Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha.

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu, na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA.

Usiondoke JF
 
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA

Usiondoke JF
Peleka ujinga wako huko.
We nani hadi ujue siri za rais, mfyuu
 
Huu ndio ujinga unaomfanya Mama acheke.Mada kama hizi zisizokuwa na ushahidi wowote ndio zinafanya JF kuna muda ionekane kama kijiwe cha kahawa.
 
...
JamiiForums866537960.jpg
 
Huu ndio ujinga unaomfanya Mama acheke.Mada kama hizi zisizokuwa na ushahidi wowote ndio zinafanya JF kuna muda ionekane kama kijiwe cha kahawa.
Uwezo wako ni duni sana , huwezi kujua haya mambo , japo unajitutumua sana !
 
Uwezo wako ni duni sana , huwezi kujua haya mambo , japo unajitutumua sana !
Mambo yapi wewe kanjanja?Hapa sio kijiwe cha kahawa.Unafikiri ofisi ya Rais inaweza kuingia kwenye petty politics huku ikijua kwamba jambo hilo haliwahusu.Wabunge hao kesi yao iko mahakamani na wao ndio walioipeleka kudai wanachoona ni haki yao.
Taasisi ya Rais iheshimiwe.
 
Mambo yapi wewe kanjanja?Hapa sio kijiwe cha kahawa.Unafikiri ofisi ya Rais inaweza kuingia kwenye petty politics huku ikijua kwamba jambo hilo haliwahusu.Wabunge hao kesi yao iko mahakamani na wao ndio walioipeleka kudai wanachoona ni haki yao.
Taasisi ya Rais iheshimiwe.
Huna ulijualo , Shut Up !
 
Taste hahahaha sawa mzee wa zenji
Thank you, but I’m just blessed to be a juniour great thinker than you Senior mwenye taste zake !” Trust me, it is really a compliment.
Poor soul you do not have a clue.
 
Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .[emoji817][emoji818]
Wale wabunge 19 kinachoendelea ni kama mbinu za kuendelea kubebwa tu na pia delaying tactics, kuendelea kufuja Kodi za wananchi badala ya kushughulikia mambo muhimu yenye tija na kuleta demokrasia zaidi ktk nchi Ili kupata maendeleo i.e. kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi Ili nchi ianze kupiga hatua zenye maana.. ...... kaazi kweli kweli...
 
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA

Usiondoke JF
Ninachokiona CCM/serikali in maslahi na Covid 19 ! Kuna kitu CCM/serikali wanakipata be it kutoka nje kwa financiers or whatever kutokana na Halima et al kuwa bungeni! Unaona kabisa Samia hataki kuwatoa bungeni
 
Back
Top Bottom