Nadhani kusema ameamua kukaa kimya sio sahihi sana. Ni kwamba hasikii kabisa malalamiko ya raia (si ndiye alisema ametia pamba masikioni?). Halafu mwacheni mheshimiwadaktari- ameshasema ana aibu.Amechagua kukaa kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani kusema ameamua kukaa kimya sio sahihi sana. Ni kwamba hasikii kabisa malalamiko ya raia (si ndiye alisema ametia pamba masikioni?). Halafu mwacheni mheshimiwadaktari- ameshasema ana aibu.Amechagua kukaa kimya.
Weka hiyo SHERIA TUISOME NDIO TUCHANGIENawasalimu Kwa jina la JMT...[emoji1241]
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Kawapigishe fullstop unaowaweza.Hapana,hata mie ni mama ila ukija ofisini kwangu mie ni afisa ...,fullstop,punguzeni uswahil
Imewekwa pitia Comments zote nafikir Kuna screenshot na pia kuna pdf doc imewekwa tayarWeka hiyo SHERIA TUISOME NDIO TUCHANGIE
afisa kipenyo 💪Hapana,hata mie ni mama ila ukija ofisini kwangu mie ni afisa ...,fullstop,punguzeni uswahil
🤣🤣🤣Huna mama?Kawapigishe fullstop unaowaweza.
Stress zako ishi nazo.
Sisi tutamuita mama kama tunavyomuita sasa.
Mama Samia
Mama unazingua. Kumbuka kuna🤣🤣🤣Huna mama?
Uliokotwa polini nn?🤣🤣🤣
Hoja yako uliijenga kwa kutaka alieuliza swali kama hilo kuleta barua ya utenguzi. Kwa kusema iletwe barua ya utenguzi unamaanisha hajatenguliwa.
Na nimeweka mswada wa hiyo sheria hapo juu.
Nimeangalia kifungu unachotumia kujenga hoja yako sijakiona.
Hebu pitia ili nawe ujiridhishe.
Once ukishakuwa spy master you will alwayz be spy master ni kama CDF tu huwez kuniambia eti kwakuwa CDF ametenguliwa bhasi hana nguvu kijeshi hiyo sahau....
Boss with all due respect "mama na madam" hazifanan na zinahadhi tofauti.Hebu nenda hapo tu Kenya halafu muite mwanamke yyt(kama ulivyosema mkubwa) maàm!!..Ndio utajua kwann bata haend haja kama kuku!Mama ni cheo,madam ndio heshima!Kwahyo Rais wako hana cheo hicho cha mama,muite madam au vinginevyo sio Mama.Unajiona unajua kumbe hamna kituMama ni neno lenye heshima linalodhihirisha Heshima kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke mwenye umri Mkubwa kumzidi au mpaka na hilo swala Niwaite BAKITA au nimuita Sigara akufundishe.....
Kwa mfano kwa Wazungu huitana Ma'am (Au madam) kwa kiswahili Mama...
miss ,Mr,Mrs na mengineyo hizo ni prefix za heshima nenda ujifunze boss
kingine...
Sivo unakela ni Unakera...
Kifupi watu kumuita Rais Samia mama haijaanza leo akiwa Rais imeanza Tangu akiwa katika Harakat za kugombea akiwa makamu wa Urais wa Jiwe kama utarejea kumbukumbu zako vizuri Kipindi cha kampeni na sio hapo tu kama una umri mkubwa utagundua kuwa ilianza zamani tangu akiwa waziri na hata alivyokuwa katika bunge la katiba so I think kam huna heshima basi baki nayo mimi mtu yyte ambaye nampea heshima hata kama kanizidi miaka mitano mbele bila kujali Hadhi yke ya pesa awe maskini au Tajiri humpa heshima hiyo
Ngoja niipitieNawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Nimekuelewa sana Mkuu and all I wanted ni kupata reassurence so kuna kitu bado nakiwaza kichwani...Uko sahihi mkuu AbaMukulu .
Mleta mada amejikita kwenye Bill (mswaada) pekee, ambayo ni kweli ilikuwa na mapendekezo hayo ya maboresho ya Sheria husika.
Lakini, mapendekezo ya maboresho hayo hayakuchukuliwa yote. Baadhi yalichukuliwa, baadhi hayakuchukuliwa including hiyo section 6 ('6') anayozungumzia mleta mada. Pendekezo la Subsection hii mpya lilikuwa wiped out, nadhani ni kwasababu ilionekana kuwa na 'madhara' zaidi kuliko faida kwa Taifa.
1. PRINCIPAL LEGISLATION yenyewe (1996):
View attachment 2732769
2. Amendment Bill (Mswaada) - May 2023:
View attachment 2732777
3. Amendment Act (Reforms) - July 2023:
View attachment 2732779
Cc: DR Mambo AMP .
-Kaveli-
Boss Its matter of formal english Ya kawaida sana Ma'am ni kifupi cha madam..Na nakubaliana na wewe kuwa mama na ma'am ni tofauti ila ma'am niliyoielezea ilikuwa madame na nikasema hiyo madam kwa waswahili tumezoea kuita mama kama heshima Au kwa AWazungu ni ma'aam nafikiri pitia comment yangu utaelewa...Boss with all due respect "mama na madam" hazifanan na zinahadhi tofauti.Hebu nenda hapo tu Kenya halafu muite mwanamke yyt(kama ulivyosema mkubwa) maàm!!..Ndio utajua kwann bata haend haja kama kuku!Mama ni cheo,madam ndio heshima!Kwahyo Rais wako hana cheo hicho cha mama,muite madam au vinginevyo sio Mama.Unajiona unajua kumbe hamna kitu
Rais wa Tanzania anatajwa mara nyingi sana kuliko hata jina la mungu. Maana hata kwenye ngumi utasikia mama Samia. Ujenzi wa vyoo mama katoa hela.Rais wa Tanzania yupo juu ya sheria. Hata akiamua leo kijazi intechange ibomolewe inabomolewa tu.
Nafikiri ndiye Rais anayeongoza watu wajinga zaidi Duniani kwa sasa.
Umekatika 12:45 asubuh umerudi 22:29 na kukata 22:29 usikuUjinga wetu unajidhihirisha pale umeme unapokata from saa kumi na mbili asubuhi ukirudi jioni tunapiga kelele huooooooo!!! Kama mazombi!
Watoto nao utasikiaa huoooooooo!
Mtaa wa pili huooooo
Elimu finyu ama anauelewa mdogo ama lack of common sense..Bora umemumfafanulia...Mama ni neno lenye heshima linalodhihirisha Heshima kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke mwenye umri Mkubwa kumzidi au mpaka na hilo swala Niwaite BAKITA au nimuita Sigara akufundishe.....
Kwa mfano kwa Wazungu huitana Ma'am (Au madam) kwa kiswahili Mama...
miss ,Mr,Mrs na mengineyo hizo ni prefix za heshima nenda ujifunze boss
kingine...
Sio unakela ni Unakera...
Kifupi watu kumuita Rais Samia mama haijaanza leo akiwa Rais imeanza Tangu akiwa katika Harakat za kugombea akiwa makamu wa Urais wa Jiwe kama utarejea kumbukumbu zako vizuri Kipindi cha kampeni na sio hapo tu kama una umri mkubwa utagundua kuwa ilianza zamani tangu akiwa waziri na hata alivyokuwa katika bunge la katiba so I think kam huna heshima basi baki nayo mimi mtu yyte ambaye nampea heshima hata kama kanizidi miaka mitano mbele bila kujali Hadhi yke ya pesa awe maskini au Tajiri humpa heshima hiyo
Wakili msomi Pascal Mayalla Petro E. Mselewa uwanja wenu huuNawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Nawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?