Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ameshakengeuka tayari, huyu hata tuzo za BSS hawezi kupata, sembuse tuzo ya Mo Ibrahim!Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameweza kujipambanua kwa hatua mbalimbali nyingi zikikinzana na za mtangulizi wake.
Ninaamini atakuwa alijiwekea lengo la kuibuka mshindi siku zijazo za hii tuzo "lucrative" ya Mo Ibrahim. Endapo atashinda tuzo hii, Tanzania itaingia kwenye nafasi nzuri sana kidemokrasia na hali za maisha ya watu.
Ni jukumu letu sote kuendelea kumkumbusha pale atakapoonekana kukengeuka na kuacha roadmap ya kumpa tuzo hii. Mama anaweza
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameweza kujipambanua kwa hatua mbalimbali nyingi zikikinzana na za mtangulizi wake.
Ninaamini atakuwa alijiwekea lengo la kuibuka mshindi siku zijazo za hii tuzo "lucrative" ya Mo Ibrahim. Endapo atashinda tuzo hii, Tanzania itaingia kwenye nafasi nzuri sana kidemokrasia na hali za maisha ya watu.
Ni jukumu letu sote kuendelea kumkumbusha pale atakapoonekana kukengeuka na kuacha roadmap ya kumpa tuzo hii. Mama anaweza
Uko sahihi 100%Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameweza kujipambanua kwa hatua mbalimbali nyingi zikikinzana na za mtangulizi wake.
Ninaamini atakuwa alijiwekea lengo la kuibuka mshindi siku zijazo za hii tuzo "lucrative" ya Mo Ibrahim. Endapo atashinda tuzo hii, Tanzania itaingia kwenye nafasi nzuri sana kidemokrasia na hali za maisha ya watu.
Ni jukumu letu sote kuendelea kumkumbusha pale atakapoonekana kukengeuka na kuacha roadmap ya kumpa tuzo hii. Mama anaweza