchi.


Pia hilo ni wazo bora zaidi.
Hawa akina Polepole? Wao wenyewe huwajui hizo post wamepataje
 
Ajira gani?
Ajira zinazidi kuteketea ndugu usidanganywe jiajiri!
Kujiajiri kunahitaji mtaji ambao ni changamoto. Halafu watu wamejiajiri kupita kiasi. Yaani wajasiriamali ni wengi kuliko wateja mwisho wa siku mnagombania wateja, wengine wanarogana kwa ajili ya wateja.


Halafu kujiajiri kuko hivi, kuna siku unapata kwelikweli yaani unaona maisha si ndio haya. Sasa siku nyingine ni shida tu biashara zinakataaa balaa yaani unatamani upate kazi haraka, unachungulia ajiraportal mwenyewe.
 
Hawa akina Polepole? Wao wenyewe huwajui hizo post wamepataje
😂😂
Yaani labda mabalozi wa nchi za Ulaya, Marekani, Uarabuni, Australia na nchi zingine za maana.


Halafu pangekuwa na ajiraportal special kwa ajili ya wawekezaji wanaokuja kuwekeza Tanzania ili waajiri watu kwa uwazi hapahapa nchini.
 
Kujiajiri kunahitaji mtaji ambao ni changamoto. Halafu watu wamejiajiri kupita kiasi. Yaani wajasiriamali ni wengi kuliko wateja mwisho wa siku mnagombania wateja, wengine wanarogana kwa ajili ya wateja.


Halafu kujiajiri kuko hivi, kuna siku unapata kwelikweli yaani unaona maisha si ndio haya. Sasa siku nyingine ni shida tu biashara zinakataaa balaa yaani unatamani upate kazi haraka, unachungulia ajiraportal mwenyewe.
Wajiajiri akina makongoro mabeyo jk sumaye wenye mataji, halima mdee pamoja na kukaa bungeni miaka kumi hayupo tayari kujiajiri, eti vijana wajiajiri!
 
😂😂
Yaani labda mabalozi wa nchi za Ulaya, Marekani, Uarabuni, Australia na nchi zingine za maana.


Halafu pangekuwa na ajiraportal special kwa ajili ya wawekezaji wanaokuja kuwekeza Tanzania ili waajiri watu kwa uwazi hapahapa nchini.
Kabisa ajira portal ihusishe sector binafsi pia,
 
Watu wanaropoka sana juu ya kujiajiri. Ila hawazungumzii mtaji. Labda uwe unatumia ndumba/uchawi kwenye biashara. Na watu sikuhizi pesa hawana ya kununua vitu. Na biashara zimekuwa nyingi mno kuliko wateja.


Jamaa yangu ametangaza biashara kila sehemu mpaka Instagram wanamdai, ila biashara haikui, na wateja ni changamoto.



Inatakiwa papatikane suluhisho. Hizi siasa zitaleta majanga.
Wajiajiri akina makongoro mabeyo jk sumaye wenye mataji, halima mdee pamoja na kukaa bungeni miaka kumi hayupo tayari kujiajiri,
 
Una ubongo hata wa kufikiria kweli? Mkakati wa ajira kwa vijana ndio mkakati gani?

Mipango na miradi inayotekelezwa inalenga kuleta nini? Ajira za Kila siku huwa zinawahusu akina nani?

Wewe unao huo mkakati wa ajira kwa vijana?
Shukuru Mungu unayo ajira yako safi ya kuwa Chawa. Ila mambo ni magumu mtaani. Posho nono za uchawa zisikufanye uzungumze kwa dharau.
 
Back
Top Bottom