Je ratiba kama hii ina afya kwa timu husika ?

Je ratiba kama hii ina afya kwa timu husika ?

Kitendo cha kusema Simba ndani siku 13 ana michezo 5 ni wazi ulishangaa ya Simba hukujipa wasaa kuangalia ratiba kwa timu zingine pia wakati kimsingi hakukuwa na tofauti baina yao.
Yanga anacheza tarehe 30 FA Dar kisha tarehe 2 anatakiwa Kaitaba acheze na Kagera. Na anacheza back to back michezo minne ya ligi kila baada ya siku tatu. Kuna tofauti gani na Simba hapo?
Hakuna mahali nimelalamika Simba kupendelewa. Nimemsapoti mleta mada Kwa hoja yake ya ratiba kutokuwa na Afya Kwa timu na ameitaja timu yake ya Simba. Wewe hukuzuiwa kuitaja Yanga yako.
 
Ratiba ya kawaida wacha wacheza... Timu zinapoachwa kwa mechi za kimataifa mbona hatukalamiki?. Mbovu apotee Maxima...
 
Hakuna shida hapo..hao wachezaji hiyo ndio kazi yao na kuna wachezaji wasiopungua 30.
We mtoa Uzi acha kuyasema yasiyokuhusu.
 
Habari jf ,mfano hii ni Ratiba ya viporo ya Simba Sc ,Yanga nao ratiba tight .Kuna haja TFF ratiba zao kuzi review vizuri .
View attachment 2887179
Na hii hapa ni fixture ya Yanga.

Tarehe 2/2
Kagera vs Yanga

Tarehe 5/2
Yanga vs Dodoma

Tarehe 8/2
Yanga vs Mashujaa

Tarehe 11/2
Prisons vs Yanga
Hebu fatilia ratiba ya mashujaa then uone ratiba ipi ngumu.
 
Back
Top Bottom