Je, Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Awamu ya Tano au ya Sita kwa mujibu wa Katiba ya nchi?

Je, Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Awamu ya Tano au ya Sita kwa mujibu wa Katiba ya nchi?

Salaam, Shalom!!

Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.

Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.

Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.

Swali linakuja,

Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?

Karibuni Kwa ufafanuzi. 🙏
Alikuwa NEC
 
Sioni tatizo ,hata hiyo moja isipochapishwa maana wananchi wanamuelewa sana mama.
 
Salaam, Shalom!!

Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.

Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.

Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.

Swali linakuja,

Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?

Karibuni Kwa ufafanuzi. 🙏
Hilo jambo hata sisi chawa limetutatiza. Kama ni awamu ya kwanza ilipaswa tufanye uchaguzi baada ya Dkt Magufuli kufariki.
 
Salaam, Shalom!!

Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.

Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.

Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.

Swali linakuja,

Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?

Karibuni Kwa ufafanuzi. 🙏
Hao wazee in WAHUNI, Ndugu Humphrey Polepole Alisha wazungumzia kitambo
 
Ina maana kama hawataki mama apate mshindani aliehai Bas atapata mshindani asie na uhai na huyo mshindani atamlazimisha afanane nae ili wote waweze kufanana wasiwe hai Kwa pamoja!!!
 
Wanajua kabisa kukiwa na fomu mbili Saa100 ataangukia pua.Wanambeba mgombea ambaye hana sifa.Wakati ule walikuwa wanadai kwamba mgombea uraisi lazima awe shahada moja au zaidi.Mpaka Mrema akaenda kusoma na alipoipata tu wakawa kimya kuhusu elimu ya mgombea uraisi kuwa na sifa hiyo ya elimu.Huyo anayepigiwa debe hiyo ya elimu hana.Au wakati ule mlikuwa mnamuona Mrema ni tishio kwenu ?.
 
Wanajua kabisa kukiwa na fomu mbili Saa100 ataangukia pua.Wanambeba mgombea ambaye hana sifa.Wakati ule walikuwa wanadai kwamba mgombea uraisi lazima awe shahada moja au zaidi.Mpaka Mrema akaenda kusoma na alipoipata tu wakawa kimya kuhusu elimu ya mgombea uraisi kuwa na sifa hiyo ya elimu.Huyo anayepigiwa debe hiyo ya elimu hana.Au wakati ule mlikuwa mnamuona Mrema ni tishio kwenu ?.
We huoni sisi kama chama tumeamua kumpa Doctorate za mchongo Kila siku ni PhDs!!?akikohoa TU tunamtwanga Phd nyingine!yaani kavuka viwango kutoka diploma Hadi PhD za heshima bila degree Wala masters!!chama kikiamua kumfanya zuzu anakua zuzu kweli kweli!!
 
Back
Top Bottom