Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .[emoji817][emoji818]
Wasaliti lakini Ruzuku mnakula😂😂 hii ndio CHADEMA
 
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA

Usiondoke JF
cc: Chakaza
 
Sikutegemea chochote zaidi ya ulichoandika. Kuelewa nilichoandika kwa uwezo wako wa kuchambua mada ni kutegemea miujiza. Wewe ni wannabe nothing else.
 
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA

Usiondoke JF

Mtakuja kifungwa tabia ya kulisha maneno hotuba za viongozi wakuu

Mnapenda kuchukua mwanzo wa sentence na mwisho mnaacha

Rais alisema Kwa zile Sura anazoziona hazitachukua Dola because wanajua kuna MAMA

Ndio maana akasema baada ya kusema Mbowe tuvushe wasema Mama tuvushe
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mtakuja kifungwa tabia ya kulisha maneno hotuba za viongozi wakuu

Mnapenda kuchukua mwanzo wa sentence na mwisho mnaacha

Rais alisema Kwa zile Sura anazoziona hazitachukua Dola because wanajua kuna MAMA

Ndio maana akasema baada ya kusema Mbowe tuvushe wasema Mama tuvushe
Huyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.
 
Huyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.


Akiwa na tekno boom yake anaona anaweza kuandika anything any time akiwa safe side
 
Ninachokiona CCM/serikali in maslahi na Covid 19 ! Kuna kitu CCM/serikali wanakipata be it kutoka nje kwa financiers or whatever kutokana na Halima et al kuwa bungeni! Unaona kabisa Samia hataki kuwatoa bungeni
Mbona hilo ndio jibu lenyewe , soma utaratibu wa mabunge ya Jumuiya ya madola ambayo Tanzania ni mwanachama
 
Mtakuja kifungwa tabia ya kulisha maneno hotuba za viongozi wakuu

Mnapenda kuchukua mwanzo wa sentence na mwisho mnaacha

Rais alisema Kwa zile Sura anazoziona hazitachukua Dola because wanajua kuna MAMA

Ndio maana akasema baada ya kusema Mbowe tuvushe wasema Mama tuvushe
Wewe andika yako mimi naandika yangu , kapuku we!
 
Huyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.
Mwaka huu usiporukwa na akili kwa haya mawe yetu hapa jf ukatambike
 
Mwaka huu usiporukwa na akili kwa haya mawe yetu hapa jf ukatambike
Yaani wewe mpumbavu unirushe akili?Unajikwaza sana.Kijakazi.Hakuna hata mada moja ya maana uliyoandika JF.Ni uzushi na ujinga tu.Prove me wrong .Weka cha maana ulichochangia JF kama sio utarishi tu.
 
Yaani wewe mpumbavu unirushe akili?Unajikwaza sana.Kijakazi.Hakuna hata mada moja ya maana uliyoandika JF.Ni uzushi na ujinga tu.Prove me wrong .Weka cha maana ulichochangia JF kama sio utarishi tu.
Wanaokutuma kupambana na mimi nishawaburuza na wakakimbia sasa wewe mtumwa wao unadhani utaniweza ? endelea kuteseka kabla hujala Ban
 
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .

Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.

Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .

Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA

Usiondoke JF
Kuna neno nilimsikia kwenye hotuba yake akilizungumza kuhusu COVID 19 alikuwa anazungumzia nini
 
Back
Top Bottom