Je, Rais kavunja Sheria ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kumteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama kuwa Balozi?

Je, Rais kavunja Sheria ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kumteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama kuwa Balozi?

Amechagua kukaa kimya.
Nadhani kusema ameamua kukaa kimya sio sahihi sana. Ni kwamba hasikii kabisa malalamiko ya raia (si ndiye alisema ametia pamba masikioni?). Halafu mwacheni mheshimiwadaktari- ameshasema ana aibu.
 
Yaani Sheria imepitishwa July mwaka huu, na wameisahau!!! Au mama bado hajaisaini kuwa Sheria, tumechagua vijana wadogo ili wawe wanasema ndiooo, wazee wabobezii wenye kushauri wamepigwa chini
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT...[emoji1241]

Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).

Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.

Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.

Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Weka hiyo SHERIA TUISOME NDIO TUCHANGIE
 
Sio mama kimakwelii ni kama vile mama maria au mama mongela mwalimu Nyerere mzee mwinyi so and so
 
Hoja yako uliijenga kwa kutaka alieuliza swali kama hilo kuleta barua ya utenguzi. Kwa kusema iletwe barua ya utenguzi unamaanisha hajatenguliwa.

Na nimeweka mswada wa hiyo sheria hapo juu.
Nimeangalia kifungu unachotumia kujenga hoja yako sijakiona.
Hebu pitia ili nawe ujiridhishe.

Uko sahihi mkuu AbaMukulu .

Mleta mada amejikita kwenye Bill (mswaada) pekee, ambayo ni kweli ilikuwa na mapendekezo hayo ya maboresho ya Sheria husika.

Lakini, mapendekezo ya maboresho hayo hayakuchukuliwa yote. Baadhi yalichukuliwa, baadhi hayakuchukuliwa including hiyo section 6 ('6') anayozungumzia mleta mada. Pendekezo la Subsection hii mpya lilikuwa wiped out, nadhani ni kwasababu ilionekana kuwa na 'madhara' zaidi kuliko faida kwa Taifa.

1. PRINCIPAL LEGISLATION yenyewe (1996):

IMG_20230829_204331.jpg



2. Amendment Bill (Mswaada) - May 2023:

IMG_20230829_191333.jpg



3. Amendment Act (Reforms) - July 2023:

IMG_20230829_202230.jpg


Cc: DR Mambo AMP .

-Kaveli-
 
Mama ni neno lenye heshima linalodhihirisha Heshima kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke mwenye umri Mkubwa kumzidi au mpaka na hilo swala Niwaite BAKITA au nimuita Sigara akufundishe.....
Kwa mfano kwa Wazungu huitana Ma'am (Au madam) kwa kiswahili Mama...
miss ,Mr,Mrs na mengineyo hizo ni prefix za heshima nenda ujifunze boss
kingine...


Sivo unakela ni Unakera...

Kifupi watu kumuita Rais Samia mama haijaanza leo akiwa Rais imeanza Tangu akiwa katika Harakat za kugombea akiwa makamu wa Urais wa Jiwe kama utarejea kumbukumbu zako vizuri Kipindi cha kampeni na sio hapo tu kama una umri mkubwa utagundua kuwa ilianza zamani tangu akiwa waziri na hata alivyokuwa katika bunge la katiba so I think kam huna heshima basi baki nayo mimi mtu yyte ambaye nampea heshima hata kama kanizidi miaka mitano mbele bila kujali Hadhi yke ya pesa awe maskini au Tajiri humpa heshima hiyo
Boss with all due respect "mama na madam" hazifanan na zinahadhi tofauti.Hebu nenda hapo tu Kenya halafu muite mwanamke yyt(kama ulivyosema mkubwa) maàm!!..Ndio utajua kwann bata haend haja kama kuku!Mama ni cheo,madam ndio heshima!Kwahyo Rais wako hana cheo hicho cha mama,muite madam au vinginevyo sio Mama.Unajiona unajua kumbe hamna kitu
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿

Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).

Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.

Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.

Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Ngoja niipitie
 
Uko sahihi mkuu AbaMukulu .

Mleta mada amejikita kwenye Bill (mswaada) pekee, ambayo ni kweli ilikuwa na mapendekezo hayo ya maboresho ya Sheria husika.

Lakini, mapendekezo ya maboresho hayo hayakuchukuliwa yote. Baadhi yalichukuliwa, baadhi hayakuchukuliwa including hiyo section 6 ('6') anayozungumzia mleta mada. Pendekezo la Subsection hii mpya lilikuwa wiped out, nadhani ni kwasababu ilionekana kuwa na 'madhara' zaidi kuliko faida kwa Taifa.

1. PRINCIPAL LEGISLATION yenyewe (1996):

View attachment 2732769


2. Amendment Bill (Mswaada) - May 2023:

View attachment 2732777


3. Amendment Act (Reforms) - July 2023:

View attachment 2732779

Cc: DR Mambo AMP .

-Kaveli-
Nimekuelewa sana Mkuu and all I wanted ni kupata reassurence so kuna kitu bado nakiwaza kichwani...
So kabla sheria haijapitoshwa iliandaliwa reform yake means Bunge lilipitisha mswada Mwezi July na mwezi huo huo Wakaomba reform 🤔🤔🤔🤔 Doubtfully mkuu hebu nitoe Tongotongo hapo...
Means kwa Miezi miwili sheria moja imekuwa ammended mara Mbili Ilipata muda lini kusainiwa na kuridishwa tena bungeni kufanyiwa reform baada ya kulitishwa na bunge??? Sorry kama utaweza kurespond i will be waiting......

Cc:- Kaveli
 
Boss with all due respect "mama na madam" hazifanan na zinahadhi tofauti.Hebu nenda hapo tu Kenya halafu muite mwanamke yyt(kama ulivyosema mkubwa) maàm!!..Ndio utajua kwann bata haend haja kama kuku!Mama ni cheo,madam ndio heshima!Kwahyo Rais wako hana cheo hicho cha mama,muite madam au vinginevyo sio Mama.Unajiona unajua kumbe hamna kitu
Boss Its matter of formal english Ya kawaida sana Ma'am ni kifupi cha madam..Na nakubaliana na wewe kuwa mama na ma'am ni tofauti ila ma'am niliyoielezea ilikuwa madame na nikasema hiyo madam kwa waswahili tumezoea kuita mama kama heshima Au kwa AWazungu ni ma'aam nafikiri pitia comment yangu utaelewa...
Cha ajabu unakuja kuniambia kuhusu kenya Dah we need education guyz ndo maana lowasa alisemaga elimu elimu elmu.... SO madam na ma'am are the same Mr sijui umenielewa?
IMG-20230829-WA0002.jpg

Cc; 1120ulimwengu
 
Ujinga wetu unajidhihirisha pale umeme unapokata from saa kumi na mbili asubuhi ukirudi jioni tunapiga kelele huooooooo!!! Kama mazombi!

Watoto nao utasikiaa huoooooooo!

Mtaa wa pili huooooo
Umekatika 12:45 asubuh umerudi 22:29 na kukata 22:29 usiku
 
Mama ni neno lenye heshima linalodhihirisha Heshima kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke mwenye umri Mkubwa kumzidi au mpaka na hilo swala Niwaite BAKITA au nimuita Sigara akufundishe.....
Kwa mfano kwa Wazungu huitana Ma'am (Au madam) kwa kiswahili Mama...
miss ,Mr,Mrs na mengineyo hizo ni prefix za heshima nenda ujifunze boss
kingine...


Sio unakela ni Unakera...

Kifupi watu kumuita Rais Samia mama haijaanza leo akiwa Rais imeanza Tangu akiwa katika Harakat za kugombea akiwa makamu wa Urais wa Jiwe kama utarejea kumbukumbu zako vizuri Kipindi cha kampeni na sio hapo tu kama una umri mkubwa utagundua kuwa ilianza zamani tangu akiwa waziri na hata alivyokuwa katika bunge la katiba so I think kam huna heshima basi baki nayo mimi mtu yyte ambaye nampea heshima hata kama kanizidi miaka mitano mbele bila kujali Hadhi yke ya pesa awe maskini au Tajiri humpa heshima hiyo
Elimu finyu ama anauelewa mdogo ama lack of common sense..Bora umemumfafanulia...
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿

Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).

Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.

Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.

Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Wakili msomi Pascal Mayalla Petro E. Mselewa uwanja wenu huu
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿

Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).

Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.

Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.

Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?

Kama wamaanisha DG aliemaliza muda wake basi Raisi kwa kutumia decree amteua DG wa zamani kuwa balozi.

Ndo maana Kamanda Sirro nae alipata shavu na kuwa balozi kisha kupelekwa mbali na eneo la tukio.

Pamoja na hayo masuali yako yalipaswa kuulizwa Bungeni na ndo maana tunashauri uteuzi wa watu kama wakuu wa TISS wawe wathibitishwa Bungeni baada ya kuhojiwa masuali kadha wa kadha na wabunge kufahamu uelewa wao wa nchi na masuala mazima ya usalama.

Hata hivyo, kifungu hicho cha 6 chasema huyo DG anaeshika au aliewahi kushika nafasi hiyo hatoteuliwa kushika wadhifa wowote ndani ya serikali ya Jamhuri ya Muungano lakini kiufundi ni kwamba yabidi mtu huyo ateuliwe balozi ili aweze kushika nyadhifa hiyo ya ubalozi nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwakilisha nchi na hapo ndipo raisi atumia decree kufanya uteuzi wa balozi.

Sasa hapa kama kuna ufafanuzi zaidi wa kisheria nafikiri wapo wajuvi zaidi.

Nchi nyingi za wenzetu, DG wa chombo hichi hutoka ndani ya jeshi au idara yenyewe akiwa na heshima ilotukuka.
 
Back
Top Bottom