Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Bado mna hamu na damu yake!!?Lissu anarudi lini mkuu?
Maana kaondoka bila hata kusindikizwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mna hamu na damu yake!!?Lissu anarudi lini mkuu?
Maana kaondoka bila hata kusindikizwa.
Wasaliti lakini Ruzuku mnakula😂😂 hii ndio CHADEMAMtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .[emoji817][emoji818]
Sio lazima ukoment, unaaibisha ukoo wakoKama asali inalambwa kwa kuiunganisha nchi kuwa moja na amani basi ruksa na aikombe kabisa.
cc: ChakazaKuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .
Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.
Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .
Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA
Usiondoke JF
Nimekudharau sana
Kuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .
Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.
Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .
Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA
Usiondoke JF
Huyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.Mtakuja kifungwa tabia ya kulisha maneno hotuba za viongozi wakuu
Mnapenda kuchukua mwanzo wa sentence na mwisho mnaacha
Rais alisema Kwa zile Sura anazoziona hazitachukua Dola because wanajua kuna MAMA
Ndio maana akasema baada ya kusema Mbowe tuvushe wasema Mama tuvushe
Huyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.
Mbona hilo ndio jibu lenyewe , soma utaratibu wa mabunge ya Jumuiya ya madola ambayo Tanzania ni mwanachamaNinachokiona CCM/serikali in maslahi na Covid 19 ! Kuna kitu CCM/serikali wanakipata be it kutoka nje kwa financiers or whatever kutokana na Halima et al kuwa bungeni! Unaona kabisa Samia hataki kuwatoa bungeni
Tulishafundisha sana humu kwamba ruzuku haitokani na Wabunge wa viti maalum , sijui ulikuwa wapi ?Wasaliti lakini Ruzuku mnakula[emoji23][emoji23] hii ndio CHADEMA
Sawa inatokana na asilimia za uchaguzi mliouita haramu. Hapo unasema je?Tulishafundisha sana humu kwamba ruzuku haitokani na Wabunge wa viti maalum , sijui ulikuwa wapi ?
Wewe andika yako mimi naandika yangu , kapuku we!Mtakuja kifungwa tabia ya kulisha maneno hotuba za viongozi wakuu
Mnapenda kuchukua mwanzo wa sentence na mwisho mnaacha
Rais alisema Kwa zile Sura anazoziona hazitachukua Dola because wanajua kuna MAMA
Ndio maana akasema baada ya kusema Mbowe tuvushe wasema Mama tuvushe
Mwaka huu usiporukwa na akili kwa haya mawe yetu hapa jf ukatambikeHuyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.
Yaani wewe mpumbavu unirushe akili?Unajikwaza sana.Kijakazi.Hakuna hata mada moja ya maana uliyoandika JF.Ni uzushi na ujinga tu.Prove me wrong .Weka cha maana ulichochangia JF kama sio utarishi tu.Mwaka huu usiporukwa na akili kwa haya mawe yetu hapa jf ukatambike
Hana uwezo wa kukujibu. Jamaa ni tarishi tu.Sawa inatokana na asilimia za uchaguzi mliouita haramu. Hapo unasema je?
Wanaokutuma kupambana na mimi nishawaburuza na wakakimbia sasa wewe mtumwa wao unadhani utaniweza ? endelea kuteseka kabla hujala BanYaani wewe mpumbavu unirushe akili?Unajikwaza sana.Kijakazi.Hakuna hata mada moja ya maana uliyoandika JF.Ni uzushi na ujinga tu.Prove me wrong .Weka cha maana ulichochangia JF kama sio utarishi tu.
Kutishana kumeisha janaHuyo aliyeleta huo uzushi anafikiri kujificha nyuma ya keyboard na kuzusha ni free speech.Akiambiwa athibitishe hana la kujibu.
Kuna neno nilimsikia kwenye hotuba yake akilizungumza kuhusu COVID 19 alikuwa anazungumzia niniKuna Tetesi kwamba Mh Rais alijaribu kushawishi Chadema kuruhusu Wabunge waliofukuzwa ndani ya chama hicho kwa usaliti waruhusiwe kuingia kwenye kongamano la Bawacha .
Mtoa taarifa hiyo anadai kwamba Viongozi wa Chadema walikataa jambo hilo na kumuambiwa Mh Rais kwamba Jambo la Wasaliti hao lilikwisha malizwa na Baraza Kuu , na kwamba Chadema inaheshimu vikao vya Chama .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba hoja hii ya Rais ilivuja mapema , kwa vile hakuifanya kuwa siri akiamini itakubaliwa na Chadema ili iwe sehemu ya maridhiano , ndio maana baadhi ya CHAWA WAKE hapa JF walimwaga nyuzi nyingi za kukejeli Chadema kwa kukubali jambo hilo.
Inadaiwa Kauli ya Rais ya Kuhoji Sura anazoziona kama zina uwezo wa kuongoza nchi inatokana na kukwazika na msimamo wa Chadema wa kuwakataa kata kata Mamluki wakiongozwa na Halima Mdee .
Tutaendelea kuwaletea machache kati ya mengi yaliyojili nyuma ya pazia kabla ya kongamano lililovunja rekodi la BAWACHA
Usiondoke JF
wengine usijibu, ni watu wa ajabu, illiterates watakusumbuaTulishafundisha sana humu kwamba ruzuku haitokani na Wabunge wa viti maalum , sijui ulikuwa wapi ?