Je, Rais Samia anaelekea kuipata tuzo ya Mo Ibrahim?

Tuzo za No utolewa kwa kiongozi aliewekwa madarakani na wananchi.Na sio kwa kupewa
 
Haitolewi kwa waporaji, wala bata wa ccm. Kisha nogewa anatumia dola kubambikia kesi na uongo mwingiiii
 
Mbona ameshakengeuka tayari, huyu hata tuzo za BSS hawezi kupata, sembuse tuzo ya Mo Ibrahim!
 
 

Attachments

  • IMG_0462.MP4
    1.9 MB
Uko sahihi 100%
 
Labda tuzo za Mo xtra, Mo energy, Mo Dewji, Mo simba, Mo Arena, nk.
 
Labda Mo - Ibrahim aliyekuwa Simba Sports.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…