Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Awatoe bungeni ili upate nini? Nyie watu wa chadema ni wajinga mno. Mnataka aende mukya?Ninachokiona CCM/serikali in maslahi na Covid 19 ! Kuna kitu CCM/serikali wanakipata be it kutoka nje kwa financiers or whatever kutokana na Halima et al kuwa bungeni! Unaona kabisa Samia hataki kuwatoa bungeni
Umemburuza nani wewe. Wewe mwaka huu mpaka ukimbie jf, tutakuandama hapa usiku na mchanaWanaokutuma kupambana na mimi nishawaburuza na wakakimbia sasa wewe mtumwa wao unadhani utaniweza ? endelea kuteseka kabla hujala Ban
Yaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?Umemburuza nani wewe. Wewe mwaka huu mpaka ukimbie jf, tutakuandama hapa usiku na mchana
Mjinga huwa anawaza ujinga na mara nyingi huo ujinga unasababisha apatwe na hicho anachokiwaza.Yaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?
LABDA KWA UCHAWI , maana ninazo taarifa kwamba kuna kikundi cha masikini wamelipwa ili kunitupia majini , lakini siku zote nimeandika humu kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Wewe hunaga akili, Ila tutaenda na wewe hivyohivyo. Mpaka chadema yote iishe kabisa ipoteeYaani wewe uliyepigwa chini unikimbize mimi JF ?
LABDA KWA UCHAWI , maana ninazo taarifa kwamba kuna kikundi cha masikini wamelipwa ili kunitupia majini , lakini siku zote nimeandika humu kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Wewe andika yako mimi naandika yangu , kapuku we!
Umasikini hauna umriMuwe mnasoma umri wa kujiunga JF
Umasikini hauna umri
Ukiona limbukeni anadai yeye tajiri mkimbie.Matajiri hawajitangazi wanatangazwa na wanajulikana.Mvimba macho ana hela ndogo ya kubadili mboga anajitapa ni tajiri!!!Nenda jukwaa la biashara kule ukawe tajiri
Ukiona limbukeni anadai yeye tajiri mkimbie.Matajiri hawajitangazi wanatangazwa na wanajulikana.Mvimba macho ana hela ndogo ya kubadili mboga anajitapa ni tajiri!!!