Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Je, Rais Samia alijaribu kuwapigia debe Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA?

Ninachokiona CCM/serikali in maslahi na Covid 19 ! Kuna kitu CCM/serikali wanakipata be it kutoka nje kwa financiers or whatever kutokana na Halima et al kuwa bungeni! Unaona kabisa Samia hataki kuwatoa bungeni
Awatoe bungeni ili upate nini? Nyie watu wa chadema ni wajinga mno. Mnataka aende mukya?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wanaokutuma kupambana na mimi nishawaburuza na wakakimbia sasa wewe mtumwa wao unadhani utaniweza ? endelea kuteseka kabla hujala Ban
Umemburuza nani wewe. Wewe mwaka huu mpaka ukimbie jf, tutakuandama hapa usiku na mchana
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Umemburuza nani wewe. Wewe mwaka huu mpaka ukimbie jf, tutakuandama hapa usiku na mchana
Yaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?

LABDA KWA UCHAWI , maana ninazo taarifa kwamba kuna kikundi cha masikini wamelipwa ili kunitupia majini , lakini siku zote nimeandika humu kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
 
Yaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?

LABDA KWA UCHAWI , maana ninazo taarifa kwamba kuna kikundi cha masikini wamelipwa ili kunitupia majini , lakini siku zote nimeandika humu kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Mjinga huwa anawaza ujinga na mara nyingi huo ujinga unasababisha apatwe na hicho anachokiwaza.
 
Yaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?

LABDA KWA UCHAWI , maana ninazo taarifa kwamba kuna kikundi cha masikini wamelipwa ili kunitupia majini , lakini siku zote nimeandika humu kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Wewe hunaga akili, Ila tutaenda na wewe hivyohivyo. Mpaka chadema yote iishe kabisa ipotee
 
Alafu chawa wanatangaza eti kuna mlambo wa asali mlambaji anaweza kukataa jambo la mlambishaji?
 
Nenda jukwaa la biashara kule ukawe tajiri
Ukiona limbukeni anadai yeye tajiri mkimbie.Matajiri hawajitangazi wanatangazwa na wanajulikana.Mvimba macho ana hela ndogo ya kubadili mboga anajitapa ni tajiri!!!
 
Ukiona limbukeni anadai yeye tajiri mkimbie.Matajiri hawajitangazi wanatangazwa na wanajulikana.Mvimba macho ana hela ndogo ya kubadili mboga anajitapa ni tajiri!!!

Umesoma ulichokiandika? Hili jukwaa sio lenu, nendeni kwenye jukwaa la comedy, hapa tunaongea mambo ya msingi

Nimemwambia huyo mtu aende kwenye jukwaa la biashara huko ndio kuna Chanel za mtu kuwa tajiri, sasa ww unakuja na uharo wako hapa
 
Back
Top Bottom