Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
- #21
Pia ishu ya upatikanaji wa mitaji naona linasahaulika.Duniani Kote kuna ajira za aina 2.
1. Za Serikali - hizo ajira za uwalimu, Udaktari etc.
2. Za Binafsi
Serikali inatakiwa kuwa na mipango endelevu ya kuwezesha Graduates kujiajiri. Kwa Tanzania haya Mazingira yamejaa Bra bra nyingi mno kuliko uhalisia.Tatizo lipo hapo