Je, Rais Samia alikuwa haaminiki au ndiyo mfumo wa ulinzi na usalama ulivyo?

Katiba mpya ndoa jibu la hayo
 
Kwamba mtu akiwa usalama wa Taifa amepewa kibali chakuwa jizi? Hawezi kuchunguzwa? Akiwa mzembe hawezi kuwajibishwa?

Jinga kabisa.
 
Kaji hana lolote, ni Sukuma gang tu, msimtishe mama tunamlinda hakuna kima yoyote wa kusumbuwa utawala huu.
 
Pia mashitaka yamevurugwa!

Yameandikwa ujambazi wa kutumia silaha wakati makosa yanayotolewa ushahidi ni ya rushwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sukuma gang endeleeni kudanganyana na kufarijiana, Sabaya yupo jela na ataendelea kuwa jela mpaka amalize kutumikia kifungo na atakuwa amepata fundisho.

Walidhani yule kichaa ataishi milele.
 
boss wa Madawa ya kulevya Mh. KJ

Gerald au?


Unasema ni Teeth TOKA lini?
Kaji ni Tiss kitambo tu. Tatizo wajinga wengi wamo kwenye hiyo idara akiwemo huyo Kaji.

Na ameshafukuzwa kazi rasmi humo idarani, ni raia kama wewe tu na hana lolote jinga fulani tu.
 
Umewahi kujiuliza kama hao unaodai ni wapinzani wananunuliwa wakati kumbe hao pia ni sehemu ya ''system''!

Kama tunamjadili Makamu wa Rais asiyejua kinachoendelea nchini utawezaje wewe kujua wakati hata mlango wa Ikulu hujui umekaa upande gani?
Binadamu wengi wa kitanzania wana tabia ya kushabikia mambo mengi wasiyokuwa na uelewa juu yake. Leo anakwambia flani kanunuliwa kumbe hajui mwezie alikuwa akitimiza majukumu huko alikokuwa na wafuata upepo wakiwa nyuma yake kwa kishindo kikubwa.
 
Binadamu wengi wa kitanzania wana tabia ya kushabikia mambo mengi wasiyokuwa na uelewa juu yake. Leo anakwambia flani kanunuliwa kumbe hajui mwezie alikuwa akitimiza majukumu huko alikokuwa na wafuata upepo wakiwa nyuma yake kwa kishindo kikubwa.
Usilete dharau, tunawajuwa hata Kadinali Pengo na Sheikh mkuu wa Dar ni watu wao, hawa huwa wanaitwa Agents, huitaji kwenda depo ya kijeshi ili kuwa Agent.
 
Usilete dharau, tunawajuwa hata Kadinali Pengo na Sheikh mkuu wa Dar ni watu wao, hawa huwa wanaitwa Agents, huitaji kwenda depo ya kijeshi ili kuwa Agent.
Unawajua wewe na nani mkuu, usipende kutumia wingi. Ni ushauri tu.
 
Sukuma gang endeleeni kudanganyana na kufarijiana, Sabaya yupo jela na ataendelea kuwa jela mpaka amalize kutumikia kifungo na atakuwa amepata fundisho.

Walidhani yule kichaa ataishi milele.
Hakuna cha sukuma genge wala nini linapokuja suala la kitaifa na sura halisi ya taasisi za umma zilivyonajisiwa.

Mzee Matola, mimi si kibendera fuata upepo kama unavyodhania wewe.

Kusema hivyo niliandika huku nikitafakari namna gani waliopewa mamlaka ya mashitaka wasivyojali matokeo ya uandaaji wa kesi zenye mvuto kwa umma.

Bila kujali athari za matokeo kwa umma, wao hutumia hila zao kwa makusudi kupotosha mashitaka na mwisho wa sakata waliyemshitaki huibuka mshindi.

Siangalii mtu atakaa rumande muda gani, bali naangalia mwisho wa kesi utakuwaje, maana mwanzoni kabisa inaonesha walioandaa kesi hiyo ni kama walifanya kwa kukurupuka kwa shinikizo ama bila weledi kitaaluma.

Nikatolea mfano wa kesi ya kina Zombe na genge lake.
 
Kaji ni Tiss kitambo tu. Tatizo wajinga wengi wamo kwenye hiyo idara akiwemo huyo Kaji.

Na ameshafukuzwa kazi rasmi humo idarani, ni raia kama wewe tu na hana lolote jinga fulani tu.
Mkuu idara ya usalama wa taifa ukiwa mwajiliwa kwa level yoyot ile huwezi kuacha kazi mpka unaingia kabulini, ila ajira inaweza kukoma kwa maana ya majukum ya kila siku ila kazi haitaisha mpka wanakuzika, na siku ya kuzika lazima watume wat Zaid ya 1 kuja kujilidhisha Kama kwel umekufa na umezikwa, hii ndo idara ambayo watu hawajuani ila wanafanya kazi Kama wanajuana..

Humo ndn,kunaviongoz wema, waovu, majambaz, wafanyabiashara wahuni, wavuta bangi, wanasiasa, wachungaji, waumini, wanamitindo, Malaya n.k..
Mkuu hakuna uelwa sahihi wa taasis hii kwa sisi raia tu wa kawaida, mambo mengine mkuu Ni aheri kutokuyajua maana ukiyajua yatakusumbua na hutaweza kuyatatua....
 
Hii ni overrated tu, Idara hii ya usalama wa Taifa ni moja ya idara za Hovyo hapa nchini. Msingi wa idara hii na ukakasi wa kuhariri sheria inayoipa nguvu ya kimamlaka kwa pamoja vinaendelea kuifanya Idara hii kuishi kwa nadharia katika mitazamo ya kiujamaa ya kukihami chama tawala zaid kuliko maslahi mapana ya nchi.

Kuna vilaza na watu wengi sana wasio na uwezo wanaofanya kazi katka Idara hii nyeti. Kuna mifano mingi ya maafisa Usalama wa Taifa kufanya fyongo, Blunders na hata incompetence wanapokuwa field. Upo mfano wa Afisa usalama kumkimbia Accused Gaidi fulan ambaye alitumwa kumfuatilia na kuchora life pattern yake.

Kwa madhila ya mikataba mibovu, wizi uliokithiri, ubadhirifu wa mali za umma unaofanywa na baadhi ya watumishi. Ujambazi wa viongozi, teuzi mbovu na kulindan kwa maslah ya tumbo, kote huku kunaiganya idara hii kuwa incompetence kwa kushindwa kusimamia Taaluma ya ushushu na utekelezaji wa mipango kazi katka kuyahami maslah mapana ya nchi hata kwa maadui wa ndani waliojipenyeza katika System.

Idara hii n idara ya chama Tawala kiutendaji. Idara hii ni moja ya Idara mbovu na kipuuzi zinazofifisha ustawi wa taifa hili. Idara hii n moja ya taasisi zinazochagiza mpasuko wa kitaifa kwa kuwa brutal na wote wenye fikra kinzani na viongozi mburula wa Chama Tawala.

Huo umakini wa ufuatiliaji na ujiridhishaji na sifa kedekede zinazoelekezwa katika Idara hii n Hoax stories tu. Hii ni moja ya Idara mbovu kuwepo ndani ya nchii hii. Huenda n mbovu zaid kuliko hata Jeshi la Polisi.

Kama circle system ya nchi hii ndo ina watu kama akina Lengai, kuna nini tena?
 
Idara hii ilikuwa ni branch ndani ya jeshi la Polisi kabla ya kutengwa na kupelekwa ofisi ya Rais.

Kwahiyo ule ujingaujinga na ubabaishaji ni uleule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…