Je, Rais Samia alikuwa haaminiki au ndiyo mfumo wa ulinzi na usalama ulivyo?

Kwani kua usalama ni kigezo Cha kua jambazi, ule ni utumishi Kama ulivyo utumishi mwingine ,kwamba ipo miiko ya uongonzi katika idara usika Kama zilivyo idara zingine, hivyo usitegemee Nchi zenye utawala wa SHERIA utafanya mafyongo alafu uvumiliwe utavulumishwa,

Ni tz watu wamekua kwenye nafasi izo na kuzitumia vibaya ,
 
Shikamoo sana mtoa hoja.

Umeyaongea mengi sana kwenye aya chache

Kuna jambo moja naliona kwenye huu mfumo wetu. Mimi niliwahi kuwa kiongozi ngazi ya chini hukooo. Lakini upofu wangu ulinisaidia kujua how does system works. Kosa lipo kwenye eneo la uongozi, kuna viongozi wengi wamepachikwa kutoka kwenye system, wanakuwa loyal kwa mfumo na siyo kwa wananchi.

Sheria inayounda TISS ikiboreshwa iendane na mazingira tuliyonayo ya uchumi struggle tunaweza kufika mahala pazuri
 
Yupo sahihi kabisa maana tunaletewa watu wabobu sn
 
Kwa hiyo na ule mchongo wa ESCROW,upakiaji na usafirishwaji wa twiga nje ya nchi ulikuwa ni kwa maslahi ya usalama wa nchi?
 
CCM ndiyo kila kitu hakuna cha TISS wala nini
 
Bro una hoja nzuri sana ila naona hutaki kukosolewa. naomba nikuulize kwa mazingira gani tuseme basi Sabaya yupo gerezani/ mahabusu kaenda kumhoji nani ambaye yupo kwenye top list ya ma files ya TISS
 
Kesi ya Sabaya ipo mahakamani acha mahakama iamue.
Kama unajua tabia za Sabaya hii ni mara yake ya pili kusimama mbele ya Pilato kwa makosa haya haya.
Mara ya kwanza alibebwa ila sasa hivi kisu kimegusa mfupa.
Suala la Sabaya ni sehemu ndogo sana ya msingi wa mada yangu!

Jaribu kusoma tena ili kuelewa msingi wa mada yangu!

By the way, kama zamani ''alibebwa'' unadhani kitu gani kinaweza kufanya ''asibebwe'' tena!
 
Unajidanganya kuwa diwani alipelekwa kuwa katibu tawala bahati mbaya na eti rais hakujua kuwa yule ni usalama moaka ikapita miezi kadhaa,kabla majina ya wateule kutangazwa bosi wa usalama lazima ashirikishwe asilimia mia moja
 
Hata hilo unalosema alivamia hotel ya Mbowe, Kama kweli alivamia tutajuaje kama hakutumwa na ''system'' kufanya hivyo?

Kama nilivyosema kwenye mada yangu, inaonyesha Rais Samia hakujua yanayoendelea nchini na kwa mantiki hii hata kutaka kufanya uchunguzi alisema wakati hajapata picha halisi ya ulinzi na usalama nchini!
 
Rejea andiko lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…