Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alikuwa NECSalaam, Shalom!!
Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.
Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.
Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.
Swali linakuja,
Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?
Karibuni Kwa ufafanuzi. π
Watajua wenyewe mkuu hata wakisema hawatoi kabisa fomu!Uoga kwa Mwenyekiti hakuna sehemu kwenye katiba ya ccm inayosema itolewe Fomu moja
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kuna kitu kinaitwa mkataba wa hanangWewe unaona hii ni sawa?
Bahati Huwa inajirudia twice?
Hilo jambo hata sisi chawa limetutatiza. Kama ni awamu ya kwanza ilipaswa tufanye uchaguzi baada ya Dkt Magufuli kufariki.Salaam, Shalom!!
Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.
Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.
Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.
Swali linakuja,
Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?
Karibuni Kwa ufafanuzi. π
Hao wazee in WAHUNI, Ndugu Humphrey Polepole Alisha wazungumzia kitamboSalaam, Shalom!!
Kuna mkanganyiko unaendelea katika majukwaa ya kisiasa juu ya kuchapisha fomu Moja ya mgombea Urais 2025.
Kwa wakati tofauti Mh Kinana na Mh Majaliwa wanarudia rudia kuwa 2025 itakuwa Awamu ya pili ya Mh Samia hivyo Utaratibu wa CCM uendelee wa kuchapisha fomu Moja tu.
Nijuavyo, Awamu ya kwanza ni ya kupigiwa kura na wananchi kama mgombea Urais na kushinda uchaguzi, Si vinginevyo.
Swali linakuja,
Ikiwa 2025 itakuwa Awamu ya pili Kwa Mh Samia, je mgombea mwenza wa Rais Samia katika Awamu ya kwanza alikuwa nani?
Karibuni Kwa ufafanuzi. π
We huoni sisi kama chama tumeamua kumpa Doctorate za mchongo Kila siku ni PhDs!!?akikohoa TU tunamtwanga Phd nyingine!yaani kavuka viwango kutoka diploma Hadi PhD za heshima bila degree Wala masters!!chama kikiamua kumfanya zuzu anakua zuzu kweli kweli!!Wanajua kabisa kukiwa na fomu mbili Saa100 ataangukia pua.Wanambeba mgombea ambaye hana sifa.Wakati ule walikuwa wanadai kwamba mgombea uraisi lazima awe shahada moja au zaidi.Mpaka Mrema akaenda kusoma na alipoipata tu wakawa kimya kuhusu elimu ya mgombea uraisi kuwa na sifa hiyo ya elimu.Huyo anayepigiwa debe hiyo ya elimu hana.Au wakati ule mlikuwa mnamuona Mrema ni tishio kwenu ?.