jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Kuna kila dalili Rais Samia kawaweka kwapwani USA.
Ukimya wa USA hasa kipindi hiki Mbowe akiwa analiwa na kunguni unatafakarisha kwa haja.
Pamoja na mbwembwe zote wanazo fanya wale wana Kili na chama chao lakini wapi USA kakaa kimya!
CHADEMA shitukeni huenda kombe si lenu tena.
Ukimya wa USA hasa kipindi hiki Mbowe akiwa analiwa na kunguni unatafakarisha kwa haja.
Pamoja na mbwembwe zote wanazo fanya wale wana Kili na chama chao lakini wapi USA kakaa kimya!
CHADEMA shitukeni huenda kombe si lenu tena.